OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #41
Umenifuata mpaka hukuMuhasibu kwenye one & two
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenifuata mpaka hukuMuhasibu kwenye one & two
unakutana na demu ndio hata wiki hamna and she is like:Kuna maswali ya kijinga huuliza wanawake ukianza kumtongoza. Nasema ya kijinga kwa sababu anakuwa anajua majibu yake au anajua kabisa hawezi kuambiwa ukweli.
Anauliza
1. Mimi ni mwanamke wako wangapi?
2. Hivi kweli huna demu mwingine?
3. Hivi kweli hutonichiti?
4. Hivi kweli utanijali?
Hivi kweli kuna bwege atakutajia idadi kamili ya mademu aliogonga? Au kukuambia ndiyo ana demu mwingine?
Ongeza maswali mengine ya kijinga
Umri unaongeaKuna maswali ya kijinga huuliza wanawake ukianza kumtongoza. Nasema ya kijinga kwa sababu anakuwa anajua majibu yake au anajua kabisa hawezi kuambiwa ukweli.
Anauliza
1. Mimi ni mwanamke wako wangapi?
2. Hivi kweli huna demu mwingine?
3. Hivi kweli hutonichiti?
4. Hivi kweli utanijali?
Hivi kweli kuna bwege atakutajia idadi kamili ya mademu aliogonga? Au kukuambia ndiyo ana demu mwingine?
Ongeza maswali mengine ya kijinga
Ety anauliza utanioa🤣🤣 au basi🏃♂️Kuna maswali ya kijinga huuliza wanawake ukianza kumtongoza. Nasema ya kijinga kwa sababu anakuwa anajua majibu yake au anajua kabisa hawezi kuambiwa ukweli.
Anauliza
1. Mimi ni mwanamke wako wangapi?
2. Hivi kweli huna demu mwingine?
3. Hivi kweli hutonichiti?
4. Hivi kweli utanijali?
Hivi kweli kuna bwege atakutajia idadi kamili ya mademu aliogonga? Au kukuambia ndiyo ana demu mwingine?
Ongeza maswali mengine ya kijinga
Hapo amejibu au ameuliza mkuu?!!Huyo sio mwanamke wala msichana anayejibu hivyo, ila ni mtoto mdogo wa kike.
Wakulungwa wanajibu hivi "Utaweza kunihudumia?"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha kutongoza watoto.
'Mkeo akijua je?'Kuna maswali ya kijinga huuliza wanawake ukianza kumtongoza. Nasema ya kijinga kwa sababu anakuwa anajua majibu yake au anajua kabisa hawezi kuambiwa ukweli.
Anauliza
1. Mimi ni mwanamke wako wangapi?
2. Hivi kweli huna demu mwingine?
3. Hivi kweli hutonichiti?
4. Hivi kweli utanijali?
Hivi kweli kuna bwege atakutajia idadi kamili ya mademu aliogonga? Au kukuambia ndiyo ana demu mwingine?
Ongeza maswali mengine ya kijinga
Muda ana utoa wapii wa kuuliza?Una maanisha wale wakongwe wa kupigwa paipu hawezi kuuliza hivyo?
Ndo maana akee, [emoji23][emoji23][emoji23]Dahhh umepiga kwenye mshono
Maokotoo kwan, menginee baadae.Ewaaaah!! Jipigie makofi udugu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa hiyo maskini hatuna haki ya kupenda/kupendwa??Maskini hana mapenzi ya kweli...anapenda pesa
Ni jibu lililokaa kiswali. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo amejibu au ameuliza mkuu?!!
Tangu lini umekuwa maskini?
Habari yako CPA (ya mchongo) OKW.Kuna maswali ya kijinga huuliza wanawake ukianza kumtongoza. Nasema ya kijinga kwa sababu anakuwa anajua majibu yake au anajua kabisa hawezi kuambiwa ukweli.
Anauliza
1. Mimi ni mwanamke wako wangapi?
2. Hivi kweli huna demu mwingine?
3. Hivi kweli hutonichiti?
4. Hivi kweli utanijali?
Hivi kweli kuna bwege atakutajia idadi kamili ya mademu aliogonga? Au kukuambia ndiyo ana demu mwingine?
Ongeza maswali mengine ya kijinga
Kwa maana nyingine, kupenda masjini ni kubet, akipata mwenye nazo kukuxidi huna chako