Maswali ninayojiuliza kwenye huu mgogoro wa DRC

Maswali ninayojiuliza kwenye huu mgogoro wa DRC

Sijajua ipoje huko lakini navyoona, kuna kila sababu M23 wakajumuishwa kwenye jeshi la taifa na hiyo sehemu ya Goma ikawa chini ya jeshi la taifa.

Kama ni kweli hao Watusi wa DRC waliishi hapo miaka mingi kutokea Rwanda, ni ngumu Kagame kukubali warudishwe Rwanda kwa sababu ardhi Rwanda haitoshi.

Turejee historia, baada ya bara la Afrika kugawanywa, kuna jamii za mipakani zilijikuta zipo nchi mbili tofauti mfano Wamakonde wa Msumbiji na Tanzania.

Serikali ikubali kuzungumza na M23 wawekeane mikakati ya kudhibiti Watusi wapya kuingia mashariki wabaki wale wa zamani tu! Lakini kuwakataa itakuwa ngumu mana Kagame anasema hao Watusi nyumbani kwao ni huko DRC mashariki na siyo Rwanda
Haya ndiyo yalikuwa makubaliano ya mwaka 2009 March yaliyofanyika Afrika kusini ila baadae serikali ya Congo ikawageuka waasi....ndiyo wakaunda March 23.....
 
1.Watsi wanachikifanya ni kama anchokifanya Israel dhidi ya Palestine,watsi akiwemo Kagame ni wahamiaji kutoka Ethipians ndio maana unaona huu ukanda wote hao watsi ndio wana maumbi na sura tofauti.
2.Walijatawalia maeno huko kongo iliyopo jirani na rwanda na kuanzisha makazi.
3.M23 ni wabaki ya wapiganaji wa kagame aliokuwa nao huko Uganda,na badaye Kagame akawapandikiza huko Kongo kwa lengo la kuvuna rasilimali.
4.Kabila mkubwa aliingia makubaliano na Paul Kagame na kuwatumia M23 kupindua Serikali ya Mobutu kwa ahadi kuwa atawapa hayo maeno wanayoyakalia M23 yawe yao kisheria na kuwapa madaraka.Badaye Kabila Mkubwa hakufanya hivyo aliwapa vyeo lakini hakuwapa eneo-badaye Kagame akamu assassinate kabila.
5.Kagame anatumiwa na mataifa ya USA na Ulaya kuharibu amani ya kongo na kuiba rasilimali za kongo.

Kwa kuwa mgogoro huu unahusisha western countries,njia pekee ya kongo kutoka kwenye mgogoro kama huu ni kiongozi wao kuungana na Russia au ant-west countries na nchi iendeshwe kijeshi dawa ya moto ni moto.
 
Kagame ameingia mkataba na European Union kuwauzia madini, jiulize hao wazungu wanafikiri madini yanatoka wapi, yanapatikanaje? Kuna wengi nyuma ya Kagame mbali na US, naona wakubwa wamesha amua Kongo mashariki aichukue Kagame.
Je, suala la Watutsi wanaoishi mpakani na Congo kuilalamikia serikali nalo tulipuuze?
 
Kagame ameingia mkataba na European Union kuwauzia madini, jiulize hao wazungu wanafikiri madini yanatoka wapi, yanapatikanaje? Kuna wengi nyuma ya Kagame mbali na US, naona wakubwa wamesha amua Kongo mashariki aichukue Kagame.
UONGO
 
Nadhani Kagame anawapa ufadhili wa silaha na wanajeshi ili kumsaidia Mtutsi mwenzake anayebaguliwa Congo.

Pia Nadhani, anawapa msaada waasi kwasababu Congo iliwaunga mkono waasi wa kihutu. Unaiunga mkono FDLR basi Nami nitawaunga mkono M23.

Sasa kama Kama ni kweli Rwanda inahusika
1. Kwanini hatuoni vijana wa kikongoko wakiipigania nchi Yao kwa kufa na kupona? Morale ya vita sio silaha au miundombinu bora bali cha kwanza ni ule munkari wa watu kujitolea kufa na kupona....kwanini Wacongo hawana hili???

2. Au ambayo yamekuwa yanalalamikiwa na M23 ndiyo yanayopitiwa na Wacongo wote?

3. Kwanini Kabila yupo kimya? Anamkono gani kwenye hili. Kumbuka makubaliano yake na Hawa waasi March 2009.

4. Je, Nangaa ni mtutsi?
Hakuna hisia mbaya kama za kukataliwa na nchi yako. MTUTSI ambaye vizazi na vizazi vimezaliwa Congo Kisha serikali inamwambia sio Mcongomani kisa tu anazungumza Kinyarwanda.

Mfano mdogo: Mimi Mama mzaa bibi yangu ni Msomali. Simfahamu hata.

