Maswali na Majibu kuhusu Kitabu cha Mohamed Said

Dully mtoto mdogo unatuletea mifano ya watoto, teh teh teh.
 
Unauliza suali halafu unajijibu mwenyewe kuwa familia ya Mwapachu walikuwa karibu na Nyerere, kisha unataka Mohamed Said akujibu nini tena, nakushauri ukitaka kupata historia nzuri ya Tanganyika tafuta kitabu cha historia kilichoandikwa Chuo cha Kivukoni.
 
Last edited by a moderator:
Mdadisi, Kama kweli una nia ya kuboresha nakushauri kaboreshe kitabu cha Historia ya
TANU kilichoandikwa na Chuo Cha Kivukoni.


Mnanichanganya
 

Bwana Udadisi,

Hivi Ilm/taaluma kama hii ya Kadinali Rugambwa,si ndo yashabihiana kama na ya yule Dr Padri Slaa,au!?

Amma kweli,"duniani ni waili waili"!

Ahsanta.
 
Bwana Udadisi,

Hivi Ilm/taaluma kama hii ya Kadinali Rugambwa,si ndo yashabihiana kama na ya yule Dr Padri Slaa,au!?

Amma kweli,"duniani ni waili waili"!

Ahsanta.

Mkuu nilijua tu kuna mtu atalileta hilo na kuanza kututoa nje ya mada, hapo hoja ni nani hasa alikuwa "the most educated African in the land" wakati huo - Nyerere, Rugambwa, Makwaia, Bantu, Mwindadi, Kibwana ama?
 
Bwana Udadisi,

Kwa jinsi mjadala huu uendavyo,nakhis utachanganyikiwa/"watakuchanganya" saana tu! Daah! Teeh! Teeh! Teeh!

Pole!

Ahsanta sana.

Halafu karibu huku https://groups.yahoo.com/neo/groups/Wanazuoni/conversations/messages/23337 kuna mjadala wa ngeli na naona kamusi zinazochapishwa na familia yenu imetajwa, rejea:

"Ukisoma kamusi za Kiswahili zilizoandaliwa na taasisi za Zanzibar au hata maandiko ya Kiswahili mengi toka visiwani utagundua namna Kiswahili chao kinavyotofautiana na hiki tunachojifunza huku. Kamusi moja niliyoiona hata jina lake lenyewe lilinishangaza: Kamusi LA Kiswahili. Huku tungetumia YA" - https://groups.yahoo.com/neo/groups/Wanazuoni/conversations/topics/23282
 
Mkuu nilijua tu kuna mtu atalileta hilo na kuanza kututoa nje ya mada, hapo hoja ni nani hasa alikuwa "the most educated African in the land" wakati huo - Nyerere, Rugambwa, Makwaia, Bantu, Mwindadi, Kibwana ama?

Ndo maana mie ikanilazim kutumia ile "Hikmat Al Maarifa",kwa kuliuliza awali...ili kujaribu kukuondoshea zogo/adha huko wendako!?

Niwia radhi kama wakhis nimeleta khitilaf!? Shukran!

Ahsanta.
 
Yaleyale. Historia inaandikwa na maneno kama: "probably", "it was believed", kumiliki gari, radio, baiskeli nayo ni historia iliyosahaulika!
 
Wild Card,
Yale yale hakika.

Kwani yapo mengine uyajuayo ambayo ni mbali na yale yale?

Ingia: dabliyu dabliyu dabliyu dot mohammedsaid dot com yapo mengine.
 
19. "It had only been once in the history of Dar es Salaam that a Christian, Erika Fiah, had held the banner against the colonial state" (p. 118)

20. "Soon after Nyerere's takeover, TAA seemed to go into slumber. The militancy and zeal which was associated with the leadership of Abdulwahid was lost. " (p. 118)

"For a while it seemed as if Nyerere was going to be a setback to the movement' (p. 119)

"Abdulwahid was aivalable as Vice-President but he was also keen to see Nyerere, as President, assuming his full role in making his own decisions" (p. 119)

"The executive committee of the association, with the exception of Julius Nyerere and Abdulwahid, virtually lost all power as the Muslim elders literally took over the movement. Gradually Abdulwahid would also come to lose his grip on the movement particularly after forming TANU, so as to leave Nyerere and the leadership from the provinces to lead Tanganyika to independence" (p. 121)

"It is said that it was about this time, in the last months of 1953, that Abdulwahid talked to Nyerere seriously about forming an open political party to replace TAA" (p. 121)
 




Ritz,
Picha hii ilipigwa mwaka wa 1968.

