MATAGA kuweni watulivu mitandaoni, sasa ni zamu ya Asilia

Kwani nguli Pascal Mayalla yeye anasemaje?
 
Mataga ndio watawapelekea moto hapo 2025 hadi mkome
 


Mama, hawa TANU wakikusumbua sana, ondoka na AfroShirazi yako tuone watakavyofurukuta na Kukata roho.
 
Mataga walizoea kusafisha mikojo ya mzee wa camera leo biashara ile imekufa hakuna tena kutembea na maburungutu,mitutu ya bunduki plus helkopta juu utadhani tupo iraq, Hakuna dili za kununua mapapai chips kuku samaki mahindi zilishapita.Hii inawasononesha Sana Mataga
 
Nyumbu wameachana na Lisu sasa hivi wanatimua mbio kuelekea ccm kwa mama Samia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…