Maswali na Majibu kuhusu Kitabu cha Mohamed Said

Maswali na Majibu kuhusu Kitabu cha Mohamed Said

Kumbe, kusema ukweli mimi nilidhani 'watoto wa mjini' limetumika kwa maana ambayo Dully Sykes alilitumia kwenye mahojiano fulani (nadhani ni haya http://www.youtube.com/watch?v=ZzXyrhFjeBY); kama nilimsikia na kumwelea vizuri alisema kuna watoto wa mjini, yaani waliozaliwa mjini Dar es Salaam (Gerezani n.k.) kama yeye na watoto wa mjini wa miji mingine ya Tanzania au ambao wapo Dar es Salaam ila sio wazaliwa wa mjini hasa, ama kitu/tafsiri kama hicho/hiyo.
Dully mtoto mdogo unatuletea mifano ya watoto, teh teh teh.
 
Ndugu zangu tuendelee na mjadala, ngoja leo niulize swali ambalo kwa kiasi kikubwa linatokana na kitabu jadidi cha Mzee wetu Mohamed Said japo hapa sitaweka nukuu ya moja kwa moja kutoka kwenye kitabu chake.

Kwenye hicho kitabu inaonekana Hamza Kibwana Mwapachu yuko/alikuwa karibu sana na msomi mwenzake wa enzi hizo Nyerere na kwa uelewa wangu watoto wake waliendelea kuwa karibu na Nyerere. Je, na yeye/wao waliminywa katika historia kama kina Abdulwahid Sykes na Dosa 'Benki' Aziz? Kwa nini? Hebu turejee kidogo hii nukuu kutoka kwa Juma V. Mwapachu:

Steeped in knowledge of law, constitutionalism and politics and immediately re-linking with his friend Nyerere in Tabora who was by then President of the Tabora TAA Branch but also preparing to leave for Edinburgh to pursue a degree course later that year, Hamza became the intellectual voice and conscience in TAA politics in Dar-es-Salaam.

...

For example, writing to Nyerere in Edinburgh in late 1951, Hamza noted his pleasure at discovering a brilliant young Paul Bomani in Mwanza who would be an important asset in our struggle

...

With the advent of Responsible Government in 1958, Hamza was transferred from the Local Government School, Mzumbe, Morogoro where he had become a close friend of Khalfan Mrisho Kikwete, President Jakaya Kikwetes father as well as of Cecil Kallaghe, later an Ambassador, to Dar-es-Salaam to become Nyereres first Personal Assistant as Chief Minister. What goes round comes round! Nyerere wanted his friend and confidant to be his principal advisor on the eve to Tanganyikas independence.

Then tragedy struck. Hamza began to develop a serious heart ailment in mid 1960. Hamza had been a chain smoker all his life. So indeed was Nyerere till Hamza died! Nyerere did all he could to save his friend. Hamza was sent to the best hospital in the world, Hammersmith Post Graduate Hospital in London where he underwent heart surgery. However, by September 1962, the weak heart could no longer withstand the continued work pressure and Hamzas ardent commitment to the service of his newly independent country. Hamza passed away at Princess Margaret Hospital, now Muhimbili National Hospital, on 17th September, 1962.

CHANZO: The Life and Times of Hamza Mwapachu | Vijana FM
Unauliza suali halafu unajijibu mwenyewe kuwa familia ya Mwapachu walikuwa karibu na Nyerere, kisha unataka Mohamed Said akujibu nini tena, nakushauri ukitaka kupata historia nzuri ya Tanganyika tafuta kitabu cha historia kilichoandikwa Chuo cha Kivukoni.
 
Last edited by a moderator:
Mdadisi, Kama kweli una nia ya kuboresha nakushauri kaboreshe kitabu cha Historia ya
TANU kilichoandikwa na Chuo Cha Kivukoni.

Unauliza suali halafu unajijibu mwenyewe kuwa familia ya Mwapachu walikuwa karibu na Nyerere, kisha unataka Mohamed Said akujibu nini tena, nakushauri ukitaka kupata historia nzuri ya Tanganyika tafuta kitabu cha historia kilichoandikwa Chuo cha Kivukoni.

Mnanichanganya
 
"After completing his primary education at the Mission of Rutabo, where he learned to read and write his native dialect, besides English, Latin, Italian and Swahili, Laurean [Rugambwa] entered the Regional Grand Seminary of Katigondo, Uganda, under the care of the White Fathers. Ordained to the Priesthood at 31 years of age on December 12, 1943, by Bishop Burkhard Huwiler M.Afr., he pursued further studies at the Scientific Missionary Institute De Propaganda Fide in Rome, Italy, between 1948 and 1951, obtaining a Doctorate Magna Cum Laude in Canon Law" - Cardinal Laurean Rugambwa (1912 - 1997) - Find A Grave Memorial

Bwana Udadisi,

Hivi Ilm/taaluma kama hii ya Kadinali Rugambwa,si ndo yashabihiana kama na ya yule Dr Padri Slaa,au!?

Amma kweli,"duniani ni waili waili"!

Ahsanta.
 
