Pre GE2025 Maswali yangu kwa Wanaosema No Reform No Election haitafanikiwa

Pre GE2025 Maswali yangu kwa Wanaosema No Reform No Election haitafanikiwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Nawaona CCM na vibaraka wao wanapiga kelele sana kudai No Reform No Election haitafanikiwa kwa sababu vyovyote vile hakuna Watanzania watakaoweza kuwaunga mkono CHADEMA.

Kelele hizi zinapigwa ili kwanza kuwakebehi Chadema na kuendeleza Propaganda za kuwarubuni Watanzania ili waendelee kuwa watumwa wa upuuzi na udhalimu wa CCM.

Pia kelele hizi zinapigwa kwa nia ya kuwakatisha tamaa wapenda mabadiliko ili waone kuwa hakuna namna yeyote kwenye Taifa letu, madai ya haki yatakuja kufanikiwa.

Napenda kuwakumbusha wana CCM na vibaraka wao kuwa, kwenye kufanikisha agenda ya No REFORM NO ELECTION, Chadema watazungumza na makundi mbalimbali ikiwemo Viongozi wa Dini.

Maswali yangu kwa CCM na watu wao!

1. Endapo leo Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) wakasema wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na watashiriki maandamano ya amani kupinga kufanyika kwa uchaguzi. Je kuna Polisi au mwanajeshi yeyote nchi hii anaweza jaribu kufyatua bomu au risasi dhidi ya waandamanaji wanaoongozwa na maaskofu na Mapadre?

2. Endapo leo Viongozi wa dini ya kiislamu wakasema wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na watashiriki maandamano ya kudai mabadiliko ya Katiba kabla ya Uchaguzi. Je kuna Polisi au Mwanajeshi atajaribu kuwapiga bosi au kuwafyatulia risasi hao waandamanaji?

3. Endapo leo baadhi ya Maaskofu wa Madhehebu mbalimbali ikiwemo KKKT na CCT na hata Wasabato wakisema wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na wakaamua kushiriki maandamano ya kupinga uchaguzi bila mabadiliko ya katiba CCM wanadhani kuwa mwanajeshi au askari atajaribu kuwapiga risasi au bomu au maaskofu?

Soma Pia: Tundu Lissu na John Heche watangaza kuipeleka ajenda yao ya "No Reform No Election" nje ya nchi

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa:
Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Nipende tu kuwaambia CCM na vibaraka wao. Ni heri mkae kimya maana Watanzania sio Wajinga.

Kuna maandamano yakifanyika hapa nchini na yakahusisha watu fulani ( Hasa Viongozi wa Dini) hao polisi mnaowategemea na Wanajeshi hawataweza kuzuia hayo maandamano kamwe.

Msiwakebehi CHADEMA maana hamjui nani atawaunga mkono kesho na kutakuwa na matokeo gani baada ya huo uungwaji mkono.

Kuweni na akiba ya maneno. Watanzania sio wajinga na kila siku wanazidi kuchoka kuwa mazezeta kwa Wanasiasa.
 
Ungeonesha nguvu ya CHADEMA pasipo kuweka vitu kama "Endapo" ambavyo vyote vinaonesha huna imani ya kutelelezeka hiyo slogan pasipo taasisi nyingine nzito kuingilia.

Swali fupi, hao unaowataja watapata nini cha kuwasukuma kuenenda kinyume na mfumo uliopo
 
Ungeonesha nguvu ya CHADEMA pasipo kuweka vitu kama "Endapo" ambavyo vyote vinaonesha huna imani ya kutelelezeka hiyo slogan pasipo taasisi nyingine nzito kuingilia.

Swali fupi, hao unaowataja watapata nini cha kuwasukuma kuenenda kinyume na mfumo uliopo
Kwani hao wanaosema haitafanikiwa kwa nini hawazingatii hoja ya CHADEMA kuwa wataongea na makundi mbalimbali ili kutafuta uungwaji mkono wa agenda yao?

Mie nimechagua makundi machache tu ambayo CHADEMA wamesema wataongea nao na nimeulizwa What if wakiunga mkono hoja hiyo? Kuna askari yeyote kwenye hii hii anaweza wakamata maaskofu wanaoshiriki maandamano ya amani?

Nijibu wewe!
 
Kwanink mnapenda kuandika vitu vya kujifariji visivyo na uhalisia? Kuna mambo you have to be realistic, not optimistic. Vinginevyo itakuwa ni kuota ndoto miaka nenda rudi
What is not realistic here? We hujasikia CHADEMA kusema wataenda kuongea na viongozi wa dini kuwasiliaha hiyo hoja yao?
 
Ungeonesha nguvu ya CHADEMA pasipo kuweka vitu kama "Endapo" ambavyo vyote vinaonesha huna imani ya kutelelezeka hiyo slogan pasipo taasisi nyingine nzito kuingilia.

