Maswali yenye Utata Kifo cha Balozi C. Mushi. Nini kipo nyuma yake?

Maswali yenye Utata Kifo cha Balozi C. Mushi. Nini kipo nyuma yake?

Ninashawishika kujua alikuwa Tungi kwa kiasi flan since alikuwa na changamoto na maswahibu. Na ndio vyombo vikampa courage ya kuendesha gari mwenyewe. Kumbe tayari alikuwa yuko tracked and tricked.
 
Bara bara ya Chalinze- Segera, is 'the most dangerous road' according to my experience. Bara bara hii ina miinuko na miteremko mikali.
Mwaka 2017 wakati nasafiri kwenda Tanga saa saba usiku, nimekwisha overtake roli nimefika nusu kumbe mbele kuna roli linakuja. Jamaa kunipiga full ndio naliona sasa. Kumbe mwanzo sikuliona kwa kuwa nilikuwa napanda kilima...
 
KUTOKA KWA MALISA GJ

Nimejiuliza maswali kadhaa nikakosa majibu;

1. Balozi Mushi alikua anajiendesha mwenyewe? Tena usiku wa manane? Protocal za kidiplomasia zinasemaje, Balozi anapokua na safari binafsi? Je alikua peke yake?

2. Kama ajali ni uso kwa uso means lori lilikua linatoka ielekeo wa Segera na Balozi alikua anaenda uelekeo wa lori lilipotoka. Kama ndivyo hayo makaa ya mawe yalitoka wapi? Tanga, Kilimanjaro, Arusha hata nchi jirani ya Kenya hakuna makaa ya mawe. Makaa ya mawe yapo Mbeya, Rukwa na sehemu za Njombe. Kenya wanatumia makaa ya mawe kuendesha mitambo yao ya viwanda, lakini wanayachukua Mbeya (Kiwira). Hakuna lori linalotoka na makaa ya mawe Kenya kuja Tanzania, bali malori yanayotoka na makaa ya mawe Tanzania kwenda Kenya. Kwahiyo kama Lori lilikua limebeba makaa ya mawe it means lilikua linaenda uelekeo mmoja na Balozi Mushi. Sasa ilikuwaje wagongane uso kwa uso?

3. Gari iliteketea na Balozi Mushi aliungua kiasi cha kutotambulika. Ndugu walimtambua kwa nguo zake. Je hizo nguo zilipatikana sehemu gani ya gari? Ni moto gani unaweza kuchoma gari ikateketea, lakini nguo zikabaki?

4. Inadaiwa mashuhuda walijua ni Balozi Mushi baada ya kuingiza namba za gari kwenye mifumo ya TRA ndipo ikaonesha mmiliki ni Celestine Mushi. Hizo namba walizionaje kama gari iliteketea?

5. Kwanini usiku huo wa ajali kuna ujumbe ulizunguka sana kwenye mitandao ya kijamii, ukisema aliyepata ajali ni mwanamke lakini gari ni ya Balozi Mushi? Nani aliandika ujumbe huo? Lengo lake lilikua nini? Kuiandaa kisaikolojia familia ya Mushi au?

6. Ajali imetokea Mkata, Handeni Vijijini. Wakazi wake wamepata wapi "exposure" ya kuingiza namba kwenye system za TRA ili kumjua mmiliki wa gari? Je huwa wanafanya hivyo kwenye ajali zote au ni hii tu?

7. Kwanini mamlaka za serikali zilikimbilia kutoa pole kabla ya mwili haujafanyiwa uchunguzi. Je ingebainika kuwa sio Balozi Mushi bali alimwazima mtu gari yake, serikali ingefanyaje na ilishatoa salamu za rambirambi?

Anyway; Mungu ampumzishe kwa amani Mhe.Balozi Celestine Mushi. Laa ko oforo mangi.!
Kwa hayo maswali, Kwa mtu mwenye Akili ameshajua kama Balozi alinyakuliwa au wamemnyakua!
 
Hata mimi ambaye ni mkulima niligundua kuna utata kwenye hicho kifo. Balozi na usafiri wa Toyota Crown Athlete; wapi na wapi! Tena asafiri usiku, huku akiwa yuko peke yake!!

Au ni kwa sababu siku hizi wanateuliwa watu wa kawaida, kushika nafasi kubwa na nyeti serikalini, ndiyo tunashuhudia haya madudu?
Msambaa uwe makini wasije kukuita kutoa ufafanuzi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
KUTOKA KWA MALISA GJ

Nimejiuliza maswali kadhaa nikakosa majibu;

1. Balozi Mushi alikua anajiendesha mwenyewe? Tena usiku wa manane? Protocal za kidiplomasia zinasemaje, Balozi anapokua na safari binafsi? Je alikua peke yake?

