Maswali kuhusu Nuhu na gharika kuu

Maswali kuhusu Nuhu na gharika kuu

halafu ni za kitoto mno
Hiki kitabu kina fifisha sana ubongo wa mwanadamu afu ukihoji utasikia unasoma kama gazeti omba roho mtakatifu akuongoze ndio utaelewa. Ajabu huyo roho mtakatifu anaewaongoza ni mmoja lakini huyu anaruhusu ushoga mwingine anakataa,huyu aruhusiwi kuoa huyu anaoa,huyu pombe halali huyu haram,hawa wanasali uchi,huyu ibada jumamosi mwingine jumapili sasa huyu roho mtakatifu anashindwa kuwasimamia kweli?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hiki kitabu kina fifisha sana ubongo wa mwanadamu afu ukihoji utasikia unasoma kama gazeti omba roho mtakatifu akuongoze ndio utaelewa. Ajabu huyo roho mtakatifu anaewaongoza ni mmoja lakini huyu anaruhusu ushoga mwingine anakataa,huyu aruhusiwi kuoa huyu anaoa,huyu pombe halali huyu haram,hawa wanasali uchi,huyu ibada jumamosi mwingine jumapili sasa huyu roho mtakatifu anashindwa kuwasimamia kweli?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hii hadithi pia haipo kwenye Quran?
 
Niulize swali tu. ivi hakuna uhusiano wowote wa haya mafuriko na mafuta yaliyopo middle east pia tukumbuke swala la jig so fit hata baadhi ya nchi kaskazini mwa afrika kuna mafuta. hii haiwezi kuwa sababu Mona wapo kuamini kuna nilikua na mafuriko makubwa eneo hill!! Maoni yenu wadau.
 
mwneyewe nimejiuliza hili swali, yaani alichofanya ni kama mtu kuchoma nyumba ili aue panya wanaokula nafaka zake, wakati alikua na uwezo wa kutumia mbadala mzuri zaidi
halafu anaposema zamani simba wala chui hawakua hatari anamaanisha walikua hawali nyama??
hii story ya nuhu ukiitafakari utaona ni kama zile fable story za darasa la pili wanazosimuliwa watoto ili kuwatisha wawe na maadili
 
Niulize swali tu. ivi hakuna uhusiano wowote wa haya mafuriko na mafuta yaliyopo middle east pia tukumbuke swala la jig so fit hata baadhi ya nchi kaskazini mwa afrika kuna mafuta. hii haiwezi kuwa sababu Mona wapo kuamini kuna nilikua na mafuriko makubwa eneo hill!! Maoni yenu wadau.
bible inasema dunia nzima kabisa, sio mashariki ya kati tu
 
Dunia ni kiumbe hai,pia dunia inatii sheria zote za MUNGU,hivyo inatakiwa ibatizwe kwa maji na kwa roho mtakatifu.
Kitendo cha maji kujaa mpaka juu na kufunika hadi milima kinatuonyesha ni symbolism% ambayo MUNGU aliitumia kwenye gharika LA nuhu maana yake ni kwamba pale ndipo dunia ilibatizwa kwa maji,tunasubiri tu dunia ije ibatizwe kwa moto kwenye siku ya mwisho ili iwe complete baptism.. Haiwezi kuwa makazi mapya ya wateule kama isipopitia ubatizo,Mathew 5:5 "and the meek shall inherit the earth" tunasubiri ubatizo Wa moto.
 
Ndo mana MUNGU ilibidi tu atumie maji ili sayari yetu nayo isikose salvation yake,ndo manager pia asingeweza kutumia mbadala mwingine,nimeupenda sana mfano Wa panya,ilibidi tu MUNGU achome nyumba nzima.
 
