Maswali kuhusu Nuhu na gharika kuu

Maswali kuhusu Nuhu na gharika kuu

Kutoka kipindi cha Adam mpka kipind cha Noah kabla ya Gharika kuu dunia ilikua one landmass,ilikua moja wanasayansi wanasema "pangea'
Baada ya flood kutokea ndo ikawaganyika na mabara yakatokea..
So herode Alivyosema atahesabu dunia mzima alimanisha atahesabu tu kwake.
Kwa sababu umegusia sayansi labda nami naomba nichangie. Kwa mujibu wa watafiti ni kweli dunia ilikuwa single landmass. Na kutokea kwa mabala kulitokana na movement za tectonic plates ambazo zinaendelea kutokea mpaka na zinamove kwa 0.2cm Kama sijakosea na si maji kilichosababisha bara kugawanyika Kama unavyodai. Kwa hiyo huwezi ukainotice ghafla. Ilichukuwa mda mrefu maana Ilo bara lilikuwepo miaka milion 300 na likaanza kugawanyika miaka million 175 iliyopita sasa sijui nuhu aliishi mda gani.acha kuchanganya dini na sayansi Kama unaelezea ishu kiimani base kwenye imani.
 
Utotoni tumesikia hadithi nyingi za kufundisha zikiwemo kisa cha chura kuwa na mabakabaka, kisa cha nyoka kutambaa, kisa cha sungura na kobe wanyama wote hawa tulishawahi kuaminishwa utotoni kwa namna moja au nyingine walikua wanazungumza na walikua na urafiki vyote hivi vilitungwa kwa nia njema ili tujifunze uhalisia wa maisha. nayo pia kwenye vitabu vinavyoitwa vitakatifu vina mafundisho haya haya mengine ya uhalisia mengine hayana kabisa ila kwa kuwa ni utaratibu uliokua enzi na enzi kwamba vitabu hivi hutakiwi kuuliza maswali kwamba unakufuru basi watu kwa uoga wameforce kwa kila namna kuvipa maana ili tu wakwepe gadhabu ya muumba wao ambapo kama kweli huyo muumba yupo sidhani kama ana mawazo madogo hivyo.
 
mkuu hayo mafuriko hayakuwa na uhusiano wowote na mungu.

Tunaambiwa eti maasi yalizidi,NUHU na family yake eti ndo walikua wakishika njia ya mungu kwa maana kuwa walikuwa safi na wasio na maovu.

Lakini Nuhu hakuwa safi,alikua mlevi na pia muasherati kama sikosei si ndo alifanya ngono na mabinti zake akawapachika mimba.
Kwahiyo habari ya nuhu kwa mjibu wa bible haijakaa sawa,
Hebu npe hil andko la nuhu kulala na watt wake nkalpitie fasta
 
Ndo hapo biblia MUNGU anaposema njia yangu sio za kwenu,mawazo yangu si ya kwenu" hatuwezi jua walitoshaje lakin naamin walitosha kwa. Vipimo alivyompa NUHU,huwez kumpa mtu vipimo kama haujapiga hesabu ya viumbe wangap wataingia.
Hata waliotengeneza USS SARATOGA au meli yeyote wamepewa hiyo Akili na maarifa na yule aliempa NUHU
Mawazo na njia zetu ztakuwa tofaut na mungu vp Mkuu? ikiwa bibilia inasema tumeubwa kwa mfano Wa mungu?
 
Mawazo na njia zetu ziko tofauti na MUNGU kwa sabubu yeye ni mkamilifu hana madhaifu(weakness) wakati sisi tuna madhaifu na si wakamilifu,ndo mana Tupo hapa duniani moja ya lengo ni kuwa wakamilifu, mkuu,ukisoma KJV matthew 5:48 "be ye therefore perfect,even as your father which is in heaven is perfect" hapo YESU anatupa insight kidogo kuhusiana na ukamilifu wa MUNGU sisi tumeumbwa kwa mfano wa MUNGU kimwili,kwamba IMAGE yetu binadamu wote duniani iko sawa,wote tuna kichwa kimoja,mikono miwili na viungo vingine so aliposema ametuumbwa kwa mfano wake alimaanisha image,MUNGU anafanana na sisi kiumbo if you see him today you will see him as a man,ana mikono miwili,kichwa,miguu miwili na kadhalika.tofauti ya mwili wake na mwili wetu ni kwamba mwili wake ni exalted body(uliotukuka)usiopata magonjwa,usiochoka na sifa zinginezo hauendeshwi na damu hence ni mwili usiokufa,wakati sisi binadamu mwili wetu ni kinyume na mwili wake sisi tunakufa,mwili wetu unategemea damu ili mifumo iende vizuri na kadhalika.
So hata mawazo yetu hayataweza kua sawa na ya kwake sababu hatufanani na MUNGU na hata njia zetu zinakua tofauti na sisi.
Ila kila mtu hapa duniani ana potentials' za kuwa kama MUNGU in the future kama atatii amri zake zote na maelekezo yote ambayo MUNGU anayatoa.
Ametupa amri na maelekezo ili siku moja tuwe kama yeye,na hapa duniani tuko kwenye test ya kupimwa kama tunayafata anayotaka.
 