Bwana Udadisi,

Hivi Ilm/taaluma kama hii ya Kadinali Rugambwa,si ndo yashabihiana kama na ya yule Dr Padri Slaa,au!?

Amma kweli,"duniani ni waili waili"!

Ahsanta.

Mkuu nilijua tu kuna mtu atalileta hilo na kuanza kututoa nje ya mada, hapo hoja ni nani hasa alikuwa "the most educated African in the land" wakati huo - Nyerere, Rugambwa, Makwaia, Bantu, Mwindadi, Kibwana ama?
 
Bwana Udadisi,

Kwa jinsi mjadala huu uendavyo,nakhis utachanganyikiwa/"watakuchanganya" saana tu! Daah! Teeh! Teeh! Teeh!

Pole!

Ahsanta sana.

Halafu karibu huku https://groups.yahoo.com/neo/groups/Wanazuoni/conversations/messages/23337 kuna mjadala wa ngeli na naona kamusi zinazochapishwa na familia yenu imetajwa, rejea:

"Ukisoma kamusi za Kiswahili zilizoandaliwa na taasisi za Zanzibar au hata maandiko ya Kiswahili mengi toka visiwani utagundua namna Kiswahili chao kinavyotofautiana na hiki tunachojifunza huku. Kamusi moja niliyoiona hata jina lake lenyewe lilinishangaza: Kamusi LA Kiswahili. Huku tungetumia YA" - https://groups.yahoo.com/neo/groups/Wanazuoni/conversations/topics/23282
 
Mkuu nilijua tu kuna mtu atalileta hilo na kuanza kututoa nje ya mada, hapo hoja ni nani hasa alikuwa "the most educated African in the land" wakati huo - Nyerere, Rugambwa, Makwaia, Bantu, Mwindadi, Kibwana ama?

Ndo maana mie ikanilazim kutumia ile "Hikmat Al Maarifa",kwa kuliuliza awali...ili kujaribu kukuondoshea zogo/adha huko wendako!?

Niwia radhi kama wakhis nimeleta khitilaf!? Shukran!

Ahsanta.
 
Yaleyale. Historia inaandikwa na maneno kama: "probably", "it was believed", kumiliki gari, radio, baiskeli nayo ni historia iliyosahaulika!
 
Wild Card,
Yale yale hakika.

Kwani yapo mengine uyajuayo ambayo ni mbali na yale yale?

Ingia: dabliyu dabliyu dabliyu dot mohammedsaid dot com yapo mengine.
 
19. "It had only been once in the history of Dar es Salaam that a Christian, Erika Fiah, had held the banner against the colonial state" (p. 118)

20. "Soon after Nyerere's takeover, TAA seemed to go into slumber. The militancy and zeal which was associated with the leadership of Abdulwahid was lost. " (p. 118)

"For a while it seemed as if Nyerere was going to be a setback to the movement' (p. 119)

"Abdulwahid was aivalable as Vice-President but he was also keen to see Nyerere, as President, assuming his full role in making his own decisions" (p. 119)

"The executive committee of the association, with the exception of Julius Nyerere and Abdulwahid, virtually lost all power as the Muslim elders literally took over the movement. Gradually Abdulwahid would also come to lose his grip on the movement particularly after forming TANU, so as to leave Nyerere and the leadership from the provinces to lead Tanganyika to independence" (p. 121)

"It is said that it was about this time, in the last months of 1953, that Abdulwahid talked to Nyerere seriously about forming an open political party to replace TAA" (p. 121)
 
Unauliza suali halafu unajijibu mwenyewe kuwa familia ya Mwapachu walikuwa karibu na Nyerere, kisha unataka Mohamed Said akujibu nini tena, nakushauri ukitaka kupata historia nzuri ya Tanganyika tafuta kitabu cha historia kilichoandikwa Chuo cha Kivukoni.


20140106_181038.jpg


Ritz,
Picha hii ilipigwa mwaka wa 1968.

Katika picha hii kuna vijana kutoka ukoo wa Tambaza, Sykes, Mwapachu na Mtemvu.
Wazee wa hao wote wameacha alama katika historia ya uhuru wa Tanganyika.

Inawezekanaje mimi nisiijue historia ya watu hawa na mchango wao katika kupigania uhuru
wa Tanganyika?

Mimi ni mmoja wa hao waliopo kwenye picha hiyo.


IMG-20140102-WA0018.jpg


Ritz,
Picha hii ilipigwa katikati ya miaka ya 1950 wakati harakati za uhuru ziko moto sana.

Picha hii ilipigwa Mtoni kwenye shamba la Sheikh Abdallah Idd Chaurembo ambae kwenye picha ni huyo alievaa
hegal kakaa chini mkono wa kulia wa picha.

Mtafute Nyerere kwenye picha hii.
Mtafute Rupia kwenye picha hii.

Hawa unaowaona wamemzunguka Nyerere ndiyo waliokuwanaye wakati wa kupigania uhuru.
Hawa ndiyo wazee wetu waliokujasahauliwa na historia zao kufutwa.
 
wateule wa dar es salaam - the dar es salaam elites
 
20140106_181038.jpg


Ritz,
Picha hii ilipigwa mwaka wa 1968.

