Maswali kuhusu Nuhu na gharika kuu

Maswali kuhusu Nuhu na gharika kuu

Kwa hiyo kama mungu aliweza kutuumba hajui jinsi ya kutuua, labda nikuulize kwako wewe mungu ni nani na anauwezo gani?
Hapo sasa mwenyewe nashangaa ndio maana nimeuliza hayo maswali, ameua viumbe kwa kutumia mafuriko ambayo yaliharibu kila kitu including chakula ambacho hao viumbe wangekula ili waendelee kuendeleza kizazi, wakati angeweza kutumia hizo power zake with a minimum loss
Mungu kwangu bado ni myth ambayo siielewi
 
Hapo sasa mwenyewe nashangaa ndio maana nimeuliza hayo maswali, ameua viumbe kwa kutumia mafuriko ambayo yaliharibu kila kitu including chakula ambacho hao viumbe wangekula ili waendelee kuendeleza kizazi, wakati angeweza kutumia hizo power zake with a minimum loss
Mungu kwangu bado ni myth ambayo siielewi


Mungu anasrma tu na kitu kinakuwa, unaposema kuwa katumia nguvu kubwa kama alifanyakazi ya kuchotelea maji na kuwa sikuelewi, mungu ni suala la kusema tu nataka ulimwengu wote uangamie kwa maji kasoro niliowateua basi kashamaliza sasa hiyo nguvu kubwa aliyoitumia mungu kumrisha hivyo mbona siioni?
 
Mungu anasrma tu na kitu kinakuwa, unaposema kuwa katumia nguvu kubwa kama alifanyakazi ya kuchotelea maji na kuwa sikuelewi, mungu ni suala la kusema tu nataka ulimwengu wote uangamie kwa maji kasoro niliowateua basi kashamaliza sasa hiyo nguvu kubwa aliyoitumia mungu kumrisha hivyo mbona siioni?
sasa wewe huoni alisababisha maafa kwa weengi wasio na hatia kama watoto wadogo na wanyama wasio na utashi na pia akampa nuhu kazi kuuubwa ya kutengeneza safina na kukusanya hao wanyama dunia nzima, kwa nini asingefanya hiyo miujiza yake kazi ikawa tu simple?
 
mfano tu mkuu kwasababu hakuna theory yeyeto inayoelezea

Mkuu usikubali kukaririshwa, eti kisa kitu hakina majibu ndo uweza wa mungu unajidhirisha sio kweli maana ukimleta mtu wa karne ya 6 leo akiona watu wanaongea kwa kutumia simu ataondoka akiamini ka wewe unavyoamini sasa ivi
Mkuu facts zipo nyingi sana labda pengine umekosa katabia kakujisomea. Ipo ivi kwenye space hakuna juu hakuna chini hakuna nyuma wala mbele. Akili za kuambiwa changanya na za kwako
 
Mm hua nawashangaa watu sana!eti ikija hoja tu ya imani,hasa inayo onekana kukosa majibu kulingana na uelewa wao,au wakitoa majibu yataadhiri imani yao.utawasikia:mungu hahojiwi na ni dhambi kuhoji uwezo wa mungu!Huu ni uzembe wa kufikiri na upungufu wa kutumia akili.
 
Mm hua nawashangaa watu sana!eti ikija hoja tu ya imani,hasa inayo onekana kukosa majibu kulingana na uelewa wao,au wakitoa majibu yataadhiri imani yao.utawasikia:mungu hahojiwi na ni dhambi kuhoji uwezo wa mungu!Huu ni uzembe wa kufikiri na upungufu wa kutumia akili.
wananisikitisha sana
 
Sasa ukianza hizi argument za uweza wa chochote kulikuwa na haja gani ya kukusanya hao wanyama wawili wawili, kwani wangeshindwa kukaa kwenye hayo mafuriko na kuendelea kuishi kwa uweza wake? Au hata wasingeendelea kuishi kama aliwaumba mwanzo kuna ugumu gani kuwaumba kwa mara ya pili?
Hizo ni mojawapo ya option alizokuwa nazo ila yeye aliamua kuchagua hiyo ya kuwaweka kwenye ark
 
Naamini kuna watu wanamchukulia Mungu kama mwanasayansi hivi yaani kama robert eisteen,pole yenu
 
ila bible imeweka clear kabisa hii ilikua ni dunia nzima
Kuielewa Bible ufanye kazi mkuu lakini ukikurupuka tu hutaelewa chochote.
Mfano unaambiwa Mungu aliumba Dunia kwa siku 6, je kwa akili zako unadhani ni hizi siku 6 za kibinadamu? Yaani from monday to saturday? Kama unadhani hivyo basi umeingia chaka.
Hata habari ya "dunia nzima" kaa ukielewa kuwa haikuwa "Dunia nzima"
 
Kuielewa Bible ufanye kazi mkuu lakini ukikurupuka tu hutaelewa chochote.
Mfano unaambiwa Mungu aliumba Dunia kwa siku 6, je kwa akili zako unadhani ni hizi siku 6 za kibinadamu? Yaani from monday to saturday? Kama unadhani hivyo basi umeingia chaka.
Hata habari ya "dunia nzima" kaa ukielewa kuwa haikuwa "Dunia nzima"
kwa hiyo tueleweje sasa, ilikua kijiji au nchi au nini

na utajuaje hapa siku inamaanisha siku ya kawaida au haimaanishi siku ya kawaida? na dunia nzima ni dunia nzima kweli au sio dunia nzima?
 
Genesis6:19 You are to bring into the ark two of all living creatures, male and female, to keep them alive with you.

In Genesis posits that Noah gathered "kinds" of animals and not all "species," an estimated 16,000 pairs, which raises a few animal-related questions:



1.What about specialized diets (bamboo for the giant panda, meat for the carnivores, fresh vegetation for the herbivores)?

2.Who cleaned each stall and shoveled the tons of daily excrement through the huge ark’s single window?

3.How did they separate the predator and prey animals? Did the lion lay with the lamb?

4.How do you explain the acquisition and loading of animals not indigenous to the Middle East (many separated by oceans), like the polar bear, the sloth, the crocodile, the fruit bat, the anaconda, etc?

5.And how did the penguins and other cold-climate creatures survive in the blistering desert heat?

6.Wouldn’t freshwater rains from the sky have made the saltwater deadly to ocean marine life?

7.And wouldn’t saltwater have proven equally toxic to all freshwater fish?
Baba wengine sisi, " This is Maimuna"
 
Back
Top Bottom