Maswali na Majibu kuhusu Kitabu cha Mohamed Said

Maswali na Majibu kuhusu Kitabu cha Mohamed Said

Hasiejua maana haambiwi maana!

Tayeb,

"Bwimbwi la Bint Baka utamuye aujua mwariye"!...Teeh! Teeh! Teeh!

Yaleyale ya..."John wa Mwinyiheri,kunyimwa "Chambi" na Hauye-Selemani Madondo! Duuh!

Ahsanta sana.
 
asante kaka

Kaka Kituko,mbona waleta vituko!?

Naona pana pahala umenitaja jina langu na kusingizia jambo!?...mbona wapenda kunionea na watakanizulia,jamani!?

Tafadhali,jitahidi usijekawa kama yule Remote!...mie mwenzio nakupenda mno na pia nakustahi!

Mie wala sina hiyo darja yenu ya "fundi Mwanamarundi"...mie hapa ni msomaji mtiifu tu!

Salaam zao!

Ahsanta.
 
Tayeb,

"Bwimbwi la Bint Baka utamuye aujua mwariye"!...Teeh! Teeh! Teeh!

Yaleyale ya..."John wa Mwinyiheri,kunyimwa "Chambi" na Hauye-Selemani Madondo! Duuh!

Ahsanta sana.

Salam Akhy gombesugu!

Wallahi umezidi kuwachanganya hawa viumbe wasojua maana kiasi wanapata tabu na kumsumbua Sheikh wetu Mohamed Said awape maana ya baadhi ya fasihi zake!

Namie narejea kuwaambia, hasie jua maana haambiwi maana!

Teh teh teh!

Ahsante
 
Last edited by a moderator:
Wewe kweli Kituko halafu unataka kujibiwa majibu gani kama siyo ya kipuuzi.

Wapi Mohamed Said kataja mambo ya bia, ndiyo maana nakuambia unawashwa wewe si bure.

kaka Mkubwa Ritz kumbe na wewe hujakisoma kitabu cha Mohamed Said, kwenye ukurasa wa 31 kinasema hivi

"The two [Kleist Sykes and Aziz Ali] were the only Africans in Dar es Salaam permitted by the government to drink beer"

sasa na wewe ni "mtoto" wa mjini, ndio nilikuwa naoma ufahamu na uelewa wako kuhusu hili
 
Last edited by a moderator:
kaka Mkubwa Ritz kumbe na wewe hujakisoma kitabu cha Mohamed Said, kwenye ukurasa wa 31 kinasema hivi

"The two [Kleist Sykes and Aziz Ali] were the only Africans in Dar es Salaam permitted by the government to drink beer"

sasa na wewe ni "mtoto" wa mjini, ndio nilikuwa naoma ufahamu na uelewa wako kuhusu hili
Alichoandika Mohamed Said na ulichoandika wewe tofauti, halafu nani kakuambia mimi mtoto wa mjini.

Mimi na wewe tatizo letu kunitaja na kunisingizia upuuzi.
 
Last edited by a moderator:
Kaka Kituko,mbona waleta vituko!?

Naona pana pahala umenitaja jina langu na kusingizia jambo!?...mbona wapenda kunionea na watakanizulia,jamani!?

Tafadhali,jitahidi usijekawa kama yule Remote!...mie mwenzio nakupenda mno na pia nakustahi!

Mie wala sina hiyo darja yenu ya "fundi Mwanamarundi"...mie hapa ni msomaji mtiifu tu!

Salaam zao!

Ahsanta.

Nashukuru kwa Busara zako kaka gombesugu, unajua hapa pana elimu nzuri sana, lakini kuna utata kidogo, sasa kuku mention ni ile heshima na pia "kukuchokoza" ili tupate vya ndani najua unajua
hofu isije tukawa tunaandika historia yenye mapungufu na tukawapunja wengine, Babu yangu alikuwa akinywa Beer sana pale Mision Kota, sasa naona anapunjwa kwa kusema vibali vya mwanzo vilikuwa vya Kleist na Azizi tu
 
Last edited by a moderator:
Alichoandika Mohamed Said na ulichoandika wewe tofauti, halafu nani kakuambia mimi mtoto wa mjini.