Swali fupi, hao unaowataja watapata nini cha kuwasukuma kuenenda kinyume na mfumo uliopo
Yaani, so much 'endapo', na imebaki miezi saba tu kufikia uchaguzi, wakati uchaguzi wa serikali za mitaa umeibwa juzi tu, na maisha yanaendelea kama vile hakuna kilichotokea
 
Nawaona CCM na vibaraka wao wanapiga kelele sana kudai No Reform No Election haitafanikiwa kwa sababu vyovyote vile hakuna Watanzania watakaoweza kuwaunga mkono CHADEMA.

Kelele hizi zinapigwa ili kwanza kuwakebehi Chadema na kuendeleza Propaganda za kuwarubuni Watanzania ili waendelee kuwa watumwa wa upuuzi na udhalimu wa CCM.

Maswali yangu kwa CCM na watu wao!

1. Endapo leo Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) wakasema wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na watashiriki maandamano ya amani kupinga kufanyika kwa uchaguzi. Je kuna Polisi au mwanajeshi yeyote nchi hii anaweza jaribu kufyatua bomu au risasi dhidi ya waandamanaji wanaoongozwa na maaskofu na Mapadre?

2. Endapo leo Viongozi wa dini ya kiislamu basement wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na watashiriki maandamano ya kudai mabadiliko ya Katiba kabla ya Uchaguzi. Je kuna Polisi au Mwanajeshi atajaribu kuwapiga bosi au kuwafyatulia risasi hao waandamanaji?

3. Endapo leo baadhi ya Maaskofu wa Madhehebu mbalimbali ikiwemo KKKT na CCT na hata Wasabato wakisema wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na wakaamua kushiriki maandamano ya kupinga uchaguzi bila mabadiliko ya katiba CCM wanadhani kuwa mwanajeshi au askari atajaribu kuwapiga risasi au bomu au maaskofu?

Soma Pia: Tundu Lissu na John Heche watangaza kuipeleka ajenda yao ya "No Reform No Election" nje ya nchi

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa:
Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Nipende tu kuwaambia CCM na vibaraka wao. Ni heri mkae kimya maana Watanzania sio Wajinga.

Kuna maandamano yakifanyika hapa nchini na yakahusisha watu fulani ( Hasa Viongozi wa Dini) hao polisi mnaowategemea na Wanajeshi hawataweza kuzuia hayo maandamano kamwe.

Msiwakebehi CHADEMA maana hamjui nani atawaunga mkono kesho na kutakuwa na matokeo gani baada ya huo uungwaji mkono.

Kuweni na akiba ya maneno. Watanzania sio wajinga na kila siku wanazidi kuchoka kuwa mazezeta kwa Wanasiasa.
Hizo "endapo" endapo" hazipo viongozi wa dini hawawezi kufanya hivyo, sababu ndani yao wamegawanyika pia. Na muda umebaki mchache sana kufanya mobilization kwa watanzania mil 62 kuielewa hiyo Ni reforms Ni election yao. Tatu miaka 9 tangu Magufuli ni kama upinzani ulikuwa jela ya kisiasa. Watoto wote waliokuwa na miaka 11 2015 sasa wana umri wa kupiga kura wakiiona ccm tu inatamba mitaani, iwe kwa dola, au wenyewe. Upinzani kushinda uchaguzi ni ngumu sana, japo ingesaidia kwa wabunge kutia amsha amsha Bungeni.
 
Hizo "endapo" endapo" hazipo viongozi wa dini hawawezi kufanya hivyo, sababu ndani yao wamegawanyika pia. Na muda umebaki mchache sana kufanya mobilization kwa watanzania mil 62 kuielewa hiyo Ni reforms Ni election yao. Tatu miaka 9 tangu Magufuli ni kama upinzani ulikuwa jela ya kisiasa. Watoto wote waliokuwa na miaka 11 2015 sasa wana umri wa kupiga kura wakiiona ccm tu inatamba mitaani, iwe kwa dola, au wenyewe. Upinzani kushinda uchaguzi ni ngumu sana, japo ingesaidia kwa wabunge kutia amsha amsha Bungeni.
No reforms no election
 
Nikikumbuka jins uchaguz wa serekali za mitaa Ilivyo furuga na kuibiwa was na maaaskofu walikuwepo na hakuna walichofanya?? Baada yake tu nawaona wengine wakikuzanyika kwenda Kuwaonbea watu walio iba uchaguz wa serekali za Mitaa ni aibu aibu naona mm
 
Hizo "endapo" endapo" hazipo viongozi wa dini hawawezi kufanya hivyo, sababu ndani yao wamegawanyika pia. Na muda umebaki mchache sana kufanya mobilization kwa watanzania mil 62 kuielewa hiyo Ni reforms Ni election yao. Tatu miaka 9 tangu Magufuli ni kama upinzani ulikuwa jela ya kisiasa. Watoto wote waliokuwa na miaka 11 2015 sasa wana umri wa kupiga kura wakiiona ccm tu inatamba mitaani, iwe kwa dola, au wenyewe. Upinzani kushinda uchaguzi ni ngumu sana, japo ingesaidia kwa wabunge kutia amsha amsha Bungeni.
Endelea kuishi kwa kukariri
 
Nikikumbuka jins uchaguz wa serekali za mitaa Ilivyo furuga na kuibiwa was na maaaskofu walikuwepo na hakuna walichofanya?? Baada yake tu nawaona wengine wakikuzanyika kwenda Kuwaonbea watu walio iba uchaguz wa serekali za Mitaa ni aibu aibu naona mm
Hakuna marefu yasiyo na ncha. Na dhuluma siku zote zina mwisho. Hii ni kanuni ya asili.
 
