Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
- Thread starter
- #21
Pamoja sanaHakuna pahala mtoa mada ameuliza maswala ya muungano, na ukae ukijua muungano sio Biblia Wala sio Quran kwamba hawezi kuvunjwa, jikite kwenye mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja sanaHakuna pahala mtoa mada ameuliza maswala ya muungano, na ukae ukijua muungano sio Biblia Wala sio Quran kwamba hawezi kuvunjwa, jikite kwenye mada
Tuwe wavumilivu wenda wajuvi wapoHayo maswali yako matatu yote mwenye majibu sahihi ni Nyerere, wengine hapa ni kuleta story walizookota kila mmoja kwenye kijiwe chake.
Kasome vitabu vya Civics.1. Wakati yanafanyika makabidhiano ya uhuru kutoka kwa Muingereza kuja kwetu kwa Watanganyika ni masharti gani Muingereza alitoa kwetu Watanganyika kuhusu uhuru alio tukabidhi December 9, 1961?
Civics level ipi ?Kasome vitabu vya Civics.
Moja wapo ni kuwa, mtu yeyote mweupe asiteswe kutokana na mambo aliyoyatenda katika zama za ukoloni.