Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Mengi sana, kwa mfano, kuna majina ya watu wengi tu humo nilikuwa siyajui; pia sikuwa najua kuhusu 'majungu' dhidi ya 'wasauzi' wa dar ila hilo limeniletea swali la (8), niko mbali na kitabu hivyo nitaliuliza baadaye maana nataka kuweka nukuu.
Udadisi,
Majuingu hayakuwa kwa Wazulu peke yao.
Majungu yalikuwa kwa wote ''wakuja.''
Wazulu, Wamanyema na Wanubi.
Wazulu akina Kleist Sykes, Thomas Plantan na ndugu zake.
Wamanyema akina Mzee bin Sudi, Salum Abdallah, Sheikh Hussein Juma.
Wanubi akina Ibrahim Hamisi.
Waliokuwa wakiwachimba ni Warufiji, Wazaramo, Wangindo nk.
Mdadisi unataka mie ndiye nimjibie Fiah vipi yeye alijiona mzalendo kushinda wahamiaji wenzake. Sitoweza. Mie sijui kila kitu.
Karibu kwenye ukurasa wa maswali na majibu kuhusu Kitabu cha 'The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-1968): The Untold Story of the Muslim Struggles Against British Colonialism in Tanganyika'. Ukurasa huu ni tofauti na ile mingine hivyo tunaomba isiunganishwe. Hapa tunajikita katika kuhakiki maandishi halisi yaliyomo humo ili kukiboresha kitabu n.k.
Hivyo, ni ukurasa unaoratibiwa. Nitakuwa naweka maswali yanayohitaji ufafanuzi/uthibitisho. Tuanze na hayo hapo chini.
1. "Aziz Ali Dosa was the first African to own a car and was always chauffer driven" (p. 30)
2. "The two [Kleist Sykes and Aziz Ali] were the only Africans in Dar es Salaam permitted by the government to drink beer" (p. 31)
3. "The Germans halted fighting [in World War 1] throughout Tanganyika for seven days in honour of Affendi Plantan [a.k.a. "Mohosh", "Chief of the Imhambane" and husband of "Sykes Mbuwane's sister"] (p. 35)
4. "In a strange twist of fate, Abdulwahid's driver [?] in Burma came to be one of the top brass in the Tanganyikan army" (p. 55)
5. "It was here [Imphal, Burma] on Christmas eve of 1945 that Abdulwahid and other askaris, including his young brother Ally and James Mkande, made a pact to found a political party when they returned home after the war...The name of the party was to be Tanganyika African National Union (TANU). Ally Sykes remembers that Abdulwahid wrote the name of the proposed party in his diary" (p. 57-58)
6. "he [Abdulwahid], certainly no match for [Erika] Fiah" (p. 69)
7. "Stanley [Street] (called Aggrey Street after independence in honour of Dr Aggrey, and later to be renamed Makisi Mbwana Street after one of the founding fathers of TANU" (p. 71)
Udadisi,Na huu hapo chini ni uthibitisho wa jinsi navyouheshimu mchango wa Mohamed Said, sasa nakisoma tena hicho kitabu na kila napokutana na hivyo vitu ambavyo vinanitatiza naviuliza hapa, na sio lazima ajibu yeye tu, wengine mnaojua jibuni pia.
"With slight modification the same argument can be extended to Mohamed Saids (1998) Abdulwahid Sykes (924-968): The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika. Nyerere and Sykes were both elites as far as their social status in the colonial context and political position in the struggle for independence were concerned, however, one became marginalized in the nationalist historiography presumably because he belonged to a religious group that was ostensibly being forced into becoming a subaltern category" - http://udadisi.blogspot.com/2013/10/nationalist-historiography-of.html
cc: Mohamed Said
Udadisi,
Nimesoma hiyo blogspot yako, naona wewe mwenywewe umejitambulisha tu kama Chambi, hakuna picha wala profile yako. Makala zako ziko anonymous and yet unafyonza kwenye intelectual peoperties za watu na kufanya tahakiki.
Sasa ndugu yangu ona hapo wewe kama ni mwandishi au researcher huoni kuna kasoro hapo. Mimi hapo nina mashaka nawe na hiyo unayoifanya sidhani kama it is with good intention.
Mdadisi,
Kuhusu dereva wa Abdulwahid Sykes Burma.
Huyu wakati naandiika alikuwa hai na cheo kikubwa katika JWT nikaona uzito
kuweka jina lake.
Hata leo sioni umuhimu wa kulitaja jina hilo ingawa amefariki.
Ila nitakupa ''hint'.'
Huyu mtu anatoka Musoma.
Karibu kwenye ukurasa wa maswali na majibu kuhusu Kitabu cha 'The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-1968): The Untold Story of the Muslim Struggles Against British Colonialism in Tanganyika'. Ukurasa huu ni tofauti na ile mingine hivyo tunaomba isiunganishwe. Hapa tunajikita katika kuhakiki maandishi halisi yaliyomo humo ili kukiboresha kitabu n.k.
Hivyo, ni ukurasa unaoratibiwa. Nitakuwa naweka maswali yanayohitaji ufafanuzi/uthibitisho. Tuanze na hayo hapo chini.
