imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Alienda hadi kugombania UbungeKama hakupata teuzi awamu ile cv kabila asitegemee tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alienda hadi kugombania UbungeKama hakupata teuzi awamu ile cv kabila asitegemee tena
Ni watu wa hovyo sn mkuuHabari ndugu zanguni,
Nimeona mijadala mingi sana mitandaoni ambayo ukiangalia kwa wingi ni wale ndugu zetu ambao wamekuwa wakikosoa mienendo ya Rais wetu Mama Samia katika ziara yake nchini Kenya.
Lakini sisi watu wa kufikiria mbali tumeona kumbe watu wa mwendazake wamekuwa wanapinga mengi ya mama sababu wanaamini yanaenda tofauti na misingi iliyojengwa na mwendazake, lakini wamesahau kuwa kila Rais ana namna ya uendeshaje wake wa nchi.
Nilichokiona Mama na Mwendazake ni vitu viwili tofauti kabisa.Ssa kama tulicheza ngoma kama Mataga inatakiwa tukubali kucheza ngoma ya Asilia maana wamerudisha kijiti chao.
TUWE WATULIVU NA TUACHE KAZI IENDELEE.
KabisaMataga muwe wapole.siku zote Mungu huwa ni wa wengi.
Kuwa na heshima sisi ndio wenye chama na sasa tumekirudisha mikononi,mtulie Dawa iwaingieNyumbu wameachana na Lisu sasa hivi wanatimua mbio kuelekea ccm kwa mama Samia.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Basi mikumi kabisa ...hapo vepeee
Atake asitake tutamuongezea atawale milele.Nani kama mama kariakoo yetu inarudi,bei ya korosho itakuwa juu, bureau de change zitarudi, wasiojulikana likizo ya milele,uhuru wa habari umerudi thus hatuna haja ya kumfollow kigogo tena,mipaka inafunguliwa tunauza tutakapo.Basi mikumi kabisa ...hapo vepeee
[emoji123][emoji123][emoji123]Atake asitake tutamuongezea atawale milele.Nani kama mama kariakoo yetu inarudi,bei ya korosho itakuwa juu, bureau de change zitarudi, wasiojulikana likizo ya milele,uhuru wa habari umerudi thus hatuna haja ya kumfollow kigogo tena,mipaka inafunguliwa tunauza tutakapo.
Kumi tena kwa mama atake asitakeNyumbu wameachana na Lisu sasa hivi wanatimua mbio kuelekea ccm kwa mama Samia.
[emoji122][emoji122][emoji122]Kumi tena kwa mama atake asitake
Mataga watakoma nza roho zao mbaya.Habari ndugu zanguni,
Nimeona mijadala mingi sana mitandaoni ambayo ukiangalia kwa wingi ni wale ndugu zetu ambao wamekuwa wakikosoa mienendo ya Rais wetu Mama Samia katika ziara yake nchini Kenya.
Lakini sisi watu wa kufikiria mbali tumeona kumbe watu wa mwendazake wamekuwa wanapinga mengi ya mama sababu wanaamini yanaenda tofauti na misingi iliyojengwa na Mwendazake, lakini wamesahau kuwa kila Rais ana namna ya uendeshaje wake wa nchi.
Nilichokiona Mama na Mwendazake ni vitu viwili tofauti kabisa.Ssa kama tulicheza ngoma kama Mataga inatakiwa tukubali kucheza ngoma ya Asilia maana wamerudisha kijiti chao.
TUWE WATULIVU NA TUACHE KAZI IENDELEE.
Mwenda zake mmeshamgeuka?? Nyie kweli mafisi. mlimsifia sana sasa ametupwa kuzimu mnamgeuka?Nyumbu wameachana na Lisu sasa hivi wanatimua mbio kuelekea ccm kwa mama Samia.
Wamekula.sana mikojo ya wazee. Mataha huwa ni watu wasio na kazi maalum. Wanamvizia vizia fursa za hapa na pale. Akina Deo Sanga🤣Mataga walizoea kusafisha mikojo ya mzee wa camera leo biashara ile imekufa hakuna tena kutembea na maburungutu,mitutu ya bunduki plus helkopta juu utadhani tupo iraq, Hakuna dili za kununua mapapai chips kuku samaki mahindi zilishapita.Hii inawasononesha Sana Mataga
Hao wote Wana miaka 3 tu ya ubunge iliyobaki 90% Hakuna atakae rudi bungeni,thus walitaka katiba ibadilishwe kwa maslai yao na si ya taifa.Wamekula.sana mikojo ya wazee. Mataha huwa ni watu wasio na kazi maalum. Wanamvizia vizia fursa za hapa na pale. Akina Deo Sanga🤣
[emoji3][emoji3]Mataga watakoma nza roho zao mbaya.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]View attachment 1775485
Fungua Milango Mama tupate Ajira Huyo Veronika France anabebwa na haohao 'akina kikulacho' uko nao hapo ila Please mwache alalame wewe Fungua Nchi hao wapingaji wa mitandaoni watakuunga mkono tu.
Wasisahau kushushia maji ya limau mixer na pilipili kichaaNawashauri ili hasira ziwapungue wale nyasi .
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Wasisahau kushushia maji ya limau mixer na pilipili kichaa