Hebu npe hil andko la nuhu kulala na watt wake nkalpitie fasta
nilijichanganya,aliyelala na watoto wake ni lutu yule jamaa wa sodoma na gomora,eti wanamsema alikua mtu wa mungu hadi akaponyeshwa yeye na family yake kabla mkewe hajageuzwa nguzo ya chumvi,alibaki na mabinti zake wawili akawapa mimba.

Kabla ya hapo alikuwa amewatoa mabinti zake wabakwe na vijana wahuni wa sodoma na gomora
 
baba ake nuhu alimkataa nuhu kua sio mtoto wake unaweza jua kwa nn lameck alimkataa nuhu kua sio mtoto wake?
 
Mkuu hebu tupe hyo elimu
ktk kitabu cha lamech ambacho waandish wa bible walikikwepa kukijumuisha inaonyesha baba ake nuhu alimkataa kata kata kua nuhu sio mtoto wake ilikua bonge ya scandal, nuhu mda wote aliokua akikua hata kimuonekano alikua tofauti na watoto wengine wa lameck labda mleta mada angetupa ubuyu kama anajua
 
Sasa ukianza hizi argument za uweza wa chochote kulikuwa na haja gani ya kukusanya hao wanyama wawili wawili, kwani wangeshindwa kukaa kwenye hayo mafuriko na kuendelea kuishi kwa uweza wake? Au hata wasingeendelea kuishi kama aliwaumba mwanzo kuna ugumu gani kuwaumba kwa mara ya pili?
Duh! [emoji1] umenichekesha sana. Hapa ndio tunazidi kuuona udhaifu wa huyu mungu wa kufikirika
 
Kwani ni lazima yeye angemtuma mwana wake wa pekee aje atuokoe??? Au hata angemtuma, si angekuja angeshuka na moto na mikwala mingi ili aonekabe kweli ni mwana wa mungu?? kwa nini alizaliwa kimasikini katika holi la ngombe.
si angetuokoa tu akiwa uko uko mbinguni?????
yeye mwenye uweza anafanya mambo yake kwa makusudi yake maalumu na kwa dimension zake yeye aonavyo yeye.
tuwe na kawaida ya kusoma biblia kwa juhudi ndugu zanguni..
tusisome vimistari viwili vitatu tukaishia hapo...
tafuteni kwanza ufaalme wa mungu na hayo yote mtazidishiwa..
amina
Kumbe anafanya mambo yake kwa makusudi.
Mimi nilidhani anafanya kwa upendo na kwa uweza wake
 
Snakes and leopard walikuja kuwa dangerous baada ya uasi..
adam aliishi nao vizuri tu kina simba n.k
baada ya uasi agano la awali la mungu na binadamu likabatilishwa..
tujitahidi kuisoma biblia kwa undani kwani kuna hatari ya vizazi vyetu vijavyo vikakosa kabisa maarifa hayo
Upumbavu ndio unaita maarifa? Jitafakari upya
 
Kwanza tunaona lameck,babake na noah akiwa na wasiwasi kuwa noah si mtoto wake.

Kitu kingine cha ajabu,Lameck ambaye alikuwa ni mjukuu wa Cain yaani mtoto mkubwa wa Adamu,aliemuua mdogo wake Abel na kufukuzwa toka kwao na Mungu akamwekea alama kuwa yeyote atakaemdhuru Cain ataadhibiwa mara 7 yake.
Sasa huyu babake na Noah ndie aliyemuua babu yake Cain kwa mkuki.
 
