Allig
Member
- Jul 22, 2016
- 62
- 59
[emoji23] [emoji23] kweliMuulize UNCLE alikuja? Wakati mi sipo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] kweliMuulize UNCLE alikuja? Wakati mi sipo?
Wakuu haya mambo ya DNA najua yatakuwa yamewagusa wanaume wengi!
Nina mwanangu mdogo ndiyo atauanza mwaka wa nne hapa duniani muda sio mrefu ni wakike.
Nina uhakika ni wakwangu kwasababu tunafanana kwa kiasi kikubwa.
Sikuwepo nyumbani kwa takribani siku 6. Nilitoka kikazi kidogo, nilirejea jana jioni! Niliwakuta wako poa.
Nimefika wife kanipokea vizuri, na binti yangu pia, stori mbili tatu, nikaenda Bafuni wife alikwisha andaa utaratibu huo, wao wakawa sebleni.
Wakati narejea kujiunga nao kabla sijaingia pale niliyasikia vizuri mazungumzo yao!!
Warning light mkuu mie kwangu lazma ni jiongeze watch out wangu alianza hvyoo mkuuuu at last nikashudia scenarior nzimaaaWakuu haya mambo ya DNA najua yatakuwa yamewagusa wanaume wengi!
Nina mwanangu mdogo ndiyo atauanza mwaka wa nne hapa duniani muda sio mrefu ni wakike.
Nina uhakika ni wakwangu kwasababu tunafanana kwa kiasi kikubwa.
Sikuwepo nyumbani kwa takribani siku 6. Nilitoka kikazi kidogo, nilirejea jana jioni! Niliwakuta wako poa.
HahahahahMuulize UNCLE alikuja? Wakati mi sipo?
Kaka endelea kudadisi hapo kuna jambo lipo, watoto wa siku hizi are so intelligent, usikute kuna hali aliiona wakati upo safarini
hili ndio swali sahihiMuulize UNCLE alikuja? Wakati mi sipo?
Km huna mpango wa kumuacha mkeo, nakushauri Kaa kimya maana haita kusaidia.Wakuu haya mambo ya DNA najua yatakuwa yamewagusa wanaume wengi!
Nina mwanangu mdogo ndiyo atauanza mwaka wa nne hapa duniani muda sio mrefu ni wakike.
Nina uhakika ni wakwangu kwasababu tunafanana kwa kiasi kikubwa.
Sikuwepo nyumbani kwa takribani siku 6. Nilitoka kikazi kidogo, nilirejea jana jioni! Niliwakuta wako poa.
Nimefika wife kanipokea vizuri, na binti yangu pia, stori mbili tatu, nikaenda Bafuni wife alikwisha andaa utaratibu huo, wao wakawa sebleni.
Wakati narejea kujiunga nao kabla sijaingia pale niliyasikia vizuri mazungumzo yao!!
Mwanangu alikuwa anamuuliza mama yake maswali
"Mama mi nimefurahi Baba alivyokuja, je, wewe?"
akajibu hata mimi.
"Mama afu si utamtandikia baba zile shuka nzuri kuliko zote?" akajibiwa ndiyo.
Hayo maswali hayakunipa shida sana kwasababu dogo wangu anaongea sana namfahamu,
Swali hili hapa.."Mama unampenda baba?" ndiyo lilinifanya nirejelee maswali mawili ya mwanzo kwa haraka ili kubaini lengo lake lilikuwa ni lipi kuhoji hayo maswali! ofcoz sikuweza kusikia wife alijibu nini, kwani mahojiano yao yaliisha nilivyowa join story zikawa ni nyingine.
Nimekaa sana na mwanangu natamani nimuulize kwanini alimhoji mama yake aina ile ya maswali,
Sema haiji akilini akijua kama niliwasikia anaweza akadhania tofauti nikaamua ku mute!!
Who can help me here, to describe the facts of my daughter's questions to her Mom?
aisee almost seven years Ago.Ulimdadisi dogo ukagundua nini kaka?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Muulize UNCLE alikuja? Wakati mi sipo?
Ulimdadisi sasa ukagundua nini?aisee almost seven years Ago.
Binti ni mkubwa sasa.