Wewe una lako jambo! Wengine tulikuwa tume-miss tabasamu na kicheko chake. Ametupa raha sana!!🙄
God Forbid!
This guy has got to deliver something new to us bana!
We are fed up with the same hullah-ballooo everyday!
Screw his stupid smile and show us he can do something for the Tanzanians.Sikatai he is did something but he hasnt delivered as we all expected!
Did you expect anything from this guy??? No wonder the he swept 80 % in the general election.
Ile miaka 10 ya u-foreign Minister ilikuwa tosha kuona uwezo mdogo wa mheshimiwa na kujua kama atamudu au lah. Sasa ni too late, tuandike maumivu mpaka 2015............!!!!!!!!!!!!!!!!
Na mrudi nyumbani mpige kura, maongezi ya kutumia keyboard hayatabadili kitu.Why mpaka 2015? Tumtoe next year 2010. Hatuwezi kuvumilia uozo wa kulindana kwa miaka mingine 5
Why mpaka 2015? Tumtoe next year 2010. Hatuwezi kuvumilia uozo wa kulindana kwa miaka mingine 5
JK alinishangaza wakati anajibu swali aliloulizwa kwa nini safari za nje ni nyingi? Alijibu kuwa huwa anaenda kutafuta msaada (Kuomba omba) na ni lazima aende yeye mwenyewe physically ili aweze kupewa hiyo misaada.
Hivi kwa kweli rais kama anamtazamo wa kuomba omba na ndio kiongozi wa juu kabisa wa nchi sasa anategemea nini kwa wananchi wake. Ndio maana kila siku atasikia kuna njaa vijijini kwa sababu watu hawataki kujishughulisha.
Rais JK anapaswa aache kabisa hiyo dhana ya kuomba omba na akae na wataalamu wa fedha na uchumi ili waweze kumpa strategic plan ambazo zinaweza kuliokoa taifa letu kwenye ili janga la kutegemea misaada kutoka nje. Nchi hii ina Resources nyingi sana na haipaswi kuwa omba omba.
Na mrudi nyumbani mpige kura, maongezi ya kutumia keyboard hayatabadili kitu.
A+
Sio warudi nyumbani inabidi wanannchi wajue kuwa daftari la kudunu la wapiga kura linarekebishwa hivi sasa ili kuwawezesha ambao hawakujiandikisha mwaka 2004 kufanya hivyo, waliohama kujiandikisha kwenye sehemu ambazo wamehamia waliopoteza shahada kupata shahada mpya na waliokufa kuondolewa kwenye daftari ili kuondoa kura za maruhani.
Wangapi humu ndani tunajua kuwa zoezi hilo limeanza na linaendelea , zaidi ya kudonoa kwenye keyboards zetu kutaka mabadiliko.
You must be part of the change you need, are you??????
What have you done, have you asked your neighbour, your friend, your relative or even your enemy to register so that he can vote???
Why mpaka 2015? Tumtoe next year 2010. Hatuwezi kuvumilia uozo wa kulindana kwa miaka mingine 5
fvck kurudi nyumbani, usawa huu harudi mtu. Kiuchumi kidogo, incompetencies everywhere halafu joker kama huyu ndiye rais na watu wanamsifia.Nikirudi nitakuwa sucked into mediocrity tu nisiwe na mchango wowote, not now, maybe later.
Only mediocre malimbukeni wa kwenda ulaya ndio wanaweza kuwa na mtizamo mufilisi kama huu wako...
Kama huna guts/uthubutu wa kutekeleza WAJIBU wako wa kurudi nyumbani iweje upigie kelele HAKI ya kuwa na kiongozi bora?
omarilyas
Only mediocres ndio wanaweza kuwa na parochial minds, I am a citizen of the world and I choose where to live, that does not mean I don't value my Tanzanian roots.
Wewe si wa kuniambia nini wajibu wangu ni nini, na kurudi nyumbani si tija by the way huja address point yangu kwamba unaweza kurudi nyumbani ukawa an unemployed burden, au ukawa umerudi umekuwa sucked into ufisadi, people have to plan ahead na tuache hizi habari za unrealistic sentimentalism. Hapo hapo nyumbani kuna watu wanaomba tusirudi kwani tukirudi tutaharibu soko la ajira ambalo lina employment finyu tayari, hapo hapo nyumbani kuna watu wanaomba tusirudi kwani hawana uhakika kama tukirudi tutakuwa na msaada financially kama tulio nao sasa.
Just because I choose to live abroad haimaanishi sina haki ya uraia, na wewe au mtu mwingine yeyote hawezi kuninyang'anya haki ya uraia ya kudai uongozi bora.Kama unataka umasikini wetu wa kiuchumi ukuletee umasikini wa roho kalagabaho, mimi siko tempted wenzetu wanaojua demokrasia na wenye maendeleo raia wanapiga kura worldwide, sasa utawaambia hawana haki ya kupiga kura?
Hivi Kikwete akifanya vizuri, watu mtarudi ???
Point hapa ni kuwa sisi wote tuwe sehemu ya mabadiliko ambayo tunayataka, sio kwamba alikuwa anakuambia wajibu wako lakini nadhani ili mabadiliko yatokee lazima tupige kura kuukataa uongozi uliopo. Ukiwa nje bahati mbaya sana sheria hairuhusu kupiga kura, Watu kama ninyi mko wangapi ambao mnataka mabadiliko? Nadhani ni wengi sana umesoma kuwa kuna shahada za kura milioni moja zimechomwa ( maana yake hawawezi kupiga kura) hizo na za watu wa nje zinaweza fika 1,500,000.
Kura millioni moja na nusu kwa wapiga kura millioni kumi na ushehe can make a very big difference.
My humble plea to you is that be part of the change we need.
Tanzania is not poor kama unavyofikiri, resources zipo nyingi tatizo ni uongozi na incomptences unazozisema zinatokana na uongozi. Tunaona resources zinakuwa wasted, ushauri mbaya hatusemi kitu wala hatufanyi kitu. Naona ni bora urudi nyumbani Ukirudi nyumbani mawazo yako yanaweza kumake a big difference.
hahahah!afta so mene NGABUZ,finally umeamua kubadili jina!most appreciated bro.....!Hell nooooo
hahahah!afta so mene NGABUZ,finally umeamua kubadili jina!most appreciated bro.....!
i hope this is the real name of yours.JM
AT LAST umeamua kubadili na kujiita julius.kudos bro!vp umeona jamvini kuna so many Ngabus,yah?Hell nooooo