Maswali yenye Utata Kifo cha Balozi C. Mushi. Nini kipo nyuma yake?

Mara nyingi sio rahisi jamii kuwa na wasi wasi juu ya kifo cha mtu mwenye kuplay low key kama Celestine Mushy.
 
Yap nakumbuka jamaa alikuwa katibu/msaidizi wa waziri mkuu lowasa.
Jamaa mtu wa totozi sana alikuwa anamkula hoisi temu akamuunganisha kazi UN zen akamconect kwenye ubalozi.
Jamaa alikuwa muhunimuhuni flani
 
hata hayakuhusu
 
alifanya kitu gani kwani wajameni mmmaaa!!!!!
 
Aliitwa Kwa dharura na Mama. Baada ya hapo ndio yakatokea ya kutokea.

Kuna namna nashawishika Kuna harufu ya uBalali.
Kwahiyo kuna nafsi isiyokua na hatia imedhulimiwa huko [emoji116][emoji116]

"Kuna namna nashawishika Kuna harufu ya uBalali."
 
Mabalozi wana siri gani za nchi za kuvujisha? Labda kama na yeye alikuwa ni mtu wa idara pia. Wanaokuwa compromised ni watu wanaoujua hizo siri. Sasa jiulize ni nani hao
huyu hakuibuka tu kuwa balozi. Alikuwa mwenye kujua siri za ndani toka enzi za kikwete.
 
N Naona unajenga hoja za kulinda ugali!!Ahaaaa
 
Huna kazi ya kufanya? Upoyoyo wote huu siyo bu
Huna kazi ya kufanya? Unapoteza kweli muda unaandika huu upoyo? Katafute kazi ya kufanya. Ajali zingine zinshababishwa na nini. Ajali ni ajali km kuna uzembe aliufnya ni yeye. Nani alimlazimisha kusafiri usiku ulevi wake tu. Km ye ndio alibaka serikali inahusika nini, anastasia kesi imeisha.
 
Huyu malisa anayumba sasa,, nilikua nadhani ni kijana bright sana kumbe
 
Kwa nini?
Unadhani kwa ulivyokuwa unamdhania mwanzo na sasa kuna namna itamwathiri?
 
So kwamba atoroke Ulaya aje kuuliwa Bongo?? Alafu ulaya wanajikuta wana empower sana wanawake makesi mengine ya kifalaa kama haya yanaumiza watuu...
Kesi ya kubaka ulaya ni nooma,mmhh alfu ni balozi mhh,taarifa hii ,mmhh .....
 
ya tundu lissu ilikuwa hivihivi utata ...nchi ya matataaa... by fally ipupa
 
Yap nakumbuka jamaa alikuwa katibu/msaidizi wa waziri mkuu lowasa.
Jamaa mtu wa totozi sana alikuwa anamkula hoisi temu akamuunganisha kazi UN zen akamconect kwenye ubalozi.
Jamaa alikuwa muhunimuhuni flani
Of course kwa totoz hakuna skirt inapita mbele yake aiache; hizo story zinazopita kwamba alibaka sishangai, japo mi naamini alikula tu mzungu wakazinguana maslahi labda
 
Wacha weeee

Ova
 
Kimsingi huwezi kuwa balozi kama hujapelekwa kwenye kozi za usalama wa taifa na humo ndani Kuna ngazi halafu jamaa mbona hata kawaida tu unaona alikuwa kipenyo
Wachaaa wee

Ova
 
Nmecheka sana cmnt za watu humu

Ngoja tuendelee kuwafatilia wataraam

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…