Maswali ya interview NAOT na HESLB

Maswali ya interview NAOT na HESLB

Ntayaandika kwa kifupi jinsi mimi nilivyoelewa coz yalikua yameulizwa kwa mfumo wa maelezo marefu.
1.objectives of loans board management.
2.Discuss the reasons for establishing loans board.
3.Criteria for one to be eligible for loan from heslb.
4.What are expectations of government of Tanzania on Heslb finance?
Sas yule dada alisahu kuandika namba yake ya mtihan alkuw anawaza nn akawa anatuchelwesh kusepa LT 2 half sijapend ule utaratib wao wa kusign out
 
Hivi kwa harakaharaka jumla ya watu waliofanya ile pepa ya HESLB ni kama wangapi
Jumla ya venue zilizofanyika kufanya usahili ni ngapi?
 
Sas yule dada alisahu kuandika namba yake ya mtihan alkuw anawaza nn akawa anatuchelwesh kusepa LT 2 half sijapend ule utaratib wao wa kusign out
Hataree kusign out wanatumia muda mrefu sana aixee.. mkisha saini wanahesabu tena. Pepa ni dk 40 ila kina masaa mawili ya ukaguzi na ku sign
 
Hebu naomba maswali yake mzee
Aisee mawili ya ki NAOT yalikuwa marefu sana ..

Moja madhani linataka basis za communication when auditing somebody.

Pili nadhani linataka sijui how to conduct professional judgement..

Nimeyaachia apo apo sijataka niyakumbuke mana sioni future yake
 
Aisee mawili ya ki NAOT yalikuwa marefu sana ..

Moja madhani linataka basis za communication when auditing somebody.

Pili nadhani linataka sijui how to conduct professional judgement..

Nimeyaachia apo apo sijataka niyakumbuke mana sioni future yake
Hawakutoa yaliyobase kwenye geology?
 
Back
Top Bottom