Paper alikuwa jepesi watu tumekandwa , wameuliza vitu maswali ambayo sio common na kutegemea mtu atapitia, nikusanue tu wameuliza Auditing approaches majibu yake yapo kwenye B3 kachungulie uone kama ni rahisi kwa mtu kuotea kuzisoma, ndo maana imeitwa interview na sio mtihani mwenye bahati yake aliyeongozwa na mungu kusoma iyo sehemu ameshatusua maana nahisi watakaopita oral watakuwa na marks 0-50 kuvuka sio rahisiTupe maswali sasa kama Ilikua nyepesi
Huwa naamini kila pepa hata iwe nyepesi lazima inaugumu wake tuPaper alikuwa jepesi watu tumekandwa , wameuliza vitu maswali ambayo sio common na kutegemea mtu atapitia, nikusanue tu wameuliza Auditing approaches majibu yake yapo kwenye B3 kachungulie uone kama ni rahisi kwa mtu kuotea kuzisoma, ndo maana imeitwa interview na sio mtihani mwenye bahati yake aliyeongozwa na mungu kusoma iyo sehemu ameshatusua maana nahisi watakaopita oral watakuwa na marks 0-50 kuvuka sio rahisi
Maswali mengine ni yapi mkuu? Kesho tukakandwe,tupate hata ABCsPaper alikuwa jepesi watu tumekandwa , wameuliza vitu maswali ambayo sio common na kutegemea mtu atapitia, nikusanue tu wameuliza Auditing approaches majibu yake yapo kwenye B3 kachungulie uone kama ni rahisi kwa mtu kuotea kuzisoma, ndo maana imeitwa interview na sio mtihani mwenye bahati yake aliyeongozwa na mungu kusoma iyo sehemu ameshatusua maana nahisi watakaopita oral watakuwa na marks 0-50 kuvuka sio rahisi
Matokeo wanayatoa lini mkuu ? Mimi nimepiga ya HESLB na ndo Pepa yangu ya kwanza ya utumishi, it was kinda challenging naweza semaAfadhali kidogo ya HESLB aisee, sio sawa na jana kule NAOT
Nikumuomba Mungu tu utapita mzeeAfadhali kidogo ya HESLB aisee, sio sawa na jana kule NAOT
Pole kiongoziM
Matokeo wanayatoa lini mkuu ? Mimi nimepiga ya HESLB na ndo Pepa yangu ya kwanza ya utumishi, it was kinda challenging naweza sema
Pole sana mkuu.Afadhali kidogo ya HESLB aisee, sio sawa na jana kule NAOT
Challenging kivipi mkuu?M
Matokeo wanayatoa lini mkuu ? Mimi nimepiga ya HESLB na ndo Pepa yangu ya kwanza ya utumishi, it was kinda challenging naweza sema
Jana tuliambiwa matokeo tarehe 2, bila shaka yatakuwa around hizo tareheM
Matokeo wanayatoa lini mkuu ? Mimi nimepiga ya HESLB na ndo Pepa yangu ya kwanza ya utumishi, it was kinda challenging naweza sema
Tuzidishe maombi tu mkuuTuzidishe maombi tu mkuu,maana ya Mungu nayo mengi.
Nilitumia ile formula yako ya kugusa kila swali
Umefata pisi mzee??hapo mida ya usiku ndo unawapata😂😂😂😂Niko chako Ni chako
Kaka kama unayakumbuka maswali unaweza share hapa baadhi ili tupate cha kujifunza.Njoo hapa malaika ule kuku wa kuchoma.
Ntayaandika kwa kifupi jinsi mimi nilivyoelewa coz yalikua yameulizwa kwa mfumo wa maelezo marefu.Mkuu kyagata wameuliza maswali gani?
Hii kidogo inajibikaNtayaandika kwa kifupi jinsi mimi nilivyoelewa coz yalikua yameulizwa kwa mfumo wa maelezo marefu.
1.objectives of loans board management.
2.Discuss the reasons for establishing loans board.
3.Criteria for one to be eligible for loan from heslb.
4.What are expectations of government of Tanzania on Heslb finance?