- Thread starter
- #21
Acha hofu. . . .. Mtoto wa umri huo anaweza sema mambo meengi tu vile ubongo wake unamuelekeza. . . Kaa naye kwa ukaribu na mapenzi muulize maswali naye atakuuliza yake utamuelewa tu
Sawa sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha hofu. . . .. Mtoto wa umri huo anaweza sema mambo meengi tu vile ubongo wake unamuelekeza. . . Kaa naye kwa ukaribu na mapenzi muulize maswali naye atakuuliza yake utamuelewa tu
Hakuna kitu mtoto anakuwa na furaha kama wazazi wake kupendana, inawezekana alimuuliza mama yake kuhusu hayo mashuka yenye maua mama akamwambia nitayatandika baba akirudi ,kwa harakaharaka mtoto kaona hapa baba anapewa upekee flani na ndio maana kauliza mama unampenda baba
Mtoto anauliza tu.... Wewe Shaka ya nini????
Mkuu nimechanganywa kidogo na report ya mkemia mkuu.
Ahahahaaaaa.....
Muulize UNCLE alikuja? Wakati mi sipo?
Muulize UNCLE alikuja? Wakati mi sipo?
Atakuwa ndio kwanza anajifunza kuhusu upendo. Na amegundua kuwa baba hupewa vitu vizuri na spesheli kiaina. Na pengine alishasikia kwenye simu ukiambiwa i love you.
Kuna siku mtoto wa 4 yrs hivi wakati tunaangalia movie alisema 'she is pregnant'. Baba yake akamuuliza what is pregnant in swahili? Akasema 'mzuri!'. Nilijifunza kuwa positive na watoto kwa sababu ya mtizamo wa baba yule.
Atakuwa ndio kwanza anajifunza kuhusu upendo. Na amegundua kuwa baba hupewa vitu vizuri na spesheli kiaina. Na pengine alishasikia kwenye simu ukiambiwa i love you.
Kuna siku mtoto wa 4 yrs hivi wakati tunaangalia movie alisema 'she is pregnant'. Baba yake akamuuliza what is pregnant in swahili? Akasema 'mzuri!'. Nilijifunza kuwa positive na watoto kwa sababu ya mtizamo wa baba yule.
Muulize UNCLE alikuja? Wakati mi sipo?
Muulize UNCLE alikuja? Wakati mi sipo?
Wakuu haya mambo ya DNA najua yatakuwa yamewagusa wanaume wengi!
Nina mwanangu mdogo ndiyo atauanza mwaka wa nne hapa duniani muda sio mrefu ni wakike.
Nina uhakika ni wakwangu kwasababu tunafanana kwa kiasi kikubwa.
Sikuwepo nyumbani kwa takribani siku 6. Nilitoka kikazi kidogo, nilirejea jana jioni! Niliwakuta wako poa.
Nimefika wife kanipokea vizuri, na binti yangu pia, stori mbili tatu, nikaenda Bafuni wife alikwisha andaa utaratibu huo, wao wakawa sebleni.
Wakati narejea kujiunga nao kabla sijaingia pale niliyasikia vizuri mazungumzo yao!!
Mwanangu alikuwa anamuuliza mama yake maswali
"Mama mi nimefurahi Baba alivyokuja, je, wewe?"
akajibu hata mimi.
"Mama afu si utamtandikia baba zile shuka nzuri kuliko zote?" akajibiwa ndiyo.
Hayo maswali hayakunipa shida sana kwasababu dogo wangu anaongea sana namfahamu,
Swali hili hapa.."Mama unampenda baba?" ndiyo lilinifanya nirejelee maswali mawili ya mwanzo kwa haraka ili kubaini lengo lake lilikuwa ni lipi kuhoji hayo maswali! ofcoz sikuweza kusikia wife alijibu nini, kwani mahojiano yao yaliisha nilivyowa join story zikawa ni nyingine.
Nimekaa sana na mwanangu natamani nimuulize kwanini alimhoji mama yake aina ile ya maswali,
Sema haiji akilini akijua kama niliwasikia anaweza akadhania tofauti nikaamua ku mute!!
Who can help me here, to describe the facts of my daughter's questions to her Mom?
Mkemia noma sana