Katika picha hii kuna vijana kutoka ukoo wa Tambaza, Sykes, Mwapachu na Mtemvu.
Wazee wa hao wote wameacha alama katika historia ya uhuru wa Tanganyika.

Inawezekanaje mimi nisiijue historia ya watu hawa na mchango wao katika kupigania uhuru
wa Tanganyika?

Mimi ni mmoja wa hao waliopo kwenye picha hiyo.




Ritz,
Picha hii ilipigwa katikati ya miaka ya 1950 wakati harakati za uhuru ziko moto sana.

Picha hii ilipigwa Mtoni kwenye shamba la Sheikh Abdallah Idd Chaurembo ambae kwenye picha ni huyo alievaa
hegal kakaa chini mkono wa kulia wa picha.

Mtafute Nyerere kwenye picha hii.
Mtafute Rupia kwenye picha hii.

Hawa unaowaona wamemzunguka Nyerere ndiyo waliokuwanaye wakati wa kupigania uhuru.
Hawa ndiyo wazee wetu waliokujasahauliwa na historia zao kufutwa.
 
wateule wa dar es salaam - the dar es salaam elites
 

Sheikh Mohamed Said,

Salaam na shukran kwa hizi bayana zako ziso shaka...sisi nduguzo soote twakusoma na kufaidika mno!

Mmependeza mno hiyo "enzi zenu",kwenye ile picha ya awali hapo juu!

Nakhis,weye ni huyo wa mwanzo kulia katika walosimama!?

Anayekufuatia,yaani wa pili kulia katika walosimama nakhis ni Wolter Juma Mwapachu!?

Huyo alovaa miwani kati ya hao walosimama,nakhis ni Harith Bakari Mwapachu!?

Wala hamjabadilika sana...nakhis siku hizi ndo mwazidi kupendeza na kung'ara mno! Teeh! Teeh! Teeh!

Nimekwama kiduchu kuwatambua hao walobaki...najua siku tukikutana penye uhai na majaaliwa,basi utantajia hao wangine!

Nakutakia W'end njema...Insha Allah Mola takuzidishia neema katika yoote ufanzayo na kukuepusha na hasada zoote dhidi yako!

Ahsanta.
 
Sharif
Ahsante. Umenitambua. Huyo ndie mimi nikiwa na miaka 16. Alonifatia ni marehemu Yusuf Zialor. Mtu karim sijapata kuona. Anefatia ni Kleist Abdulwahid Sykes. Juma Mwapachu alikuwa mkubwa sana kwetu haingii katika group yetu. Katika waliochutama wa katikati ni mdogo wake Juma Wendo Mwapachu.
 
Maalim M.Said ktk hii picha ya chini anayo onekana Jkn huyo wakulia na kushoto wake ninani na je hapa Mzee Mangara yupo nakama yupo yupi?
 
Sharif kulia kwa JKN ni Bilal Mshorwa liwali kutoka Tabora na kulia Ahmed Saleh liwali Dar. Ntakufahamisha kuhusu Mangara Tabu.
 
Sharif kulia kwa JKN ni Bilal Mshorwa liwali kutoka Tabora na kulia Ahmed Saleh liwali Dar. Ntakufahamisha kuhusu Mangara Tabu.

Nashukuru kwa kunijuza Maalim wangu m/zimungu akupe umri mrefu na wepesi ktk haya utuilimishayo Amen. Ingawa sipaswi kunipa hilo jina ulilo nipa.mm ni mwnafunzi kwako nahitiji kujua zaidi yahayo niliokuuliza. Na ktk jibu lako nadhani umekosea kidogo samahani kama nitakuwa nimekosea mm umeniambia KULIA kwa Jkn ni Bilall mshorwa liwali Tb na KULIA ni Ahmed saleh liwali Dar. Hapo nilipo andika kwa herifi kubwa ndio ninamashaka napo.
 
Sheikh Mohamed Said

Shukran sana kwa hii mipini.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…