Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
😂😂 utajua hujuiwhat kind of relatnship oooh in my head am just girl i jus wanna f@&*% and go
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 utajua hujuiwhat kind of relatnship oooh in my head am just girl i jus wanna f@&*% and go
Uki maanisha nn 😄😂😂 utajua hujui
Huyo sio mwanamke wala msichana anayejibu hivyo, ila ni mtoto mdogo wa kike.
Wakulungwa wanajibu hivi "Utaweza kunihudumia?"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha kutongoza watoto.
Utasikia una mpango gani na mimi naishia kucheka tuuu [emoji1]
Unasahu hilo jibu ulinipa ww 😄[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kumbe na wewe unamendea vi anda eitini
😂😂AiseeWewe unatongoza wanafunzi wa primary, sababu hata wa secondary hawana ujinga huo!!
Ila kina sie swali la kwanza, “Unajishughulisha na nini?!!”
Kwanza tujue uhakika wa pesa upo kwa asilimia ngapi? Sio huduma ziwe za kusuasua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
- wanawake wote hawa we hujawaona?
- akhaa mi staki
- staki utaniumiza
- mi naogopa
- mi nna mtuwangu
- namwogopa dada
- mi bado mdogo
- kwani we ujaoa?
- we mbona mkubwa?
Unasahu hilo jibu ulinipa ww [emoji1]
Heeeeeee wewe ni vipi 😄Sinaga ujinga huo [emoji23][emoji23][emoji23]
Swali la kipumbavu kabisa yaani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vinawaza hela sana masaa yote.4. Hivi kweli utanijali...maana yake utanipa pesa?
Maskini wengi hawana mapenzi ya kweli...ni vigumu kutofautisha kuwa anakupenda kweli au pesaSwali la kipumbavu kabisa yaani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vinawaza hela sana masaa yote.
Kwasasa sihitaji mahusiano sababu bado sijatimiza ndoto zangu.hawa wajeiefu na wenzao wa badoo n.k ukiwatext utaskia
- ushaniona mi malaya eeh?
- mi so type yako
- mi so cheap kiivo bro
- sipo hapa kwa mambo hayo
- mi expensive huniwezi
- ur not my type