Maswali ya Mwanangu kwa Mama yake yamenishtua!

Maswali ya Mwanangu kwa Mama yake yamenishtua!

Acha hofu. . . .. Mtoto wa umri huo anaweza sema mambo meengi tu vile ubongo wake unamuelekeza. . . Kaa naye kwa ukaribu na mapenzi muulize maswali naye atakuuliza yake utamuelewa tu

Sawa sawa.
 
Mtoto anauliza tu.... Wewe Shaka ya nini????
 
Hakuna kitu mtoto anakuwa na furaha kama wazazi wake kupendana, inawezekana alimuuliza mama yake kuhusu hayo mashuka yenye maua mama akamwambia nitayatandika baba akirudi ,kwa harakaharaka mtoto kaona hapa baba anapewa upekee flani na ndio maana kauliza mama unampenda baba
 
Hakuna kitu mtoto anakuwa na furaha kama wazazi wake kupendana, inawezekana alimuuliza mama yake kuhusu hayo mashuka yenye maua mama akamwambia nitayatandika baba akirudi ,kwa harakaharaka mtoto kaona hapa baba anapewa upekee flani na ndio maana kauliza mama unampenda baba

Yes, mkuu i can imagine!!
 
Atakuwa ndio kwanza anajifunza kuhusu upendo. Na amegundua kuwa baba hupewa vitu vizuri na spesheli kiaina. Na pengine alishasikia kwenye simu ukiambiwa i love you.

Kuna siku mtoto wa 4 yrs hivi wakati tunaangalia movie alisema 'she is pregnant'. Baba yake akamuuliza what is pregnant in swahili? Akasema 'mzuri!'. Nilijifunza kuwa positive na watoto kwa sababu ya mtizamo wa baba yule.

oh jamani..thats nice!
 
Atakuwa ndio kwanza anajifunza kuhusu upendo. Na amegundua kuwa baba hupewa vitu vizuri na spesheli kiaina. Na pengine alishasikia kwenye simu ukiambiwa i love you.

Kuna siku mtoto wa 4 yrs hivi wakati tunaangalia movie alisema 'she is pregnant'. Baba yake akamuuliza what is pregnant in swahili? Akasema 'mzuri!'. Nilijifunza kuwa positive na watoto kwa sababu ya mtizamo wa baba yule.

Mwanamke una maneno laini. Hata ukimletea Paw watoto kumi wa kuchepuka atakuwa mpole.
Mtoto ana pua kama kiazi Paw anasema amefanana na binamu wa Babu yake!!
 
Ni maswali ya kawaida kabida kwa mtoto wa kike. Mtoto wa kike hupenda sana kujua juu ya upendo, mahusiano na familia akiwa mdogo sana ndio maana hata michezo yao huwa ya kifamilia mara apike matope, mara alee mtoto nk. Na ndio maana ndoa zikiwa na misukosuko mtoto wa kike hupata hisia na maumivu mapema kuliko wa kiume (tafiti zimeonyesha ) Pia mtoto wa kike anamapenzi sana kwa baba hivyo anataka kupata assurance kwa mama kama kwake ni hivyo.

Kwa hiyo wewe kurudi nyumbani baada ya safari ni faraja sana kwake na anaconfirm tu anachoanza kuamini kuwa familia na wanandoa ni sehemu kuu ya kuonyesha upendo. So uwe na amani sana mkuu.
 
"Mama Unampenda Baba Kama Unavyompenda Anko?" Ndo Lilikuwa Swali Ila Mtoto Hakumalizia, Siku Nyingine Mpe Mda Atamalizia
 
Wakuu haya mambo ya DNA najua yatakuwa yamewagusa wanaume wengi!

Nina mwanangu mdogo ndiyo atauanza mwaka wa nne hapa duniani muda sio mrefu ni wakike.
Nina uhakika ni wakwangu kwasababu tunafanana kwa kiasi kikubwa.

Sikuwepo nyumbani kwa takribani siku 6. Nilitoka kikazi kidogo, nilirejea jana jioni! Niliwakuta wako poa.
Nimefika wife kanipokea vizuri, na binti yangu pia, stori mbili tatu, nikaenda Bafuni wife alikwisha andaa utaratibu huo, wao wakawa sebleni.
Wakati narejea kujiunga nao kabla sijaingia pale niliyasikia vizuri mazungumzo yao!!
Mwanangu alikuwa anamuuliza mama yake maswali
"Mama mi nimefurahi Baba alivyokuja, je, wewe?"
akajibu hata mimi.
"Mama afu si utamtandikia baba zile shuka nzuri kuliko zote?" akajibiwa ndiyo.

Hayo maswali hayakunipa shida sana kwasababu dogo wangu anaongea sana namfahamu,
Swali hili hapa.."Mama unampenda baba?" ndiyo lilinifanya nirejelee maswali mawili ya mwanzo kwa haraka ili kubaini lengo lake lilikuwa ni lipi kuhoji hayo maswali! ofcoz sikuweza kusikia wife alijibu nini, kwani mahojiano yao yaliisha nilivyowa join story zikawa ni nyingine.

Nimekaa sana na mwanangu natamani nimuulize kwanini alimhoji mama yake aina ile ya maswali,
Sema haiji akilini akijua kama niliwasikia anaweza akadhania tofauti nikaamua ku mute!!

Who can help me here, to describe the facts of my daughter's questions to her Mom?

Ha ha haki ya mungu mangi wa video kaja
 
Kwamba kuna mtu alitandikiwA hayo mashuka nazuri ktk hizo siku hukuwepo?
 
Back
Top Bottom