MATAGA kuweni watulivu mitandaoni, sasa ni zamu ya Asilia

MATAGA kuweni watulivu mitandaoni, sasa ni zamu ya Asilia

Habari ndugu zanguni,

Nimeona mijadala mingi sana mitandaoni ambayo ukiangalia kwa wingi ni wale ndugu zetu ambao wamekuwa wakikosoa mienendo ya Rais wetu Mama Samia katika ziara yake nchini Kenya.

Lakini sisi watu wa kufikiria mbali tumeona kumbe watu wa mwendazake wamekuwa wanapinga mengi ya mama sababu wanaamini yanaenda tofauti na misingi iliyojengwa na mwendazake, lakini wamesahau kuwa kila Rais ana namna ya uendeshaje wake wa nchi.

Nilichokiona Mama na Mwendazake ni vitu viwili tofauti kabisa.Ssa kama tulicheza ngoma kama Mataga inatakiwa tukubali kucheza ngoma ya Asilia maana wamerudisha kijiti chao.

TUWE WATULIVU NA TUACHE KAZI IENDELEE.
Ni watu wa hovyo sn mkuu
 
Basi mikumi kabisa ...hapo vepeee
Atake asitake tutamuongezea atawale milele.Nani kama mama kariakoo yetu inarudi,bei ya korosho itakuwa juu, bureau de change zitarudi, wasiojulikana likizo ya milele,uhuru wa habari umerudi thus hatuna haja ya kumfollow kigogo tena,mipaka inafunguliwa tunauza tutakapo.
 
Atake asitake tutamuongezea atawale milele.Nani kama mama kariakoo yetu inarudi,bei ya korosho itakuwa juu, bureau de change zitarudi, wasiojulikana likizo ya milele,uhuru wa habari umerudi thus hatuna haja ya kumfollow kigogo tena,mipaka inafunguliwa tunauza tutakapo.
[emoji123][emoji123][emoji123]
 
Habari ndugu zanguni,

Nimeona mijadala mingi sana mitandaoni ambayo ukiangalia kwa wingi ni wale ndugu zetu ambao wamekuwa wakikosoa mienendo ya Rais wetu Mama Samia katika ziara yake nchini Kenya.

Lakini sisi watu wa kufikiria mbali tumeona kumbe watu wa mwendazake wamekuwa wanapinga mengi ya mama sababu wanaamini yanaenda tofauti na misingi iliyojengwa na Mwendazake, lakini wamesahau kuwa kila Rais ana namna ya uendeshaje wake wa nchi.

Nilichokiona Mama na Mwendazake ni vitu viwili tofauti kabisa.Ssa kama tulicheza ngoma kama Mataga inatakiwa tukubali kucheza ngoma ya Asilia maana wamerudisha kijiti chao.

TUWE WATULIVU NA TUACHE KAZI IENDELEE.
Mataga watakoma nza roho zao mbaya.
 
Mataga walizoea kusafisha mikojo ya mzee wa camera leo biashara ile imekufa hakuna tena kutembea na maburungutu,mitutu ya bunduki plus helkopta juu utadhani tupo iraq, Hakuna dili za kununua mapapai chips kuku samaki mahindi zilishapita.Hii inawasononesha Sana Mataga
Wamekula.sana mikojo ya wazee. Mataha huwa ni watu wasio na kazi maalum. Wanamvizia vizia fursa za hapa na pale. Akina Deo Sanga🤣
 
Wamekula.sana mikojo ya wazee. Mataha huwa ni watu wasio na kazi maalum. Wanamvizia vizia fursa za hapa na pale. Akina Deo Sanga🤣
Hao wote Wana miaka 3 tu ya ubunge iliyobaki 90% Hakuna atakae rudi bungeni,thus walitaka katiba ibadilishwe kwa maslai yao na si ya taifa.
 
Mataga walishazoea kuona maiti zikielea baharini hizo mambo hazipo tena.Tupo salama salmini na mama.Kumi tena kwa mama.
 
9a940edb-7da3-4216-b64d-cfba6ae6c273.jpg


Fungua Milango Mama tupate Ajira Huyo Veronika France anabebwa na haohao 'akina kikulacho' uko nao hapo ila Please mwache alalame wewe Fungua Nchi hao wapingaji wa mitandaoni watakuunga mkono tu.
 
Back
Top Bottom