Katika picha hii kuna vijana kutoka ukoo wa Tambaza, Sykes, Mwapachu na Mtemvu.
Wazee wa hao wote wameacha alama katika historia ya uhuru wa Tanganyika.

Inawezekanaje mimi nisiijue historia ya watu hawa na mchango wao katika kupigania uhuru
wa Tanganyika?

Mimi ni mmoja wa hao waliopo kwenye picha hiyo.


IMG-20140102-WA0018.jpg


Ritz,
Picha hii ilipigwa katikati ya miaka ya 1950 wakati harakati za uhuru ziko moto sana.

Picha hii ilipigwa Mtoni kwenye shamba la Sheikh Abdallah Idd Chaurembo ambae kwenye picha ni huyo alievaa
hegal kakaa chini mkono wa kulia wa picha.

Mtafute Nyerere kwenye picha hii.
Mtafute Rupia kwenye picha hii.

Hawa unaowaona wamemzunguka Nyerere ndiyo waliokuwanaye wakati wa kupigania uhuru.
Hawa ndiyo wazee wetu waliokujasahauliwa na historia zao kufutwa.

Sheikh Mohamed Said,

Salaam na shukran kwa hizi bayana zako ziso shaka...sisi nduguzo soote twakusoma na kufaidika mno!

Mmependeza mno hiyo "enzi zenu",kwenye ile picha ya awali hapo juu!

Nakhis,weye ni huyo wa mwanzo kulia katika walosimama!?

Anayekufuatia,yaani wa pili kulia katika walosimama nakhis ni Wolter Juma Mwapachu!?

Huyo alovaa miwani kati ya hao walosimama,nakhis ni Harith Bakari Mwapachu!?

Wala hamjabadilika sana...nakhis siku hizi ndo mwazidi kupendeza na kung'ara mno! Teeh! Teeh! Teeh!

Nimekwama kiduchu kuwatambua hao walobaki...najua siku tukikutana penye uhai na majaaliwa,basi utantajia hao wangine!

Nakutakia W'end njema...Insha Allah Mola takuzidishia neema katika yoote ufanzayo na kukuepusha na hasada zoote dhidi yako!

Ahsanta.
 
Sharif
Ahsante. Umenitambua. Huyo ndie mimi nikiwa na miaka 16. Alonifatia ni marehemu Yusuf Zialor. Mtu karim sijapata kuona. Anefatia ni Kleist Abdulwahid Sykes. Juma Mwapachu alikuwa mkubwa sana kwetu haingii katika group yetu. Katika waliochutama wa katikati ni mdogo wake Juma Wendo Mwapachu.
 
Maalim M.Said ktk hii picha ya chini anayo onekana Jkn huyo wakulia na kushoto wake ninani na je hapa Mzee Mangara yupo nakama yupo yupi?
 
Sharif kulia kwa JKN ni Bilal Mshorwa liwali kutoka Tabora na kulia Ahmed Saleh liwali Dar. Ntakufahamisha kuhusu Mangara Tabu.
 
Sharif kulia kwa JKN ni Bilal Mshorwa liwali kutoka Tabora na kulia Ahmed Saleh liwali Dar. Ntakufahamisha kuhusu Mangara Tabu.

Nashukuru kwa kunijuza Maalim wangu m/zimungu akupe umri mrefu na wepesi ktk haya utuilimishayo Amen. Ingawa sipaswi kunipa hilo jina ulilo nipa.mm ni mwnafunzi kwako nahitiji kujua zaidi yahayo niliokuuliza. Na ktk jibu lako nadhani umekosea kidogo samahani kama nitakuwa nimekosea mm umeniambia KULIA kwa Jkn ni Bilall mshorwa liwali Tb na KULIA ni Ahmed saleh liwali Dar. Hapo nilipo andika kwa herifi kubwa ndio ninamashaka napo.
 
20140106_181038.jpg


Ritz,
Picha hii ilipigwa mwaka wa 1968.

Katika picha hii kuna vijana kutoka ukoo wa Tambaza, Sykes, Mwapachu na Mtemvu.
Wazee wa hao wote wameacha alama katika historia ya uhuru wa Tanganyika.

Inawezekanaje mimi nisiijue historia ya watu hawa na mchango wao katika kupigania uhuru
wa Tanganyika?

Mimi ni mmoja wa hao waliopo kwenye picha hiyo.


IMG-20140102-WA0018.jpg


Ritz,
Picha hii ilipigwa katikati ya miaka ya 1950 wakati harakati za uhuru ziko moto sana.

Picha hii ilipigwa Mtoni kwenye shamba la Sheikh Abdallah Idd Chaurembo ambae kwenye picha ni huyo alievaa
hegal kakaa chini mkono wa kulia wa picha.

Mtafute Nyerere kwenye picha hii.
Mtafute Rupia kwenye picha hii.

Hawa unaowaona wamemzunguka Nyerere ndiyo waliokuwanaye wakati wa kupigania uhuru.
Hawa ndiyo wazee wetu waliokujasahauliwa na historia zao kufutwa.
Sheikh Mohamed Said

Shukran sana kwa hii mipini.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom