MKALIKENYA
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,196
- 486
Sera hii ya Jamal Malinzi na wenzake akina Mayanga HAIJAWAHI kuwepo duniani na inaanzia TZ!Sijapata ona popote duniani nchi ikaendelea kisoka bila kuwekeza!Kama issue ni vijana kuna vijana wengi wanacheza soka la hali juu league zetu!Hawa wa mitaani wameandaliwa lini,wapi na nani?
Tunacheza na Zimbabwe kufuzu mataifa huru baadae mwezi ujao tutegemee kipigo kikali!
Malinzi kashindwa kazi akae miaka yake 4 aondoke!
Kuna yule jamaa mshauli wa ufundi wa bwana malinzi ana jina la asili ya mkoa wa kagera naomba mwenye CV yake juu ya uweledi wake kwenye mambo ya soka hadi kupewa nafasi hiyo nyeti ya kumshauli Rais wa TFF mambo ya ufundi?serious kuna mambo yanaendelea kwenye soka letu mmmmh yangu macho na masikio.