Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Chamviga,
Ahsante sana.
Ndugu zetu wanachomwa sana na historia hii kama vile Mjerumani Krapf
alivyochomwa na ustaarabu wa Chifu Kimweri alipomkuta Vuga.
Kamkuta Kimweri na wanae wote wanajua kusoma na kuandika na waungwana.
Krapf kaja kukutana na ''washenzi'' anakutana na wastaarabu.
Hii saikolojia bado wanayo hawa ndugu zetu.
Duniani kote nilikoalikwa kuhadhir Alhmadulilah nimepongezwa na kupigiwa makofi.
Cha ajabu kipi hapa JF?
Mzee MS naomba ufafanuzi unapotumia neno "hawa ndugu zetu" unamaanisha ni kina nani hao?