Nikikumbuka jins uchaguz wa serekali za mitaa Ilivyo furuga na kuibiwa was na maaaskofu walikuwepo na hakuna walichofanya?? Baada yake tu nawaona wengine wakikuzanyika kwenda Kuwaonbea watu walio iba uchaguz wa serekali za Mitaa ni aibu aibu naona mm
Siasa ni janga. Wakati mwingine unatamani tuongozwe na kichaa/mwerevu. Yaani mbabe wa maendeleo makubwa ila asiue watu.
 
Nawaona CCM na vibaraka wao wanapiga kelele sana kudai No Reform No Election haitafanikiwa kwa sababu vyovyote vile hakuna Watanzania watakaoweza kuwaunga mkono CHADEMA.

Kelele hizi zinapigwa ili kwanza kuwakebehi Chadema na kuendeleza Propaganda za kuwarubuni Watanzania ili waendelee kuwa watumwa wa upuuzi na udhalimu wa CCM.

Maswali yangu kwa CCM na watu wao!

1. Endapo leo Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) wakasema wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na watashiriki maandamano ya amani kupinga kufanyika kwa uchaguzi. Je kuna Polisi au mwanajeshi yeyote nchi hii anaweza jaribu kufyatua bomu au risasi dhidi ya waandamanaji wanaoongozwa na maaskofu na Mapadre?

2. Endapo leo Viongozi wa dini ya kiislamu basement wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na watashiriki maandamano ya kudai mabadiliko ya Katiba kabla ya Uchaguzi. Je kuna Polisi au Mwanajeshi atajaribu kuwapiga bosi au kuwafyatulia risasi hao waandamanaji?

3. Endapo leo baadhi ya Maaskofu wa Madhehebu mbalimbali ikiwemo KKKT na CCT na hata Wasabato wakisema wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na wakaamua kushiriki maandamano ya kupinga uchaguzi bila mabadiliko ya katiba CCM wanadhani kuwa mwanajeshi au askari atajaribu kuwapiga risasi au bomu au maaskofu?

Soma Pia: Tundu Lissu na John Heche watangaza kuipeleka ajenda yao ya "No Reform No Election" nje ya nchi

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa:
Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Nipende tu kuwaambia CCM na vibaraka wao. Ni heri mkae kimya maana Watanzania sio Wajinga.

Kuna maandamano yakifanyika hapa nchini na yakahusisha watu fulani ( Hasa Viongozi wa Dini) hao polisi mnaowategemea na Wanajeshi hawataweza kuzuia hayo maandamano kamwe.

Msiwakebehi CHADEMA maana hamjui nani atawaunga mkono kesho na kutakuwa na matokeo gani baada ya huo uungwaji mkono.

Kuweni na akiba ya maneno. Watanzania sio wajinga na kila siku wanazidi kuchoka kuwa mazezeta kwa Wanasiasa.
NO REFORMS NO ELECTION
 
Hakuna asiyetamani mabadiliko hasa yenyewe tija. Shida siyaoni hayo mabadiliko kwa vitendo, ndoto wala Imani.
Kwa kusema hayo maana yake ni kwamba tutarajie mapinduzi ya kijeshi. Maana kwenye nchi ambazo mabadiliko yalishindikana kwa njia za kidemokrasia ni mapinduzi ya kijeshi yaliyoleta hayo mabadiliko
 
Ungeonesha nguvu ya CHADEMA pasipo kuweka vitu kama "Endapo" ambavyo vyote vinaonesha huna imani ya kutelelezeka hiyo slogan pasipo taasisi nyingine nzito kuingilia.

Swali fupi, hao unaowataja watapata nini cha kuwasukuma kuenenda kinyume na mfumo uliopo

..nguvu ya Chadema iko ktk HOJA wanazozisimamia.

..kwa mazingira yaliyoko sasa hivi kufanya uchaguzi ni kudanganyana na kupotezeana muda.
 
Kwa kusema hayo maana yake ni kwamba tutarajie mapinduzi ya kijeshi. Maana kwenye nchi ambazo mabadiliko yalishindikana kwa njia za kidemokrasia ni mapinduzi ya kijeshi yaliyoleta hayo mabadiliko
Jeshi hili hili la chama kimoja au jeshi la Tunisia.
 
Back
Top Bottom