MATAGA kuweni watulivu mitandaoni, sasa ni zamu ya Asilia

MATAGA kuweni watulivu mitandaoni, sasa ni zamu ya Asilia

Mataga hawana hamu sasa wanataka kuanza Njama zao chafu za kumrithisha yule Bogus mikoba ya Shujaa wa Mazezeta

lolbron.png
 
Angalao CCM ASILIA is back sisi kama Wapinzani hili Zimwi linatujua

Kulikuwa na Demokrasia wakati wa CCM ASILIA angalao japo ilikuwa haitoshi

Kulikuwa na mchakato wa Katiba Mpya wakati wa CCM ASILIA


CCM ya Mataga isirudi tena Daima imeinajisi TANZANIA yetu.
 
Angalao CCM ASILIA is back sisi kama Wapinzani hili Zimwi linatujua

Kulikuwa na Demokrasia wakati wa CCM ASILIA angalao japo ilikuwa haitoshi

Kulikuwa na mchakato wa Katiba Mpya wakati wa CCM ASILIA


CCM ya Mataga isirudi tena Daima imeinajisi TANZANIA yetu.
[emoji123][emoji123][emoji123]
 
Angalao CCM ASILIA is back sisi kama Wapinzani hili Zimwi linatujua

Kulikuwa na Demokrasia wakati wa CCM ASILIA angalao japo ilikuwa haitoshi

Kulikuwa na mchakato wa Katiba Mpya wakati wa CCM ASILIA


CCM ya Mataga isirudi tena Daima imeinajisi TANZANIA yetu.
Mataga hawataki hali ya utangamano wao wanataka wajifingie mahali waanze kuuza umbea na uongo ili kumjaza fitina mkuu.
 
Demokrasia kamili irudi,Haki za Binadamu zirudi,Mchakato wa Katiba Mpya urudi,

Mfungwa wa Kisiasa namba moja Mdude aacbiwe huru

Kesi zote za Kisiasa na za kubambika zifutwe
 
Kuwa na heshima kila siku miaka na miaka nawaambia mimi CCM ASILIA,nimekulia ndani ya chama nyie wajaji ndio mnapiga kelele kipindi cha mama.Mtulie dawa iwaingie
Mataga ni ccm haramu (wahamiaji haramu) watuachie chama chetu,.... Naenda kulipia kadi zangu nilizosusa kulipia miaka kadhaa hapo nyuma.... Nisingeweza kuambatana na shetani kamwe
 
Back
Top Bottom