Mimi na wewe tatizo letu kunitaja na kunisingizia upuuzi.


pole Kaka kama nimekukwaza, hebu nifafanulie Mzee Mohamed Said alikuwa anamaanisha nini?
 
Last edited by a moderator:
pole Kaka kama nimekukwaza, hebu nifafanulie Mzee Mohamed Said alikuwa anamaanisha nini?
Hivi kuna mtu amekulazimisha kukiamini kitabu cha Mohamed Said, kama unaona mzee wako alikuwa serikalini kapunjwa muandikie kitabu tatizo lipo wapi.
 
Last edited by a moderator:
kama wewe unakiona hivyo (cha kijiweni) sawa, lakini mimi nakipa uzito, nimeyajua mengi kupitia hichi kitabu, ninakipa credit sana, ila kwenye walakini na mashaka ndio unahitajika ufafanuzi
Kituko !
Mbona unaleta rusha roho kwenye uzi wa maana kama huu!
Basi inekuwa kama wale wapiga ngoma za mchiriku!?

Hebu kuwa na nidhamu kidogo kijana!
 
Last edited by a moderator:
Kituko !
Mbona unaleta rusha roho kwenye uzi wa maana kama huu!
Basi inekuwa kama wale wapiga ngoma za mchiriku!?

Hebu kuwa na nidhamu kidogo kijana!

Kaka kahtaan,

huu ni uzi mzuri sana na ulianza kwa heshima sana, Mwanzisha ( Mdadisi )mada alitoa hoja nzuri na Mzee Mohamed Saidi alikuwa anajizibu kwa ufasaha sana, lakini pamoja na hayo palikuwa na maswali mengine yaliyokuwa yanazaliwa ndani ya majibu,

tatizo lililojitokeza ni kile kitendo cha mimi kutaka ufafanuzi huku nikiwamention baadhi ya wana JF wenzangu

ngoja niwe msomaji tu, japo kuna vitu naona vinapita ingali vinahitaji ufafanuzi
 
Last edited by a moderator:
Kaka kahtaan,

huu ni uzi mzuri sana na ulianza kwa heshima sana, Mwanzisha ( Mdadisi )mada alitoa hoja nzuri na Mzee Mohamed Saidi alikuwa anajizibu kwa ufasaha sana, lakini pamoja na hayo palikuwa na maswali mengine yaliyokuwa yanazaliwa ndani ya majibu,

tatizo lililojitokeza ni kile kitendo cha mimi kutaka ufafanuzi huku nikiwamention baadhi ya wana JF wenzangu

ngoja niwe msomaji tu, japo kuna vitu naona vinapita ingali vinahitaji ufafanuzi
Kituko dhumuni la jukwaa hili HURU ni kukupa wewe na mimi na yeyote yule haki ya kuchangia au kuuliza swali lolote ulitakalo!
Tatizo linakuja pale unapoanza kuwaita wadau wengine watoto wa mjini na vitu vingine vya ajabu!

Haifai namna hio!
 
Last edited by a moderator:
Kituko dhumuni la jukwaa hili HURU ni kukupa wewe na mimi na yeyote yule haki ya kuchangia au kuuliza swali lolote ulitakalo!
Tatizo linakuja pale unapoanza kuwaita wadau wengine watoto wa mjini na vitu vingine vya ajabu!

Haifai namna hio!

asante kaka kwa kero yako kutoka kwangu, lakini hiyo watoto wa mjini niliiwekea mabano kwa juu, mjadala hauwezi kwenda bila vijembe na utani wa hapa na pale,
 
Nashukuru kwa Busara zako kaka gombesugu, Babu yangu alikuwa akinywa Beer sana pale Mision Kota, sasa naona anapunjwa kwa kusema vibali vya mwanzo vilikuwa vya Kleist na Azizi tu

Ewe! Kituko wa Vituko,

Yaani "umenivunja mbavu" kwa kicheko,na ndo nimezidi kukupenda! Daah! Teeh! Teeh! Teeh!

Kwa hayo masuali yako ya "kitaaluma",sidhani kama Bwana Mohamed Said anayo majawaba yake!?...labda tuzidi kufanza sabra!?