Kwa muonekano ukiniona tu japo hadi uwe mdadisi utagundua ninavinasaba vya Kisomali. Lakini mimi sio msomali na hata sipajui.

Mara nyingi nikikutana na wale wabongo wajuaji wananiambia wewe sio mtanzania. Huwa najiskia Vibaya saana kila sehemu ya mwili wangu husisimka. Sasa huyo ni mtu baki....fikiria serikali iniambie hivyo...unafikiri nini kitafuata???
Dhambo ya ubaguz haiish milele....
 
1.Watsi wanachikifanya ni kama anchokifanya Israel dhidi ya Palestine,watsi akiwemo Kagame ni wahamiaji kutoka Ethipians ndio maana unaona huu ukanda wote hao watsi ndio wana maumbi na sura tofauti.
2.Walijatawalia maeno huko kongo iliyopo jirani na rwanda na kuanzisha makazi.
3.M23 ni wabaki ya wapiganaji wa kagame aliokuwa nao huko Uganda,na badaye Kagame akawapandikiza huko Kongo kwa lengo la kuvuna rasilimali.
4.Kabila mkubwa aliingia makubaliano na Paul Kagame na kuwatumia M23 kupindua Serikali ya Mobutu kwa ahadi kuwa atawapa hayo maeno wanayoyakalia M23 yawe yao kisheria na kuwapa madaraka.Badaye Kabila Mkubwa hakufanya hivyo aliwapa vyeo lakini hakuwapa eneo-badaye Kagame akamu assassinate kabila.
5.Kagame anatumiwa na mataifa ya USA na Ulaya kuiba rasilimali za kongo.
1. Lakini jamii nyingi zimehamia maziwa makuu kutokea sehemu tofauti tofauti. Huyu Mtutsi hakuwa hapo kabla ya uhuru wa Congo? Huyu ni raia wa wa wawapi sasa?

2. Historia inapingana kidogo na wewe....Watutsi wapo Mashariki mwa Congo kabla hata ya ukoloni. Koloni la Mbelgiji liliwatumia watutsi na kuwapa vyeo huku ndiko kuliwafanya watutsi kujiona bora kuliko makabila mengine.

Ni kweli Kagame atakuwa ametake advantage na kutumia mgogoro wa Watutsi na Serikali ya Congo kama fursa....lakini kwanini tuwakatae wamasai na tuseme ni wakenya kisa tu wanavinasaba vya kimasai?
 
Nadhani Kagame anawapa ufadhili wa silaha na wanajeshi ili kumsaidia Mtutsi mwenzake anayebaguliwa Congo.

Pia Nadhani, anawapa msaada waasi kwasababu Congo iliwaunga mkono waasi wa kihutu. Unaiunga mkono FDLR basi Nami nitawaunga mkono M23.

Sasa kama Kama ni kweli Rwanda inahusika
1. Kwanini hatuoni vijana wa kikongoko wakiipigania nchi Yao kwa kufa na kupona? Morale ya vita sio silaha au miundombinu bora bali cha kwanza ni ule munkari wa watu kujitolea kufa na kupona....kwanini Wacongo hawana hili???

2. Au ambayo yamekuwa yanalalamikiwa na M23 ndiyo yanayopitiwa na Wacongo wote?

3. Kwanini Kabila yupo kimya? Anamkono gani kwenye hili. Kumbuka makubaliano yake na Hawa waasi March 2009.

4. Je, Nangaa ni mtutsi?
Hakuna hisia mbaya kama za kukataliwa na nchi yako. MTUTSI ambaye vizazi na vizazi vimezaliwa Congo Kisha serikali inamwambia sio Mcongomani kisa tu anazungumza Kinyarwanda.

Mfano mdogo: Mimi Mama mzaa bibi yangu ni Msomali. Simfahamu hata.

Kwa muonekano ukiniona tu japo hadi uwe mdadisi utagundua ninavinasaba vya Kisomali. Lakini mimi sio msomali na hata sipajui.

Mara nyingi nikikutana na wale wabongo wajuaji wananiambia wewe sio mtanzania. Huwa najiskia Vibaya saana kila sehemu ya mwili wangu husisimka. Sasa huyo ni mtu baki....fikiria serikali iniambie hivyo...unafikiri nini kitafuata???
Ndo hivyo mkuu watu wanaumiza bila sababu za msingi vita si nzuri kabisa maana wahanga wakuu ni wanawake na watoto.

Wakubwa wachache wanataka kuwauwa watu wa Mungu kwa maslahi yao binafsi.
 
