Hahaha hawa wahuni tukiwapeleka katikati ya msitu wa M23 hapo Congo hawatoki hata mmoja. Dakika 30 tu tutakwenda kuokota maiti zao.uyo ni top leader wa G9.kuna makundi mengine kama Gpep,four handred Mawozo n,k na wote ni wahuni tu.
ila sio wahuni kama wa tandale au mwananyamala ni wahuni wanaoshika silaha za kivita.
yap ni kweli,wanatamba kwasababu serikali ni kama haipo.kwanza ni bangi,unga na pombe.Hahaha hawa wahuni tukiwapeleka katikati ya msitu wa M23 hapo Congo hawatoki hata mmoja. Dakika 30 tu tutakwenda kuokota maiti zao.
that is failed state,Niaje waungwana
Leo ningependa kupata majibu kutoka kwa wajuzi wa mambo ya kidiplomasia, kuhusu kile kinachoendelea huko kwa ndugu zetu wa Haiti.
Kwanza nafahamu kwamba baada ya uhuru, kila nchi huwa na uongozi (serikali) ambayo chini yake kuna vyombo mbali mbali vya ulinzi na usalama kwa ajili ya kuilinda serikali, nchi na wananchi wanaoongozwa na hiyo serikali. Vyombo hivyo huwa katika mpangilio wa
1. Jeshi ambalo mamlaka yake ni kulinda nchi, wananchi, na raisi wa nchi ambae ndie "serikali".
2. Polisi ambao kazi yao ni kulinda mali za raia, pia kuwalinda raia, na pia kuhakikisha usalama wa ndani ya nchi wakishirikiana na vyombo vingine vya usalama.
3. Uhamiaji ambao kazi yao ni kuhakikisha ni nani anaeingia na kutoka ndani na nje ya nchi.
4. Askari magereza ambao kazi yao ni kuwalinda wafungwa na watuhumiwa mbali mbali.
5. Vyombo mbali mbali vya usalama wa taifa nk.
Kwa maana hiyo mimi naamini au nafikiri kuwa hata Haiti baada ya kupata uhuru ilifanikiwa kuwa na vyombo hivyo ambavyo kila nchi huwa navyo.
Sasa maswali yangu ni manne tu..
1. je Haiti bado inavyo hivyo vyombo vya ulinzi na usalama kama vile jeshi na vyombo vingine vya usalama nk mpaka leo?
2. Kama wanavyo ni kwanini jeshi limeshindwa kuingilia ndani kuilinda nchi, kuwalinda wananchi na kulinda viongozi waliowekwa na wananchi hadi kupelekea nchi hiyo kuomba msaada wa kiulinzi kutoka katika nchi zingine?
3. Inamaana jeshi na vyombo vya usalama vyote vya nchi hiyo vimezidiwa nguvu na magenge ya vijana wasiokuwa na mafunzo yoyote ya kijeshi?
tena wanaotumia salaha za kawaida, nikiwa na maana ni bunduki tu za kawaida, hawana kifaru wala ndege ya jeshi?
4. Je inamaana jeshi la nchi hiyo ni dhaifu na linashindwa hata na Burundi au Congo ambazo zimekuwa zikitumia majeshi yao kupambana na waasi miaka na miaka bila waasi hao kuziangusha serikali zao?
Sijui amewapa nini sio kwa utii huo, kuwaongoza watu waliodata sio kazi ndogo.
kabla ya kuwa gang star leader jamaa alikua afande(police oficer) ,akiwa afande alikua akiwatetea wahuni wanapokamatwa na kucheza nao dili chafu zote za kuingiza mihadarati na silaha za kufanya uhalifu.Sijui amewapa nini sio kwa utii huo, kuwaongoza watu waliodata sio kazi ndogo.
Atazimwa tu huyo muda sio mrefu washajua kuwa ni mnufaika wa hizo ghasia ile kurahisisha biashara zake za madawa ya kurevya.Kuna jamaa anaitwa Jimmy Berbecue Kiongozi wa hao wahuni unashangaa anatamba tu mtaani na anatizimwa tu bila kuguswa.
Ni kweli, jumuiya ya kimataifa imelipa kisogo taifa hilo, hakuna anaejali.yap ni kweli,wanatamba kwasababu serikali ni kama haipo.kwanza ni bangi,unga na pombe.
ukichunguza kwa kina ni kama jumuiya ya kimataifa inataka wawe hivyo na waendelee kua hivyo.
