hiy
yo ni kweli. hujui hao penguin wala tembo walifikishwa vipi huko. hata huo uchafu ulikuwaje. kama MUNGU aliwalisha waisraele kwa mana unadhani hawezi kuwafanya hao wanyama wasijisaidie kwa muda huo. hao wanyama yaani mijusi wanaosemekana walikuwa wakubwa kuliko tembo walikula nini? fikiri zaidi kwa huo mfano wataalamu wanavyosema.Hiki kitabu kina fifisha sana ubongo wa mwanadamu afu ukihoji utasikia unasoma kama gazeti omba roho mtakatifu akuongoze ndio utaelewa. Ajabu huyo roho mtakatifu anaewaongoza ni mmoja lakini huyu anaruhusu ushoga mwingine anakataa,huyu aruhusiwi kuoa huyu anaoa,huyu pombe halali huyu haram,hawa wanasali uchi,huyu ibada jumamosi mwingine jumapili sasa huyu roho mtakatifu anashindwa kuwasimamia kweli?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]