Sasa,huyo Babuyo hukumbuki yeye kufanza lolote wakti huo wa kupigania uhuru...zaidi ya yeye kushinda pale "Mission Quarters"-Mchikichini akinywa pombe/Beers,tu!? Duuh!

Basi mwaonaje pia,labda tukamwomba yeye Bwana Udadisi kuandika pia Biographies/Encyclopedia za watu walokua "mashuhuri" kwa ulevi/walevi wakti ule...lakini wenzao wangine wakishughulika na harakati za uhuru!?

Shukran kwa kuzungumza nawe kiduchu...Kwaheri!

Ahsanta.
 
Ewe! Kituko wa Vituko,

Yaani "umenivunja mbavu" kwa kicheko,na ndo nimezidi kukupenda! Daah! Teeh! Teeh! Teeh!

Kwa hayo masuali yako ya "kitaaluma",sidhani kama Bwana Mohamed Said anayo majawaba yake!?...labda tuzidi kufanza sabra!?

Sasa,huyo Babuyo hukumbuki yeye kufanza lolote wakti huo wa kupigania uhuru...zaidi ya yeye kushinda pale "Mission Quarters"-Mchikichini akinywa pombe/Beers,tu!? Duuh!

Basi mwaonaje pia,labda tukamwomba yeye Bwana Udadisi kuandika pia Biographies/Encyclopedia za watu walokua "mashuhuri" kwa ulevi/walevi wakti ule...lakini wenzao wangine wakishughulika na harakati za uhuru!?

Shukran kwa kuzungumza nawe kiduchu...Kwaheri!

Ahsanta.

Kaka kwenye mambo ya uhuru kuna mambo mengi yalipita, na sio yote lazima yawe kwenye historia ya uhuru, na sio kila mtu ataingia kwenye historia ya kupatikana kwa uhuru wa Tanganyika kuna vitu vya maana vinatakiwa kuingia ndani ya historia, mambo mengine ya vijiweni yatabaki kuwa hivyo na kuwa mapokeo na simulizi za kuliwazana tu

Kuhusu babu yangu "mlevi" naomba nikae kimya, nadhani hata wewe unamfahamu sana na historia yake iko wazi ila anapunjwa tu
 
Ndugu zangu tuendelee na mjadala, ngoja leo niulize swali ambalo kwa kiasi kikubwa linatokana na kitabu jadidi cha Mzee wetu Mohamed Said japo hapa sitaweka nukuu ya moja kwa moja kutoka kwenye kitabu chake.

Kwenye hicho kitabu inaonekana Hamza Kibwana Mwapachu yuko/alikuwa karibu sana na msomi mwenzake wa enzi hizo Nyerere na kwa uelewa wangu watoto wake waliendelea kuwa karibu na Nyerere. Je, na yeye/wao waliminywa katika historia kama kina Abdulwahid Sykes na Dosa 'Benki' Aziz? Kwa nini? Hebu turejee kidogo hii nukuu kutoka kwa Juma V. Mwapachu:

Steeped in knowledge of law, constitutionalism and politics and immediately re-linking with his friend Nyerere in Tabora who was by then President of the Tabora TAA Branch but also preparing to leave for Edinburgh to pursue a degree course later that year, Hamza became the intellectual voice and conscience in TAA politics in Dar-es-Salaam.

...

For example, writing to Nyerere in Edinburgh in late 1951, Hamza noted his pleasure at discovering a brilliant young Paul Bomani in Mwanza who would be an important "asset in our struggle"

...

With the advent of Responsible Government in 1958, Hamza was transferred from the Local Government School, Mzumbe, Morogoro where he had become a close friend of Khalfan Mrisho Kikwete, President Jakaya Kikwete's father as well as of Cecil Kallaghe, later an Ambassador, to Dar-es-Salaam to become Nyerere's first Personal Assistant as Chief Minister. What goes round comes round! Nyerere wanted his friend and confidant to be his principal advisor on the eve to Tanganyika's independence.

Then tragedy struck. Hamza began to develop a serious heart ailment in mid 1960. Hamza had been a chain smoker all his life. So indeed was Nyerere till Hamza died! Nyerere did all he could to save his friend. Hamza was sent to the best hospital in the world, Hammersmith Post Graduate Hospital in London where he underwent heart surgery. However, by September 1962, the weak heart could no longer withstand the continued work pressure and Hamza's ardent commitment to the service of his newly independent country. Hamza passed away at Princess Margaret Hospital, now Muhimbili National Hospital, on 17th September, 1962.

