Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Nadhani Kagame anawapa ufadhili wa silaha na wanajeshi ili kumsaidia Mtutsi mwenzake anayebaguliwa Congo.
Pia Nadhani, anawapa msaada waasi kwasababu Congo iliwaunga mkono waasi wa kihutu. Unaiunga mkono FDLR basi Nami nitawaunga mkono M23.
Sasa kama Kama ni kweli Rwanda inahusika
1. Kwanini hatuoni vijana wa kikongoko wakiipigania nchi Yao kwa kufa na kupona? Morale ya vita sio silaha au miundombinu bora bali cha kwanza ni ule munkari wa watu kujitolea kufa na kupona....kwanini Wacongo hawana hili???
2. Au ambayo yamekuwa yanalalamikiwa na M23 ndiyo yanayopitiwa na Wacongo wote?
3. Kwanini Kabila yupo kimya? Anamkono gani kwenye hili. Kumbuka makubaliano yake na Hawa waasi March 2009.
4. Je, Nangaa ni mtutsi?
Hakuna hisia mbaya kama za kukataliwa na nchi yako. MTUTSI ambaye vizazi na vizazi vimezaliwa Congo Kisha serikali inamwambia sio Mcongomani kisa tu anazungumza Kinyarwanda.
Mfano mdogo: Mimi Mama mzaa bibi yangu ni Msomali. Simfahamu hata.
Kwa muonekano ukiniona tu japo hadi uwe mdadisi utagundua ninavinasaba vya Kisomali. Lakini mimi sio msomali na hata sipajui.
Mara nyingi nikikutana na wale wabongo wajuaji wananiambia wewe sio mtanzania. Huwa najiskia Vibaya saana kila sehemu ya mwili wangu husisimka. Sasa huyo ni mtu baki....fikiria serikali iniambie hivyo...unafikiri nini kitafuata???
Pia Nadhani, anawapa msaada waasi kwasababu Congo iliwaunga mkono waasi wa kihutu. Unaiunga mkono FDLR basi Nami nitawaunga mkono M23.
Sasa kama Kama ni kweli Rwanda inahusika
1. Kwanini hatuoni vijana wa kikongoko wakiipigania nchi Yao kwa kufa na kupona? Morale ya vita sio silaha au miundombinu bora bali cha kwanza ni ule munkari wa watu kujitolea kufa na kupona....kwanini Wacongo hawana hili???
2. Au ambayo yamekuwa yanalalamikiwa na M23 ndiyo yanayopitiwa na Wacongo wote?
3. Kwanini Kabila yupo kimya? Anamkono gani kwenye hili. Kumbuka makubaliano yake na Hawa waasi March 2009.
4. Je, Nangaa ni mtutsi?
Hakuna hisia mbaya kama za kukataliwa na nchi yako. MTUTSI ambaye vizazi na vizazi vimezaliwa Congo Kisha serikali inamwambia sio Mcongomani kisa tu anazungumza Kinyarwanda.
Mfano mdogo: Mimi Mama mzaa bibi yangu ni Msomali. Simfahamu hata.
Kwa muonekano ukiniona tu japo hadi uwe mdadisi utagundua ninavinasaba vya Kisomali. Lakini mimi sio msomali na hata sipajui.
Mara nyingi nikikutana na wale wabongo wajuaji wananiambia wewe sio mtanzania. Huwa najiskia Vibaya saana kila sehemu ya mwili wangu husisimka. Sasa huyo ni mtu baki....fikiria serikali iniambie hivyo...unafikiri nini kitafuata???