Hapa nimekuelewa, na nafikiri hizo njia 4 ulizoandika hapa ndio lingeweza kuwa suluhisho lao la kudumu.that is failed state,
meaning kwamba nchi na mifumo yake yote ulinzi na usalama imeparalyse. Sio polisi, Jeshi, uhamiaji, magereza ama nini kinafanya kazi 🐒
magenge ya kihalifu yamekua incharge but kwa kauli na vitisho tu 🐒
hakuna tena state organ ambayo iko active kuamrisha au kuelekea nini kifanyike 🐒
hofu imetanda kila kona ya nchi, viongozi wa ngazi mbalimbali wako mafichonib , wamekimbia nchi uhamishoni, wanainchi nao wamesambaa kila moja akinusuru uhai wake 🐒
na katika kutatua mgogoro kama huo,kidiplomasia njia ni 4 tu kama kawaida 🐒
1.Negotiatons
2.Mediations
3.Law/ Arbitrations
4.Military/Force
Kwanza hao ni wahuni tu wanaouza madawa, wanaoishi kwa uhalifu mbali mbali. Sio raia wema, ndiomaana wamekuwa wakifanya mauaji kwa raia hovyo hovyo.Vyombo vyote hivyo vimesanda
Hakuna cha jeshi,polisi ,usalama
Wahuni wote wameingia mtaani
Raia wakiamua kuangusha dola ni dk sifuri tu
Ova
Inawezekana, lakini kwanini wafikie hatua mpaka ya kuuwa raia hovyo hovyo bila sababu za msingi?Kiongozi wa hilo genge tawala huko Haiti ni afisa wa polisi.
Hii ina maana gani? Yamkini vyombo vya dola vimekula njama ya kuiangusha dola(serikali).
Inasemekana mwamba ana magunia ya bangi, na viloba vya unga nyumbani kwake. Hivyo anawapa tu vijana wajivutie kwa sharti la kumuunga mkono katika harakati zake.Sijui amewapa nini sio kwa utii huo, kuwaongoza watu waliodata sio kazi ndogo.
Hakuna mtu wa hovyo anayejidharau km wewe. Ingekuwa hivyo wazee wetu km baba wa Taifa wasingefanikiwa kuzipatia nchi zetu uhuru. Una inferiority complex na unajidharau"Let us agreed that Blacks cannot rule themselves, Whites are born in order to rule and Blacks are born to be ruled."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during that Apartheid era.
Nchi ya Haiti ina watu weusi wengi wenye asili ya Afrika, kwa hiyo kinachoendelea huko siyo kitu cha ajabu, ni Yale Yale mambo ya Waafrika.
Ukweli mchungu daima huwa una kawaida ya kuchoma roho sana kupita kiasi. Aidha, ukweli mchungu pia una kawaida ya kuishi milele, hata kama watu wote wataukataa.Hakuna mtu wa hovyo anayejidharau km wewe. Ingekuwa hivyo wazee wetu km baba wa Taifa wasingefanikiwa kuzipatia nchi zetu uhuru. Una inferiority complex na unajidharau
Kauli ya Botha kwa asilimia 80 ina ukweli, nikiwa na maana kuwa asilimia 80 ya wanaotuongoza Afrika hawana uwezo wa kuongoza nchi ipasavyo.Ukweli mchungu daima huwa una kawaida ya kuchoma roho sana kupita kiasi. Aidha, ukweli mchungu pia una kawaida ya kuishi milele, hata kama watu wote wataukataa.
Je, sisi watu weusi leo hii tunaweza kuthibitisha kwamba Pieter W. Botha alisema uwongo kutokana na kauli yake hiyo kwamba watu weusi hawawezi kujitawala wao wenyewe????????Je, huo ni uwongo???
Msijidanganye yale ni magenge yanatumia silaha nzito zaidi hata, ya serikali, yanafadhiliwa mwanasiasa na matajiri, mwenye maslahi maalumu. Na silaha wKuna nchi za kivita ambazo waasi wanaishi misituni, hivyo ni ngumu kidogo kwa jeshi la nchi na sometimes hata la nje kushindwa kupambana na watu wanaopambana wakiwa kisituni kama vile kule Congo, Sudan, Msumbiji nk.
Lakini kule Haiti na makundi tu ya wahuni wa mitaani kama vile panya road au wahalifu wengine wa kawaida. Sasa inashangaza jeshi linashindwaje kupambana na vijana wanaofanya matukio yao wakiwa mijini sio misituni ambapo ni ngumu kidogo kufikika?
Alafu bora Congo, Sudan, Msumbiji nk ambapo tunasikia jeshi likipambana na waasi, lakini Haiti hatukuwahi kusikia jeshi limepambana na hao wahuni, mara zote utasikia vyombo tu vya usalama kama vile polisi, usalama wa taifa nk. Je wanajeshi kweli au wana polisi tu peke yao?
Maana hata msaada wa nje wameomba polisi tu peke yao na sio jeshi.
Wahuni tu wamedhibiti nchi na wanatimba mtaani, "mmenivunja mbavu!!"
Hahahaha...uyo ni top leader wa G9.kuna makundi mengine kama Gpep,four handred Mawozo,Zoe boyz,H-unit n,k na wote ni wahuni tu.
ila sio wahuni kama wa tandale au mwananyamala ni wahuni wanaoshika silaha za kivita.