Maneno Meier
JF-Expert Member
- May 12, 2013
- 2,467
- 1,697
Kwa hali hii, mitano tena sahau.Watulie sindano iingie. Tangu juzi wanabweka humu mitandaoni. Oooh kenya hivi, oooh Kenya vile. Mitano tena na kazi iendeleee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hali hii, mitano tena sahau.Watulie sindano iingie. Tangu juzi wanabweka humu mitandaoni. Oooh kenya hivi, oooh Kenya vile. Mitano tena na kazi iendeleee!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtori wenyewe ni wa nyama ya kusaga. Asa itakuaje? [emoji2368]
Siri ya mchezoView attachment 1775139
Kazi Iendelee... Mama usiogope fungua Nchi
Tuko bega kwa bega na nawewe.View attachment 1775142
Kwani nguli Pascal Mayalla yeye anasemaje?Habari ndugu zanguni,
Nimeona mijadala mingi sana mitandaoni ambayo ukiangalia kwa wingi ni wale ndugu zetu ambao wamekuwa wakikosoa mienendo ya Rais wetu Mama Samia katika ziara yake nchini Kenya.
Lakini sisi watu wa kufikiria mbali tumeona kumbe watu wa mwendazake wamekuwa wanapinga mengi ya mama sababu wanaamini yanaenda tofauti na misingi iliyojengwa na mwendazake, lakini wamesahau kuwa kila Rais ana namna ya uendeshaje wake wa nchi.
Nilichokiona Mama na Mwendazake ni vitu viwili tofauti kabisa.Ssa kama tulicheza ngoma kama Mataga inatakiwa tukubali kucheza ngoma ya Asilia maana wamerudisha kijiti chao.
TUWE WATULIVU NA TUACHE KAZI IENDELEE.
Hasa Etwege amechanganyikiwa kabisaTagas wametoa macho kama yule mgogo mgonga meza aliyetolewa jalalani
Mataga ndio watawapelekea moto hapo 2025 hadi mkomeAngalao CCM ASILIA is back sisi kama Wapinzani hili Zimwi linatujua
Kulikuwa na Demokrasia wakati wa CCM ASILIA angalao japo ilikuwa haitoshi
Kulikuwa na mchakato wa Katiba Mpya wakati wa CCM ASILIA
CCM ya Mataga isirudi tena Daima imeinajisi TANZANIA yetu.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Mataga ndio watawapelekea moto hapo 2025 hadi mkome
Mnafurukuta na kukata Roho 😁😁Mataga ndio watawapelekea moto hapo 2025 hadi mkome
Simuoni kabisa humu na pambio zakeKwani nguli Pascal Mayalla yeye anasemaje?
Tokea Wasukuma wenzake wamtose ameamua kunywa tuSimuoni kabisa humu na pambio zake
Mama kashasema yeye na jiwe ni kitu ki1. Sasa kwanini Pascal Mayalla humpambi mama? Au sio mkato wako?Tokea Wasukuma wenzake wamtose ameamua kunywa tu
Kwani bavicha haikuepo wakati wa mataga AMA CCM asilia haikuepo ?Kwahiyo bavicha sasa hivi mmecover nafasi ya mataga?
INABIDI TUCHEZE KWA kudemkaNilichokiona Mama na Mwendazake ni vitu viwili tofauti kabisa.Ssa kama tulicheza ngoma kama Mataga inatakiwa tukubali kucheza ngoma ya Asilia maana wamerudisha kijiti chao.
Nyumbu wameachana na Lisu sasa hivi wanatimua mbio kuelekea ccm kwa mama Samia.Habari ndugu zanguni,
Nimeona mijadala mingi sana mitandaoni ambayo ukiangalia kwa wingi ni wale ndugu zetu ambao wamekuwa wakikosoa mienendo ya Rais wetu Mama Samia katika ziara yake nchini Kenya.
Lakini sisi watu wa kufikiria mbali tumeona kumbe watu wa mwendazake wamekuwa wanapinga mengi ya mama sababu wanaamini yanaenda tofauti na misingi iliyojengwa na mwendazake, lakini wamesahau kuwa kila Rais ana namna ya uendeshaje wake wa nchi.
Nilichokiona Mama na Mwendazake ni vitu viwili tofauti kabisa.Ssa kama tulicheza ngoma kama Mataga inatakiwa tukubali kucheza ngoma ya Asilia maana wamerudisha kijiti chao.
TUWE WATULIVU NA TUACHE KAZI IENDELEE.
Kama hakupata teuzi awamu ile cv kabila asitegemee tenaTokea Wasukuma wenzake wamtose ameamua kunywa tu