Maswali ya Mwanangu kwa Mama yake yamenishtua!

Maswali ya Mwanangu kwa Mama yake yamenishtua!

sidhani, kwasababu angeniambia tu

Kwanza kabisa be very positive mkuu, nimekuja kugundua kunawakati unaweza kukosa raha naukakuta unaumia na mambo ya kufikirika ambayo hata hayapo. Kama kuna kitu kinaendelea ambacho sio cha kawaida, utakijua tu. Usijipe stress kwa jambo lisilokuwepo, litakupunguzia mapenzi na upendo kwa mkeo kitu kinachoweza kupelekea matatizo kwenye ndoa yenu.
 
Watoto huwa wana maswali mengi ambayo wazazi wengine hubaki mdomo wazi.
Lakini swali kama hilo ni kawaida kwa watoto ambao wako karibu na wazazi wao.
Nina maana wazazi ambao hawawapigi watoto na badala yake kuwapa upendo.

Yapo maswali wanauliza kama kwa nini tunakufa, kwa nini mawingu ni blue au kwanini watu wanauwana au watoto wanatoka wapi mwambie kwenye shelf la juu supermarket
 
Haha I like the way your daughter asked her mum such questions. Thats the right age of a child to learn things that are exposed in the environment around her. Muvies na wati wanaokuja home wakibihave kiupendo upendo mtoto hung'amua.
Usiwe na wasiwasi saana ila swala la shuka hapo kuna swali haha!
 
Watoto huwa wana maswali mengi ambayo wazazi wengine hubaki mdomo wazi.
Lakini swali kama hilo ni kawaida kwa watoto ambao wako karibu na wazazi wao.
Nina maana wazazi ambao hawawapigi watoto na badala yake kuwapa upendo.

Yapo maswali wanauliza kama kwa nini tunakufa, kwa nini mawingu ni blue au kwanini watu wanauwana au watoto wanatoka wapi mwambie kwenye shelf la juu supermarket

Hiyo ya Watoto wanatoka wapi umenifurahisha sana
 
Atakuwa ndio kwanza anajifunza kuhusu upendo. Na amegundua kuwa baba hupewa vitu vizuri na spesheli kiaina. Na pengine alishasikia kwenye simu ukiambiwa i love you.

Kuna siku mtoto wa 4 yrs hivi wakati tunaangalia movie alisema 'she is pregnant'. Baba yake akamuuliza what is pregnant in swahili? Akasema 'mzuri!'. Nilijifunza kuwa positive na watoto kwa sababu ya mtizamo wa baba yule.

😃😃😃😃😂😂😂 she is pregnant ( mzuri ) wikend yangu itapendeza sana asee! Nilikua na stress lakini now am free! JF raha sana asee!!!!
 
Muwekee ule wimbo WA Yamoto band..anaweza akapandia hapo kuhusianisha Na masuala Kama hayo Kama kayaona kwa mama yake wakati ulipokuwa safarini.
 
Matatizo au mazuri ya ndani yaishie ndani tuu yakitoka nje yatakuja na majibu na solution nying sanaa
 
Ahaaaa umenikumbusha kasisi mmoja alichepuka kwa mke wa mtu. Baba nyumba alikuwa safari, basi kama kawa kasisi kafika kuku kibao ubwabwa etc, kumbe baba nyumba kuna mtu alimtonya kuwa huye kasisi anapigaga pale mechi za ugenini, huyo mwanamke alikuwa na mtoto kama 4yrz wa kike. Wakati mama, kasisi, na mtoto wanakula baba kagonga mlango.mweeeee kasisi ikabidi aingie uvunguni mwa kitanda, baba kauliza " vipi hii sahani ya tatu ni ya nani"?? Mtoto bila kusita akasema ni ya anko yupo uvunguni mweeeeee! Wacha baba nyumba amkuirupue uvunguni bishana, bishana baba kasema anataka 10m kasisi akajitetea analeta 7 yaishe basi katoa 2m alikuwa nazo kwenye gari. Baada ya wiki kaleta 5. Kesi ikaisha.

Shikamoo pesa.
 
Ahaaaa umenikumbusha kasisi mmoja alichepuka kwa mke wa mtu. Baba nyumba alikuwa safari, basi kama kawa kasisi kafika kuku kibao ubwabwa etc, kumbe baba nyumba kuna mtu alimtonya kuwa huye kasisi anapigaga pale mechi za ugenini, huyo mwanamke alikuwa na mtoto kama 4yrz wa kike. Wakati mama, kasisi, na mtoto wanakula baba kagonga mlango.mweeeee kasisi ikabidi aingie uvunguni mwa kitanda, baba kauliza " vipi hii sahani ya tatu ni ya nani"?? Mtoto bila kusita akasema ni ya anko yupo uvunguni mweeeeee! Wacha baba nyumba amkuirupue uvunguni bishana, bishana baba kasema anataka 10m kasisi akajitetea analeta 7 yaishe basi katoa 2m alikuwa nazo kwenye gari. Baada ya wiki kaleta 5. Kesi ikaisha.

Shikamoo pesa.

Duh...
 
Ushasikia lile tangazo redioni la uncle kidevu? Hapo ndo majibu yalipo
 
Back
Top Bottom