Jamal Malinzi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 710
- 650
- Thread starter
- #261
Malafyale una hoja nzuri lakini jitahidi kubadili njia ya uwasilishaji wa hoja zako kwa jinsi unavyowasilisha kwa shutuma na kumuhukumu waziwazi malinzi sidhani kama ni lengo la jukwaa hili na mimi nadhani usipobadilika mkuu utaharibu utamu na maudhui ya ukurasa huu mahususi please please uungwana ni matendo badilika tusonge mbele.
na ndio maana nimeamua nisimjibu Malafyale. ingawa majibu ninayo.
Last edited by a moderator: