OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
4. Hivi kweli utanijali...maana yake utanipa pesa?Kuna maswali ya kijinga huuliza wanawake ukianza kumtongoza. Nasema ya kijinga kwa sababu anakuwa anajua majibu yake au anajua kabisa hawezi kuambiwa ukweli.
Anauliza
1. Mimi ni mwanamke wako wangapi?
2. Hivi kweli huna demu mwingine?
3. Hivi kweli hutonichiti?
4. Hivi kweli utanijali?
Hivi kweli kuna bwege atakutajia idadi kamili ya mademu aliogonga? Au kukuambia ndiyo ana demu mwingine?
Ongeza maswali mengine ya kijinga
Kumbe ni Poor BrainKumbe ni Platinum pia
😂😂😂😂😂🙏🙏🙏
kuna mambo hua yanaflow yenyewe automaticSijawahi kuuliza…
Hata hili "Hivi unanipenda kweli"Sijawahi kuuliza…
Hili uwa liko hiviiiUtasikia una mpango gani na mimi naishia kucheka tuuu 😄
😂😂 siuliziHata hili "Hivi unanipenda kweli"
Una maanisha wale wakongwe wa kupigwa paipu hawezi kuuliza hivyo?Huyo sio mwanamke wala msichana anayejibu hivyo, ila ni mtoto mdogo wa kike.
Wakulungwa wanajibu hivi "Utaweza kunihudumia?"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha kutongoza watoto.
what kind of relatnship oooh in my head am just girl i jus wanna f@&*% and goHili uwa liko hiviii
What kind of relationship do u want? Uwe mkweli, niwe mkweli
Tusichoshane.
Dahhh umepiga kwenye mshonoHuyo sio mwanamke wala msichana anayejibu hivyo, ila ni mtoto mdogo wa kike.
Wakulungwa wanajibu hivi "Utaweza kunihudumia?"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha kutongoza watoto.