1.Watsi wanachikifanya ni kama anchokifanya Israel dhidi ya Palestine,watsi akiwemo Kagame ni wahamiaji kutoka Ethipians ndio maana unaona huu ukanda wote hao watsi ndio wana maumbi na sura tofauti.
2.Walijatawalia maeno huko kongo iliyopo jirani na rwanda na kuanzisha makazi.
3.M23 ni wabaki ya wapiganaji wa kagame aliokuwa nao huko Uganda,na badaye Kagame akawapandikiza huko Kongo kwa lengo la kuvuna rasilimali.
4.Kabila mkubwa aliingia makubaliano na Paul Kagame na kuwatumia M23 kupindua Serikali ya Mobutu kwa ahadi kuwa atawapa hayo maeno wanayoyakalia M23 yawe yao kisheria na kuwapa madaraka.Badaye Kabila Mkubwa hakufanya hivyo aliwapa vyeo lakini hakuwapa eneo-badaye Kagame akamu assassinate kabila.
5.Kagame anatumiwa na mataifa ya USA na Ulaya kuharibu amani ya kongo na kuiba rasilimali za kongo.

Kwa kuwa mgogoro huu unahusisha western countries,njia pekee ya kongo kutoka kwenye mgogoro kama huu ni kiongozi wao kuungana na Russia au ant-west countries na nchi iendeshwe kijeshi dawa ya moto ni moto.
Elezea Namba 5....

Sasa kwanini hatuoni wananchi wazalendo wakiipambania nchi Yao hasa pandemic wa mashariki?

M23 imechukua Goma na wananchi wapo mitaani wanawashangilia....Kuna shida gani hapa
 
Kifo cha Kagame ndio itakuwa uhuru wa wahutu ambao ni 84% ya population ya watu Rwanda.
 
Burundi walikuwa wakorofi sana kipindi cha Mkapa. Mpaka kidogo Tanzania inawachakaze Burundi.
Makundi kama Red Tabara yalisumbua saana. Utofauti wa Burundi na Rwanda ni kwamba baada ya mauaji ya kimbari Rwanda ilitulia kisiasa kwa kiasi fulani lakini Burundi walitawaliwa na machafuko.....tusimsahau Kurunzinza katoka tu juzi
 
Makundi kama Red Tabara yalisumbua saana. Utofauti wa Burundi na Rwanda ni kwamba baada ya mauaji ya kimbari Rwanda ilitulia kisiasa kwa kiasi fulani lakini Burundi walitawaliwa na machafuko.....tusimsahau Kurunzinza katoka tu juzi
Kivipi Rwanda ilitulia kosiasa? Acha uongo. FDRL wapo wapi?
 
Kwanini hatuoni vijana wa kikongoko wakiipigania nchi Yao kwa kufa na kupona? Morale ya vita sio silaha au miundombinu bora bali cha kwanza ni ule munkari wa watu kujitolea kufa na kupona....kwanini Wacongo hawana hili???
Wako bize wanasakata Rhumba huko Paris
 
Kivipi Rwanda ilitulia kosiasa? Acha uongo. FDRL wapo wapi?
Kwa miaka ya karibuni Rwanda vs Burundi ...Rwanda imetulia kwa kiasi chake.

Anzia miaka ya mwishoni mwa 90 hadi sasa......labda kama umepitwa hapo karibuni.

Kutulia kisiasa kuna jumuisha.
1. Ulinzi wa nchi
2. Kutokuwa na vita ya wenyewe kwa wenyewe
3. Kukuza uchumi n.k
 
Kagame ameingia mkataba na European Union kuwauzia madini, jiulize hao wazungu wanafikiri madini yanatoka wapi, yanapatikanaje? Kuna wengi nyuma ya Kagame mbali na US, naona wakubwa wamesha amua Kongo mashariki aichukue Kagame.
Umeongea kitu kizuri.

Ajiulize swali jingine wale Mercenaries wapo kwa ajili ya nani?

Ajiulize swali jingine why waasi waachie wale Mercenaries waondoke kwenye ardhi za DRC bila kuwagusa, tena wanapitia Rwanda.

Halafu akipata muda,aitizame hii video ya mbunge wa Ubeligiji nazani ataelewa walio nyuma wa huu mgogoro na kwa maslahi ya nani.


View: https://m.youtube.com/watch?v=ajQhHy6U830&pp=ygUfV2hlbiB3b21hbiBiZWcgbWFuIHRvIG1hcnJ5IGhlcg%3D%3D
 
Hapo Goma haugombaniwi uraia, ni madini ndo yanagombaniwa..!!
Kungekuwa hakuna madini kila raia angerudi kwenye nchi yake..!

Hata wewe huo usomali unaopewa ungeufurahia km Somalia kusingekuwa na vita..!! Lazima ushtuke na ukasirike coz unajua watakuchukulia km gaidi.. sidhani km Somalia kungekuwa na amani na nchi nzuri ya kuishi ungebaki bongo….!!
 
Back
Top Bottom