Dunia ni kiumbe hai,pia dunia inatii sheria zote za MUNGU,hivyo inatakiwa ibatizwe kwa maji na kwa roho mtakatifu.
Kitendo cha maji kujaa mpaka juu na kufunika hadi milima kinatuonyesha ni symbolism% ambayo MUNGU aliitumia kwenye gharika LA nuhu maana yake ni kwamba pale ndipo dunia ilibatizwa kwa maji,tunasubiri tu dunia ije ibatizwe kwa moto kwenye siku ya mwisho ili iwe complete baptism.. Haiwezi kuwa makazi mapya ya wateule kama isipopitia ubatizo,Mathew 5:5 "and the meek shall inherit the earth" tunasubiri ubatizo Wa moto.
dah, unataka kuanzisha dhehebu y
lako pia nini, au tayari unalo
 
Kwa uelewa wangu juu ya bible ni kwamba, hiyo gharika sio kwamba Dunia nzima iliathirika bali ni eneo/mahali/nchi aliyoishi Nuhu/Noah.
Ni kama yale matukio mengine ya adhabu kama Sodoma na Gomora au miaka 7 ya njaa Misri au kama namna Mungu alivyotaka kuiadhibu Ninawi, hayo yote ni eneo husika tu ndo linge-suffer.
kuna kipindi mto frat na tigris ilikuaga inafurika balaa,sasa hao waandishi wa zamani wakajua mafuriko yametokea ulimwengu mzima.

Pia hakuna ngalawa au safina inaweza beba wanyama 500 achilia mbali wanyama 16,000.
Hata USS SARATOGA aircrafit carrie haiwezi beba wanyama zaidi ya 5000.
Hatuelezwi hata material yaliyotumika kutengezea hiyo ngalawa,je walitumia fible au chuma au fito na kamba
 
Material mbona yametajwa mkuu,Genesis 6:14 inasema kwenye KJV " make thee an ark of gopher wood,rooms shalt thou make in the ark,and shalt pitch it within and without which pitch"
So material yalikua gopher wood au kwa sasa yanaitwa cypress wood"
Dimensions zilikua 300 cubits(about 450 ft long,50 cubits wide,30 cubits high
The vessel was three storeys high and was divided into "rooms"
 
Kama ni mafuriko yalikuwa hiyo mito unataka kusema Mungu ni mwongo maana mwisho wa hiyo hadithi kuna ahadi imetolewa kuwa hakutakuja kuwa na mafuriko kama hayo tena duniani. Sasa ni mara ngapi mito inafurika na watu wanakufa hapa duniani? Ina maana Mungu alidanganya?!
mkuu hayo mafuriko hayakuwa na uhusiano wowote na mungu.

Tunaambiwa eti maasi yalizidi,NUHU na family yake eti ndo walikua wakishika njia ya mungu kwa maana kuwa walikuwa safi na wasio na maovu.

Lakini Nuhu hakuwa safi,alikua mlevi na pia muasherati kama sikosei si ndo alifanya ngono na mabinti zake akawapachika mimba.
Kwahiyo habari ya nuhu kwa mjibu wa bible haijakaa sawa,
 
Material mbona yametajwa mkuu,Genesis 6:14 inasema kwenye KJV " make thee an ark of gopher wood,rooms shalt thou make in the ark,and shalt pitch it within and without which pitch"
So material yalikua gopher wood au kwa sasa yanaitwa cypress wood"
Dimensions zilikua 300 cubits(about 450 ft long,50 cubits wide,30 cubits high
The vessel was three storeys high and was divided into "rooms"
ssasa hebu culculate ukubwa wa chombo hicho kwa urefu na mapana,kisha jaribu kuingiza humo wanyama 16000 wenye ukubwa wa digidigi uone kama wataenea humo
 
Ndo hapo biblia MUNGU anaposema njia yangu sio za kwenu,mawazo yangu si ya kwenu" hatuwezi jua walitoshaje lakin naamin walitosha kwa. Vipimo alivyompa NUHU,huwez kumpa mtu vipimo kama haujapiga hesabu ya viumbe wangap wataingia.
Hata waliotengeneza USS SARATOGA au meli yeyote wamepewa hiyo Akili na maarifa na yule aliempa NUHU
 
Back
Top Bottom