2. Kama ajali ni uso kwa uso means lori lilikua linatoka ielekeo wa Segera na Balozi alikua anaenda uelekeo wa lori lilipotoka. Kama ndivyo hayo makaa ya mawe yalitoka wapi? Tanga, Kilimanjaro, Arusha hata nchi jirani ya Kenya hakuna makaa ya mawe. Makaa ya mawe yapo Mbeya, Rukwa na sehemu za Njombe. Kenya wanatumia makaa ya mawe kuendesha mitambo yao ya viwanda, lakini wanayachukua Mbeya (Kiwira). Hakuna lori linalotoka na makaa ya mawe Kenya kuja Tanzania, bali malori yanayotoka na makaa ya mawe Tanzania kwenda Kenya. Kwahiyo kama Lori lilikua limebeba makaa ya mawe it means lilikua linaenda uelekeo mmoja na Balozi Mushi. Sasa ilikuwaje wagongane uso kwa uso?

3. Gari iliteketea na Balozi Mushi aliungua kiasi cha kutotambulika. Ndugu walimtambua kwa nguo zake. Je hizo nguo zilipatikana sehemu gani ya gari? Ni moto gani unaweza kuchoma gari ikateketea, lakini nguo zikabaki?

4. Inadaiwa mashuhuda walijua ni Balozi Mushi baada ya kuingiza namba za gari kwenye mifumo ya TRA ndipo ikaonesha mmiliki ni Celestine Mushi. Hizo namba walizionaje kama gari iliteketea?

5. Kwanini usiku huo wa ajali kuna ujumbe ulizunguka sana kwenye mitandao ya kijamii, ukisema aliyepata ajali ni mwanamke lakini gari ni ya Balozi Mushi? Nani aliandika ujumbe huo? Lengo lake lilikua nini? Kuiandaa kisaikolojia familia ya Mushi au?

6. Ajali imetokea Mkata, Handeni Vijijini. Wakazi wake wamepata wapi "exposure" ya kuingiza namba kwenye system za TRA ili kumjua mmiliki wa gari? Je huwa wanafanya hivyo kwenye ajali zote au ni hii tu?

7. Kwanini mamlaka za serikali zilikimbilia kutoa pole kabla ya mwili haujafanyiwa uchunguzi. Je ingebainika kuwa sio Balozi Mushi bali alimwazima mtu gari yake, serikali ingefanyaje na ilishatoa salamu za rambirambi?

Anyway; Mungu ampumzishe kwa amani Mhe.Balozi Celestine Mushi. Laa ko oforo mangi.!
Mwenye mamlaka ya kuingiza namba ya gari kwenye system kujua mmiliki wa chombo ni TRA, polisi na vyombo ya usalama. Sio watu binafsi
 
Kula tunda kinasiharaaa...Kuna utamuu na kadhia zakee
 
As far as wanawakilisha nchi lazima wawe na siri nyingi za Taifa letu zihusuzo uchumi, usalama na ustawi wetu.

Tatizo langu ni moja; pamoja na siri zote hizi mbona tunazidi kuwa maskini kama nchi na tegemezi? Hizo strategic information zinatumikaje?
Zinatumika tuuu kipindi cha uchaguzi kuiba kura
 
KUTOKA KWA MALISA GJ

Nimejiuliza maswali kadhaa nikakosa majibu;

1. Balozi Mushi alikua anajiendesha mwenyewe? Tena usiku wa manane? Protocal za kidiplomasia zinasemaje, Balozi anapokua na safari binafsi? Je alikua peke yake?

2. Kama ajali ni uso kwa uso means lori lilikua linatoka ielekeo wa Segera na Balozi alikua anaenda uelekeo wa lori lilipotoka. Kama ndivyo hayo makaa ya mawe yalitoka wapi? Tanga, Kilimanjaro, Arusha hata nchi jirani ya Kenya hakuna makaa ya mawe. Makaa ya mawe yapo Mbeya, Rukwa na sehemu za Njombe. Kenya wanatumia makaa ya mawe kuendesha mitambo yao ya viwanda, lakini wanayachukua Mbeya (Kiwira). Hakuna lori linalotoka na makaa ya mawe Kenya kuja Tanzania, bali malori yanayotoka na makaa ya mawe Tanzania kwenda Kenya. Kwahiyo kama Lori lilikua limebeba makaa ya mawe it means lilikua linaenda uelekeo mmoja na Balozi Mushi. Sasa ilikuwaje wagongane uso kwa uso?

3. Gari iliteketea na Balozi Mushi aliungua kiasi cha kutotambulika. Ndugu walimtambua kwa nguo zake. Je hizo nguo zilipatikana sehemu gani ya gari? Ni moto gani unaweza kuchoma gari ikateketea, lakini nguo zikabaki?

