mjombakim
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 1,193
- 1,854
Ndio hawa sasa waganga njaa wenyewe”Duniani waganga njaa wengi, wengine wanapata ugali wao kwa kuongopa.”
Jakaya Kikwete, Chato
26/03/2021
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hawa sasa waganga njaa wenyewe”Duniani waganga njaa wengi, wengine wanapata ugali wao kwa kuongopa.”
Jakaya Kikwete, Chato
26/03/2021
HahahahaMi sioni sababu ya kuhoji aliyoyaeleza JK, yeye ndiyo kasema JPM alikuwa jembe na rafiki yake hadi akatafutiwa kiwanja Chato,sasa unapopinga na kuhoji unamaanisha nini? Yaani unabishana na mtu anaekuelezea yake ya moyoni mwake!Hii nayo ni habari nyingine sasa mkuu.
Amina”Duniani waganga njaa wengi, wengine wanapata ugali wao kwa kuongopa.”
Jakaya Kikwete, Chato
26/03/2021
JK mtamchukia na kumtukana kwa kila namna lakini ukweli utabaki kuwa kwa ujanja tu jamaa yuko mbali sana....bila kupenda mtaendelea kulitaja jina lake mpaka siku anaingia kaburini.JK ni Mswahili kama Waswahili wengine tu wa Pwani. Kuna sehemu alisema JPM alikuwa akimshtaki kwa kaka yake (JK) mara zote alipo mkwaza!! Mara alimpenda sana!! 😇
Musiba kapata ujumbe wake”Duniani waganga njaa wengi, wengine wanapata ugali wao kwa kuongopa.”
Jakaya Kikwete, Chato
26/03/2021
Kabla hata ya hiyo tarehe 17, Kigogo alisema ameziona zile Gari za wazi za Ikulu zimetolewa kusambazwa, sasa labda zilienda tu sevice ya kawaida ndio coincidence yakatokea ya kutokeaMkuu kwani si tulitangaziwa kuwa rais alikufa tarehe 17 kama sikosei
Mimi sijawahi kumchukia JK! Maana katika miaka yake ya Urais, alitupatia stahiki zetu zote mihimu kama watumishi wa umma! Nilicho maanisha hapo ni kwamba, mzee ni mswahili na ana maneno na vijembe vingi.JK mtamchukia na kumtukana kwa kila namna, lkn ukweli utabaki kuwa kwa ujanja tu jamaa yuko mbali sana....bila kupenda mtaendelea kulitaja jina lake mpaka siku anaingia kaburini.
kwani kukwazana ndo uhasama?!!!! wanakwazana wanandoa ndani itakuwa wanasiasa waliojuana siasani!!! uzuri mmoja jamaa akishasema anatulia tuliii anajilia zake mananasi msoga huko hana hata muda wa kushughulika nanyi hadi siku anayoamua. na akiamua kujibu siku hiyo (kama alivyofanya leo) anakuacheni na kazi tena ya kujadili kama hivi........mumwache tu hamumuwezi, kuna kitu amepewa lazima tukubali tu!
[emoji3][emoji3][emoji3]hakikaHuu ni Uchakubimbi
Kabla ya tarehe rasmi ya kutangaziwa kufa kwake tayari kulikuwa na tetesi kuwa amefariki. Hata Jakaya leo amelisema hilo msibaniMkuu kwani si tulitangaziwa kuwa rais alikufa tarehe 17 kama sikosei
Jakaya huwa nampenda bure maana huwa harembeshi”Duniani waganga njaa wengi, wengine wanapata ugali wao kwa kuongopa.”
Jakaya Kikwete, Chato
26/03/2021
Kuwa na adabu, unamdharau MTU kisa si baba yako kwa kumuita mamvi! Hauna adabu.JK leo tumekusikia ukijitetea kuwa watu wameanza kuzusha mitandaoni eti wewe ulikuwa unamchukia JPM na pengine ukawa mmoja wa maadui zake wakati wa utawala wake. Majibu yako yalikuwa mepesi saana kama kawaida yako "Mswahili" nanukuu "eti kama kweli ningekuwa namchukia JPM nisingeweza kupitisha jina lake katika mchakato wa kuwania Urais 2015 kwani mimi (kama Rais na Mwenyekiti wa chama) ndiye niliyepeleka majina matano (5) Halmashauri" na ukaenda mbele zaidi ukasema katika kuchagua majina matano jina la kwanza lilikuwa la JPM arafu yakafuatia mengine manne. Umeenda mbele zaidi na kusema kuwa alikuwa jembe lako katika baraza lako la mawaziri huku ukajikanganya zaidi na kusema mlipokuwa mnatifuanaJPM alikimbilia kupeleka mashtaka kwa kaka yako mkubwa ambaye ni marehemu sasa
Maswali magumu:
(i) Je, kwani wewe ndiye uliyependekeza hayo majina matano au ni CC ya chama chako ndiyo iliketi na kukuletea wewe kwa ajili ya kuyawakilisha Halmashauri? labda tusaidie kwani hayo majina ulitoka nayo nyumbani kwako kwa kushauriana na familia yako?
(ii) Je, si kweli JPM aliingizwa katika tano bora baada ya kuona mamvi hawezi kuaminika katika chama na wananchi wanataka mchapakazi asiye kuwa na doa ili kukikomboa chama kilichokuwa kinaelekea kuanguka na sio kwa mapenzi yako binafsi?
(iii) Hivi mashtaka aliyokuwa anapelekea JPM kwa kaka yako mara kwa mara yalihusu nini kama kweli alikuwa jembe lako katika baraza lako?
Mme na mke,mtu na ndugu yake wanapendana sana hata hivyo kuna wakati wanatifuana hadi kwa wasimamizi/mashahidi wa ndoa au kea wazazi !! Sembuse JK na JPM!!!JK ni Mswahili kama Waswahili wengine tu wa Pwani. Kuna sehemu alisema JPM alikuwa akimshtaki kwa kaka yake (JK) mara zote alipo mkwaza!! Mara alimpenda sana!! [emoji56]
Magu alikuwa mtata sana, kwa utata wake nahisi ni yeye mwenyewe alikataza viongozi wengine kusema kwamba anaumwa.Magufuli alikuwa mtu mtata na amefariki na kuacha utata. Hata siku aliyokufa exactly haijulikani. Watu watata hata wakifa mambo yao hayaishi ghafla kwa hiyo wacha watu wajadili kwa uwazi.
Itachukua muda legacy ya ukweli ya huyu kipenzi cha watu fulani fulani kutulia