Maswali magumu: Utetezi wa Jakaya Kikwete dhidi ya tuhuma za chuki binafsi dhidi ya Hayati Magufuli msibani

Hahahaha
Watu Wana ukweli wanaotaka kuusikia... Acha wapeane huo... Wacheze ngoma za adui 😀
 
JK ni Mswahili kama Waswahili wengine tu wa Pwani. Kuna sehemu alisema JPM alikuwa akimshtaki kwa kaka yake (JK) mara zote alipo mkwaza!! Mara alimpenda sana!! 😇
JK mtamchukia na kumtukana kwa kila namna lakini ukweli utabaki kuwa kwa ujanja tu jamaa yuko mbali sana....bila kupenda mtaendelea kulitaja jina lake mpaka siku anaingia kaburini.

kwani kukwazana ndo uhasama?!!!! wanakwazana wanandoa ndani itakuwa wanasiasa waliojuana siasani!!! uzuri mmoja jamaa akishasema anatulia tuliii anajilia zake mananasi msoga huko hana hata muda wa kushughulika nanyi hadi siku anayoamua. na akiamua kujibu siku hiyo (kama alivyofanya leo) anakuacheni na kazi tena ya kujadili kama hivi........mumwache tu hamumuwezi, kuna kitu amepewa lazima tukubali tu!
 
Mkuu kwani si tulitangaziwa kuwa rais alikufa tarehe 17 kama sikosei
Kabla hata ya hiyo tarehe 17, Kigogo alisema ameziona zile Gari za wazi za Ikulu zimetolewa kusambazwa, sasa labda zilienda tu sevice ya kawaida ndio coincidence yakatokea ya kutokea
 
Mimi sijawahi kumchukia JK! Maana katika miaka yake ya Urais, alitupatia stahiki zetu zote mihimu kama watumishi wa umma! Nilicho maanisha hapo ni kwamba, mzee ni mswahili na ana maneno na vijembe vingi.

Ni kawaida sana kwake kumpiga mtu kijembe kwa maneno na misemo tofauti, huku anacheka!
 
Kuwa na adabu, unamdharau MTU kisa si baba yako kwa kumuita mamvi! Hauna adabu.
 
JK ni Mswahili kama Waswahili wengine tu wa Pwani. Kuna sehemu alisema JPM alikuwa akimshtaki kwa kaka yake (JK) mara zote alipo mkwaza!! Mara alimpenda sana!! [emoji56]
Mme na mke,mtu na ndugu yake wanapendana sana hata hivyo kuna wakati wanatifuana hadi kwa wasimamizi/mashahidi wa ndoa au kea wazazi !! Sembuse JK na JPM!!!
 
Ukiingia kwenye siasa maisha yako yanahesabika,kifo kipo nje nje hauwezi kuwafurahisha wote,hata Kama ni walinzi wako hawezi kukupenda wote wapo watakao tii sheria kwa ajili ya pesa tu lakini mioyoni mwao wapo mbali sana nawewe.usimkabizi mtu uhai wako akushikilie maana siku yoyote anaweza kukugeuka papohapo kwa tamaa ya pesa
 
...." siasa haina adui wa kudumu"....nani alijua kuwa kuna siku watu kama akina Dr. Slaa, Halima Mdee n.k ....wataacha kupinga kila kitu?..
" it is always possible"..
 
Magu alikuwa mtata sana, kwa utata wake nahisi ni yeye mwenyewe alikataza viongozi wengine kusema kwamba anaumwa.
 
Kishazikwa na yake yote, conspiracy theories, hazikosekani. Nyingi unaona ni akili za MusibaKiGwajiBashi...
Na hiyo ni katika kugombea madaraka, wameambiwa hawana mvuto kwenye chama chao huko.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…