Utotoni tumesikia hadithi nyingi za kufundisha zikiwemo kisa cha chura kuwa na mabakabaka, kisa cha nyoka kutambaa, kisa cha sungura na kobe wanyama wote hawa tulishawahi kuaminishwa utotoni kwa namna moja au nyingine walikua wanazungumza na walikua na urafiki vyote hivi vilitungwa kwa nia njema ili tujifunze uhalisia wa maisha. nayo pia kwenye vitabu vinavyoitwa vitakatifu vina mafundisho haya haya mengine ya uhalisia mengine hayana kabisa ila kwa kuwa ni utaratibu uliokua enzi na enzi kwamba vitabu hivi hutakiwi kuuliza maswali kwamba unakufuru basi watu kwa uoga wameforce kwa kila namna kuvipa maana ili tu wakwepe gadhabu ya muumba wao ambapo kama kweli huyo muumba yupo sidhani kama ana mawazo madogo hivyo.
hahahahahahah....asante sana mkuu, umemaliza
 
Mkuu Mungu hajawahi kuiangamiza dunia kwa moto wala maji isipokuwa maeneo fulani fulani but not the whole world.
Alipoahidi kuwa hataangamiza dunia tena iwe kwa moto au kwa maji alimaanisha kwamba hatawaka hasira tena juu ya uso wa dunia,
Shukrani za dhati kabisa zimuendee Nuhu alisaini mkataba (Agano) na Mungu,ndo maana hiyo neema tunaishi nayo mpaka leo ingawa maovu ni mengi juu ya nchi.
Kwa staili hii, hata wewe utakuwa na dhehebu lako
 
Kwanza tunaona lameck,babake na noah akiwa na wasiwasi kuwa noah si mtoto wake.

Kitu kingine cha ajabu,Lameck ambaye alikuwa ni mjukuu wa Cain yaani mtoto mkubwa wa Adamu,aliemuua mdogo wake Abel na kufukuzwa toka kwao na Mungu akamwekea alama kuwa yeyote atakaemdhuru Cain ataadhibiwa mara 7 yake.
Sasa huyu babake na Noah ndie aliyemuua babu yake Cain kwa mkuki.
baba ake nuhu alimkataa nuhu kua sio mtoto wake unaweza jua kwa nn lameck alimkataa nuhu kua sio mtoto wake?
baba ake nuhu alimkataa nuhu kua sio mtoto wake unaweza jua kwa nn lameck alimkataa nuhu kua sio mtoto wake?
alipozaliwa mtoto Nuhu kwa mjibu wa maandiko alikua tofauti na watoto wenzake,alikua anang'aa kama balbu,na alianza kuongea mara tu baada ya kuzaliwa,ha ha ha...kama shehe sharifu vile.
Lameki akaogopa kuwa kazaa mtoto gani,akakimbia kwa baba yake mzee Methusela kulalamika kuwa huyo hawezi kuwa mtoto wake
 
Swali lako linajibika kiimani tatizo lako umeliuliza kisayansi ni kama umevamiwa na majambazi ukabeep ambulance, kwa swali lako basi dini hakuna kwa kuwa hata nikikujibu utazalisha swali lingine maana kuna musa kugawa bahari, kuna adamu kuishi na wanyama, kuna samsoni kusukuma nguzo mpaka jengo kuanguka, kuna waisrael jangwani waliambia watazame picha ya nyoka na wakapona, kuna watu wanapona kwa kusomewa neno la mungu na kupona lakini maswali haya kisayansi hatajibiki
 
Ya nini kumtilia Mashaka MUNGU kuhusu safina wakati yeye ndo great scientist in the world??
The one and only.

Hao NASA na idara yetu ya Hali ya Hewa tunafata tu.
Sasa kwani Mungu ndiye aliyetengeneza hiyo safina? We jamaa bwana kwa hiyo wewe fundi akitengeneza kitanda kibovu utakubali kwa sababu tu akili alizotumia kutengenezea hicho kitanda kapewa na Mungu? Na utasema Mungu ni scientist mkubwa kwa sababu ya kitanda cha bwana fundi seremala?
 
Yaaan najaribu kufikiria jinsi alivokaa na madinosauria au yale repture..kwenye hilo safina...yaaan lisafina lazma lilikuwa likubwa sana...urefu nadhan lilikuwa linazidi world trade center towers...!..mie nadhan hapa wacha niamini tu bila logic....after all that is what religion demands....dah! Ila....poa tu lakin!
 
Back
Top Bottom