Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inaonekana liliwekwa kwa ajili ya kujisifia na kutoa vitisho
kasema yeye anapenda watu wawe huru, lakini chombo cha habari kikijaribu kuvuruga amani kitaona
"chombo cha habari kijaribu kione- vitisho"
JK anasema Richmond haijathibitishwa rushwa ila yupo open kwa further enquiries hata kwa msaada wa nje. Ana maana gani?...
I have a big doubt hata maswali ya simu yalikuwa recorded, nina wasiwasi sana...
Yani hakuna swali la Dar kabisa?
I have a big doubt hata maswali ya simu yalikuwa recorded, nina wasiwasi sana...
Yani hakuna swali la Dar kabisa?
Hii kitu ni recorded Mkuu!...Haiingii akilini kuona kwamba hakuna swali hata moja kutoka Dar
Hii kitu ni recorded Mkuu!...Haiingii akilini kuona kwamba hakuna swali hata moja kutoka Dar
=looser!Hivi hao watu wa Dar nyie ndio mnawaona wanajali sana kuhusu siasa za Tanzania...wao wanajua siku ikifika wanapigia kura ccm basi...
=looser!
wewe so mdansalam??Ulikuwa hujui kuwa wapiga kura wa Dar ni loosers...!!!!
kalaghabaho