Nyabutoro
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 1,342
- 1,596
Nimecheka sana kwa mchango wako, : eti mabalozi wanajua siri gani; tafuta CV ya huyu bwana, utajua.Mabalozi wana siri gani za nchi za kuvujisha? Labda kama na yeye alikuwa ni mtu wa idara pia. Wanaokuwa compromised ni watu wanaoujua hizo siri. Sasa jiulize ni nani hao.
Sent from my Infinix X693 using JamiiForums mobile app