Maswali kwa Profesa Musa Assad kuhusu mkataba wa Bandari

Dah… Assad ajikujibu in advance
 
Jinga wewe
Nimekusoma muda mrefu na kugundua sio mtu sahihi wa kudebate naye..
Nenda kaswali ustadh Shomari.
Sio mtu sahihi wa kudebate naye wakati unadebate na mimi, kaka pole sana.

Mwezi wa tisa inatangazwa tender ya kuendesha baadhi ya mageti hapo TPA, pia itatangazwa tender ya uendeshaji wa bandari ya Bagamoyo.

Na hizo tender mbili na zenyewe mje humu jukwaani mzipinge kama mlivyoipinga hii ya DP World.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…