1. "Aziz Ali Dosa was the first African to own a car and was always chauffer driven" (p. 30)
2. "The two [Kleist Sykes and Aziz Ali] were the only Africans in Dar es Salaam permitted by the government to drink beer" (p. 31)
3. "The Germans halted fighting [in World War 1] throughout Tanganyika for seven days in honour of Affendi Plantan [a.k.a. "Mohosh", "Chief of the Imhambane" and husband of "Sykes Mbuwane's sister"] (p. 35)
4. "In a strange twist of fate, Abdulwahid's driver [?] in Burma came to be one of the top brass in the Tanganyikan army" (p. 55)
5. "It was here [Imphal, Burma] on Christmas eve of 1945 that Abdulwahid and other askaris, including his young brother Ally and James Mkande, made a pact to found a political party when they returned home after the war...The name of the party was to be Tanganyika African National Union (TANU). Ally Sykes remembers that Abdulwahid wrote the name of the proposed party in his diary" (p. 57-58)
6. "he [Abdulwahid], certainly no match for [Erika] Fiah" (p. 69)
7. "Stanley [Street] (called Aggrey Street after independence in honour of Dr Aggrey, and later to be renamed Makisi Mbwana Street after one of the founding fathers of TANU" (p. 71)
Karibu kwenye ukurasa wa maswali na majibu kuhusu Kitabu cha 'The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-1968): The Untold Story of the Muslim Struggles Against British Colonialism in Tanganyika'. Ukurasa huu ni tofauti na ile mingine hivyo tunaomba isiunganishwe. Hapa tunajikita katika kuhakiki maandishi halisi yaliyomo humo ili kukiboresha kitabu n.k.
Hivyo, ni ukurasa unaoratibiwa. Nitakuwa naweka maswali yanayohitaji ufafanuzi/uthibitisho. Tuanze na hayo hapo chini.
1. "Aziz Ali Dosa was the first African to own a car and was always chauffer driven" (p. 30)
2. "The two [Kleist Sykes and Aziz Ali] were the only Africans in Dar es Salaam permitted by the government to drink beer" (p. 31)
3. "The Germans halted fighting [in World War 1] throughout Tanganyika for seven days in honour of Affendi Plantan [a.k.a. "Mohosh", "Chief of the Imhambane" and husband of "Sykes Mbuwane's sister"] (p. 35)
4. "In a strange twist of fate, Abdulwahid's driver [?] in Burma came to be one of the top brass in the Tanganyikan army" (p. 55)
5. "It was here [Imphal, Burma] on Christmas eve of 1945 that Abdulwahid and other askaris, including his young brother Ally and James Mkande, made a pact to found a political party when they returned home after the war...The name of the party was to be Tanganyika African National Union (TANU). Ally Sykes remembers that Abdulwahid wrote the name of the proposed party in his diary" (p. 57-58)
6. "he [Abdulwahid], certainly no match for [Erika] Fiah" (p. 69)
7. "Stanley [Street] (called Aggrey Street after independence in honour of Dr Aggrey, and later to be renamed Makisi Mbwana Street after one of the founding fathers of TANU" (p. 71)
Karibu kwenye ukurasa wa maswali na majibu kuhusu Kitabu cha 'The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-1968): The Untold Story of the Muslim Struggles Against British Colonialism in Tanganyika'. Ukurasa huu ni tofauti na ile mingine hivyo tunaomba isiunganishwe. Hapa tunajikita katika kuhakiki maandishi halisi yaliyomo humo ili kukiboresha kitabu n.k.
Hivyo, ni ukurasa unaoratibiwa. Nitakuwa naweka maswali yanayohitaji ufafanuzi/uthibitisho. Tuanze na hayo hapo chini.
1. "Aziz Ali Dosa was the first African to own a car and was always chauffer driven" (p. 30)
2. "The two [Kleist Sykes and Aziz Ali] were the only Africans in Dar es Salaam permitted by the government to drink beer" (p. 31)
3. "The Germans halted fighting [in World War 1] throughout Tanganyika for seven days in honour of Affendi Plantan [a.k.a. "Mohosh", "Chief of the Imhambane" and husband of "Sykes Mbuwane's sister"] (p. 35)
4. "In a strange twist of fate, Abdulwahid's driver [?] in Burma came to be one of the top brass in the Tanganyikan army" (p. 55)
5. "It was here [Imphal, Burma] on Christmas eve of 1945 that Abdulwahid and other askaris, including his young brother Ally and James Mkande, made a pact to found a political party when they returned home after the war...The name of the party was to be Tanganyika African National Union (TANU). Ally Sykes remembers that Abdulwahid wrote the name of the proposed party in his diary" (p. 57-58)
6. "he [Abdulwahid], certainly no match for [Erika] Fiah" (p. 69)
7. "Stanley [Street] (called Aggrey Street after independence in honour of Dr Aggrey, and later to be renamed Makisi Mbwana Street after one of the founding fathers of TANU" (p. 71)
Mdadisi,
Dk. Kwegyir Aggrey ndiyo aliyemshauri Kleist Sykes aanzishe African Association
alipokuja Tanganyika mwaka 1924.
Sijajua unataka kufahamu nini zaidi hapa.
Habari hizi zipo kwenye mswada wa Kleist na ukitaka taarifa zaidi iko semina paper
ya Daisy Sykes, ''The Life of Kleist Sykes,'' East Africana, Maktaba ya Chuo Kikuu
Cha Dar es Salaam.
Mzee Makisi Mbwana alikuwa kiongozi wa Uzaramo Union ni mmoja wa wazee mashuhuri
wa Dar es Salaam katika wakati wake.