Maswali ya Mwanangu kwa Mama yake yamenishtua!

Maswali ya Mwanangu kwa Mama yake yamenishtua!

Inawezekana ameskia conversation ya simu ya mama yake na mtu mwingine. So endelea kuchunguza. Kids get tiny details about things from everyday conversations and formulate their own way of thinking, and there comes questions. Ndio mana mtoto akikaa na mama anaetukana sana nae anaanza kutukana[emoji19] au anauliza 'kitu flani maana yake nini?'
 
Atakuwa mama yake Hilo shuka hutandika ukiwa haupo na kuna nyendo zinazo mfanya mtoto ahisi hakuna upendo wa mkeo kwako
 
Asante, hayo ndiyo maswali ya watoto. Kwa kawaida mtoto chini ya miaka 5 asilimia kubwa ya fikra na matendo yake huwa ya kweli (siyo ya kujifanya/singizia). Ujue hapo swali lilikuwa kama mama anampenda baba yake? full stop na hakuna chembe ya mzunguko. Mwamini mwanao.

Lakini atakapozidi miak 5 utashangaa mambo ya kujisingizia yatakuwa mengi zaidi (mfano atajifanya kasinzia kumbe siyo). Na hatua hii inawahi kadri wazazi walivyo; kama wewe ni muongo mtoto ataanza kujisingizia mapema kuliko kawaida. Hapa ndipo utakapoanza kupembua original na fake, real vs counterfeit n.k.
 
Wakuu haya mambo ya DNA najua yatakuwa yamewagusa wanaume wengi!

Nina mwanangu mdogo ndiyo atauanza mwaka wa nne hapa duniani muda sio mrefu ni wakike.
Nina uhakika ni wakwangu kwasababu tunafanana kwa kiasi kikubwa.

Sikuwepo nyumbani kwa takribani siku 6. Nilitoka kikazi kidogo, nilirejea jana jioni! Niliwakuta wako poa.
Nimefika wife kanipokea vizuri, na binti yangu pia, stori mbili tatu, nikaenda Bafuni wife alikwisha andaa utaratibu huo, wao wakawa sebleni.
Wakati narejea kujiunga nao kabla sijaingia pale niliyasikia vizuri mazungumzo yao!!

Yaelekea mama yake wakati haupo hakuwa na raha kabisa....
Ndio maana ulivyorudi akauliza wewe kupewa zile special care shuka nzuri na mama kafurahi that means kaiona furaha ya mama

Na mama unampenda baba ni ile bashasha aliyokupoka nayo
 
Wakuu haya mambo ya DNA najua yatakuwa yamewagusa wanaume wengi!

Nina mwanangu mdogo ndiyo atauanza mwaka wa nne hapa duniani muda sio mrefu ni wakike.
Nina uhakika ni wakwangu kwasababu tunafanana kwa kiasi kikubwa.

Sikuwepo nyumbani kwa takribani siku 6. Nilitoka kikazi kidogo, nilirejea jana jioni! Niliwakuta wako poa.
Warning light mkuu mie kwangu lazma ni jiongeze watch out wangu alianza hvyoo mkuuuu at last nikashudia scenarior nzimaaa
 
Wakuu haya mambo ya DNA najua yatakuwa yamewagusa wanaume wengi!

Nina mwanangu mdogo ndiyo atauanza mwaka wa nne hapa duniani muda sio mrefu ni wakike.
Nina uhakika ni wakwangu kwasababu tunafanana kwa kiasi kikubwa.

Sikuwepo nyumbani kwa takribani siku 6. Nilitoka kikazi kidogo, nilirejea jana jioni! Niliwakuta wako poa.
Nimefika wife kanipokea vizuri, na binti yangu pia, stori mbili tatu, nikaenda Bafuni wife alikwisha andaa utaratibu huo, wao wakawa sebleni.
Wakati narejea kujiunga nao kabla sijaingia pale niliyasikia vizuri mazungumzo yao!!
Mwanangu alikuwa anamuuliza mama yake maswali
"Mama mi nimefurahi Baba alivyokuja, je, wewe?"
akajibu hata mimi.
"Mama afu si utamtandikia baba zile shuka nzuri kuliko zote?" akajibiwa ndiyo.

Hayo maswali hayakunipa shida sana kwasababu dogo wangu anaongea sana namfahamu,
Swali hili hapa.."Mama unampenda baba?" ndiyo lilinifanya nirejelee maswali mawili ya mwanzo kwa haraka ili kubaini lengo lake lilikuwa ni lipi kuhoji hayo maswali! ofcoz sikuweza kusikia wife alijibu nini, kwani mahojiano yao yaliisha nilivyowa join story zikawa ni nyingine.

Nimekaa sana na mwanangu natamani nimuulize kwanini alimhoji mama yake aina ile ya maswali,
Sema haiji akilini akijua kama niliwasikia anaweza akadhania tofauti nikaamua ku mute!!

Who can help me here, to describe the facts of my daughter's questions to her Mom?
Km huna mpango wa kumuacha mkeo, nakushauri Kaa kimya maana haita kusaidia.
 
Kikawaida watoto wa kike huwa wanawapenda baba zao hiyo ni girls psychology
 
Back
Top Bottom