Maswali yenye Utata Kifo cha Balozi C. Mushi. Nini kipo nyuma yake?

Ha ha ha
 
Yap nakumbuka jamaa alikuwa katibu/msaidizi wa waziri mkuu lowasa.
Jamaa mtu wa totozi sana alikuwa anamkula hoisi temu akamuunganisha kazi UN zen akamconect kwenye ubalozi.
Jamaa alikuwa muhunimuhuni flani
Marehemu alikuwa anakojolea pazuri.
R.I.P
 
Kwamba mapenzi yana run dunia?
 
Kwahiyo idara ya usalama wa taifa ni idara ya usalama wa cccm
 
Nchi ni ngumu hii kuielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…