4. Inadaiwa mashuhuda walijua ni Balozi Mushi baada ya kuingiza namba za gari kwenye mifumo ya TRA ndipo ikaonesha mmiliki ni Celestine Mushi. Hizo namba walizionaje kama gari iliteketea?

5. Kwanini usiku huo wa ajali kuna ujumbe ulizunguka sana kwenye mitandao ya kijamii, ukisema aliyepata ajali ni mwanamke lakini gari ni ya Balozi Mushi? Nani aliandika ujumbe huo? Lengo lake lilikua nini? Kuiandaa kisaikolojia familia ya Mushi au?

6. Ajali imetokea Mkata, Handeni Vijijini. Wakazi wake wamepata wapi "exposure" ya kuingiza namba kwenye system za TRA ili kumjua mmiliki wa gari? Je huwa wanafanya hivyo kwenye ajali zote au ni hii tu?

7. Kwanini mamlaka za serikali zilikimbilia kutoa pole kabla ya mwili haujafanyiwa uchunguzi. Je ingebainika kuwa sio Balozi Mushi bali alimwazima mtu gari yake, serikali ingefanyaje na ilishatoa salamu za rambirambi?

Anyway; Mungu ampumzishe kwa amani Mhe.Balozi Celestine Mushi. Laa ko oforo mangi.!
Tuiheshimu nature! Huwezi kuforce nature wala huwezi kuizuia nature. Mara nyingi sana wanadamu tunapenda kusikia sababu za kifo hata zisizo za kweli.

1. Walioshuhudia wamesema ajali ilikuwa mbaya na walishindwa kumuokoa mpendwa kutokana moto kuwa mkubwa. Kwa nini hatuulizi hali ya lori?

2. Walijaribu kuuzima na mchanga wakashindwa. Wakaenda kulala, baadaye walikuja polisi. Masshuhuda wanasema hawakujua nani alikuwa ndani ya gari kesho yake ndipo wakasikia redioni aliyekuwa ktk ile gari ni Balozi Mushy.
3..Sasa hao wananchi walioingiza namba ktk mfumo wa TRA ni wa wapi kama mashuhuda walienda kulala bila kujua?

4. Kubwa kabisa; mashuhuda wanasema hilo eneo ni hatari kwani hiyo ni ajali ya tatu ktk kipindi kifupi#Pumzika kwa amani Balozi Mushy. Maneno mengi yanaumiza familia na kuleta uchonganishi tuache.🙏🙏🙏
 
sasa utata unatokea wapi hapo?
hizo ni stress tu.

lakini pia jambo muhimu la kujifunza ni kwa wateule wa nfasi za juu lazima wawe na maadili yasiyotiliwa shaka.
ukosefu wa maadili ni tatuzi kubwa sana kwa viongozi wetu, VITENDO VYA RUSHWA NA NGONO, NGONO, NGONO maofisini ni tatizo sana sana, Ngono ngono
Watz wengi wakishapata vyeo na pesa( hivi vya kupewa) kinachofata ni kuchezesha nyeti, pombe na starehe tu. Ndio maaana nchi ikp hapa ilipo.
 
Huyu jamaa taarifa nilizonazo ni kweli kuwa alirudishwa home kwa kuwa pale Swiss alituhumiwa kubaka.Na kwa mujibu wa watu wa karibu na marehemu aliyemtuhumu marehemu kwamba alitaka kubakwa ni mwanamke ambaye walikuwa nae katika mahusiano.Ingawa taarifa hiyo haikuweka wazi kuwa mwanamke huyo alikuwa wa Uswis au nchi nyingine.Taarifa zinasema kuwa ,mtu huyo alifikisha taarifa kwa mamlaka za nchi hiyo ya bara la Ulaya kuhusu kutaka kubakwa na marehemu balozi.Aidha taarifa zinasema kuwa ,inawezekana' kabisa kuwa marehemu Balozi alikuwa katika mahusiano na mtu huyo lakin baada ya mahusiano kuvunjika na vurugu za hapa na pale ndio mwanamke huyo alipofikisha taarifa za kubakwa kwa mamlaka za huko Ulaya.Taarifa hizo zinadai kuwa mwanamke huyo alikuwa na ushahid wa picha na video za vitendo hivyo vya balozi.Aidha imedaiwa kuwa mwanamke huyo alifanya kitendo hicho baada ya kuona mawasiliano ya balozi na mke wake .Ingawa balozi alimdanganya kwanza kuwa hana mke.Kwa mujibu wa taarifa hizo ,mke wa balozi ambaye pia anaishi Ulaya ni mtanzania ,mwanasheria na ni mfanyakaz wa shirika la umoja wa mataifa.Kwa upande mwingine kifo cha balozi kimeleta simanzi na huzuni kwa kuwa amekufa kwa utata.
Eh alikuwa uswiss tena

Magonjwa Mtambuka

Ova
 
Back
Top Bottom