CHANZO: The Life and Times of Hamza Mwapachu | Vijana FM
 
Kituko dhumuni la jukwaa hili HURU ni kukupa wewe na mimi na yeyote yule haki ya kuchangia au kuuliza swali lolote ulitakalo!
Tatizo linakuja pale unapoanza kuwaita wadau wengine watoto wa mjini na vitu vingine vya ajabu!

Haifai namna hio!

asante kaka kwa kero yako kutoka kwangu, lakini hiyo watoto wa mjini niliiwekea mabano kwa juu, mjadala hauwezi kwenda bila vijembe na utani wa hapa na pale,

Kumbe, kusema ukweli mimi nilidhani 'watoto wa mjini' limetumika kwa maana ambayo Dully Sykes alilitumia kwenye mahojiano fulani (nadhani ni haya http://www.youtube.com/watch?v=ZzXyrhFjeBY); kama nilimsikia na kumwelea vizuri alisema kuna watoto wa mjini, yaani waliozaliwa mjini Dar es Salaam (Gerezani n.k.) kama yeye na watoto wa mjini wa miji mingine ya Tanzania au ambao wapo Dar es Salaam ila sio wazaliwa wa mjini hasa, ama kitu/tafsiri kama hicho/hiyo.
 
Jana waziri Mkuu Wa Israel alitoa hotuba akawambia Wapalestine kwamba Ni Wakati sasa Wa kuitabua Israel Km taifa la wayahudi na wasahau kabisa mambo ya history!

Hii Ni sawa na kwa ndugu Mohamed Said na kwa wale wengine wenye mawazo Km yake! Ni Wakati sasa Wa kutambua mchango mkubwa Wa Mwalimu Nyerere ata Km ktk Hilo vuguvugu la kugombania uhuru kulikua na watu Wa imani mbalimbali, lkn aliesimamia na kuingia ikulu Ni Nyerere!

Tunatambua Kua kuna michango ya kila Hali iliyotolewa na watu mbalimbali ktk uhuru, kudai tu kwamba upande Fulani ndio ulioumia huo Ni ubaguzi mkubwa sawa na wajukuu Wa Ibrahim pale Israel!
 
Last edited by a moderator:
Jana waziri Mkuu Wa Israel alitoa hotuba akawambia Wapalestine kwamba Ni Wakati sasa Wa kuitabua Israel Km taifa la wayahudi na wasahau kabisa mambo ya history!

Hii Ni sawa na kwa ndugu Mohamed Said na kwa wale wengine wenye mawazo Km yake! Ni Wakati sasa Wa kutambua mchango mkubwa Wa Mwalimu Nyerere ata Km ktk Hilo vuguvugu la kugombania uhuru kulikua na watu Wa imani mbalimbali, lkn aliesimamia na kuingia ikulu Ni Nyerere!

Tunatambua Kua kuna michango ya kila Hali iliyotolewa na watu mbalimbali ktk uhuru, kudai tu kwamba upande Fulani ndio ulioumia huo Ni ubaguzi mkubwa sawa na wajukuu Wa Ibrahim pale Israel!

Mkuu naona unatoka nje ya mada, Mzee wetu Mohamed Said hana tatizo na kuutambua mchango wa Nyerere, rejea nukuu hizi kutoka kwenye kitabu chake tunachokijadli hapa bila kuchanganya na hiyo mijadala ya 'uzayuni':

"Very constructive debates evolved in the Sunday discussions when Abdulwahid's intellect and political experience were pitted against Nyerere's legendary debating skills" (p. 111)

"The TAA leadership was clever enough to realise the value of Nyerere's education and its potential for the future of the association and country. Abdulwahid confided with the tAA executive that having the most educated African [sic] in the land as the president of the Association would strengthen its leadership and portray a good image before the eyes of the colonial government and the United Nations Visiting Missions" (p. 113)

"It is strange that this milestone in Nyerere's life has neither been documented nor accorded importance" (p. 114)
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom