#matege?Tunaomba radhi, tulipotoshwa na watu wenye chuki zao kwa sababu za kisiasa.
Kenya wamemaliza Lamu, sisi bado, tinaomba radhi sana maana tulifanya haya mambo kwa kulipwa matokeo yake tukakwamisha nchi.
Tunaomba radhi kwa Mama Samia, watanzania wote pia
#matege
Code-SSH-2025
😄😄Duh!
Kabla hatujakusamehe, weka linki ya mada yako moja humu ukiuponda ule mradi
Veronica France ni mwenzakoMkuu,sisi tulikuwa idara ya propaganda, tunapangiwa mtu was kumtukana, hoja ya kushambulia, jioni tunatuma screenshot tunapata posho. Tuliambiwa mkuu wa tano na nne hawaelewani,tuukwamishe na tujaze uongo,uzandiki mpaka jamii ikubali
Hajawahi kuwa MATAGA huyoDuh!
Kabla hatujakusamehe, weka linki ya mada yako moja humu ukiuponda ule mradi
Tatizo hii nchi miktaba ni siri...hata ikiwa na utata amri ikitoka juu hakuna wa kupinga.Na nukuu alichosema Mwendazake mnamo tarehe 8th June 2019, alipokua akiongea mbele ya Baraza la Biashara lililojumuisha wafanyabiashara 139 nchini kutoka katika Wilaya tofauti tofauti.
Alisema;
"Kwenye mkataba wa ujenzi wa bandari hiyo kulikuwa na vipengele vya ovyo kabisa”.
Akasema;
"Yaani kwenye eneo lote kuanzia Tanga hadi Mtwara kusijengwe bandari yoyote. Bandari ya Kilwa tusiiendeleze, Bandari ya Mtwara ambayo itawezesha mikoa ya kusini kupokea mafuta badala yake Dar es Salaam kisha yarudi huko, hatutakiwi kuiendeleza, Barabara kutoka Mtwara hadi Bamba Bay ambayo itatuwezesha kusafirisha mizigo hadi Msumbiji tusiijenge".
Alisema sharti jingine ni;
"Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutotakiwa kwenda kukusanya ushuru wala kodi katika eneo lile na walitaka wapewe hakikisho la miaka 33.
Pia alisema;
"Wawekezaji hao wangeweza kumiliki ardhi kwa hati ya miaka 99 pamoja na kutoruhusiwa kuulizwa nani anamiliki eneo hilo.
Magufuli alisema sharti lingine ni;
"Gharama zitakazotumiwa na mwekezaji huyo katika ujenzi wa bandari hiyo zinatakiwa zirejeshwe".
● Mataga wakakimbizana kwenye mitandao ya kijamii kumtukana matusi na kumdhalilisha Rais Kikwete kwa kukubali huo mkataba wenye masharti ya kiwendawazimu mnamo mwaka 2013.
Swali,
Je, ukweli ni upi kuhusu mkataba wa hio bandari??? Na nani alikua sahihi Magufuli au Kikwete???
Wewe km nani?Tunaomba radhi, tulipotoshwa na watu wenye chuki zao kwa sababu za kisiasa.
Kenya wamemaliza Lamu, sisi bado, tinaomba radhi sana maana tulifanya haya mambo kwa kulipwa matokeo yake tukakwamisha nchi.
Tunaomba radhi kwa Mama Samia, watanzania wote pia
#matege
Code-SSH-2025
Wakijibu hilo swali ndo Kazi iendelee.Na nukuu alichosema Mwendazake mnamo tarehe 8th June 2019, alipokua akiongea mbele ya Baraza la Biashara lililojumuisha wafanyabiashara 139 nchini kutoka katika Wilaya tofauti tofauti.
Alisema;
"Kwenye mkataba wa ujenzi wa bandari hiyo kulikuwa na vipengele vya ovyo kabisa”.
Akasema;
"Yaani kwenye eneo lote kuanzia Tanga hadi Mtwara kusijengwe bandari yoyote. Bandari ya Kilwa tusiiendeleze, Bandari ya Mtwara ambayo itawezesha mikoa ya kusini kupokea mafuta badala yake Dar es Salaam kisha yarudi huko, hatutakiwi kuiendeleza, Barabara kutoka Mtwara hadi Bamba Bay ambayo itatuwezesha kusafirisha mizigo hadi Msumbiji tusiijenge".
Alisema sharti jingine ni;
"Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutotakiwa kwenda kukusanya ushuru wala kodi katika eneo lile na walitaka wapewe hakikisho la miaka 33.
Pia alisema;
"Wawekezaji hao wangeweza kumiliki ardhi kwa hati ya miaka 99 pamoja na kutoruhusiwa kuulizwa nani anamiliki eneo hilo.
Magufuli alisema sharti lingine ni;
"Gharama zitakazotumiwa na mwekezaji huyo katika ujenzi wa bandari hiyo zinatakiwa zirejeshwe".
● Mataga wakakimbizana kwenye mitandao ya kijamii kumtukana matusi na kumdhalilisha Rais Kikwete kwa kukubali huo mkataba wenye masharti ya kiwendawazimu mnamo mwaka 2013.
Swali,
Je, ukweli ni upi kuhusu mkataba wa hio bandari??? Na nani alikua sahihi Magufuli au Kikwete???
Mkuu, hivi vilitengenezwa na tukaamuriwa kuvipiga promo,sio kweliNa nukuu alichosema Mwendazake mnamo tarehe 8th June 2019, alipokua akiongea mbele ya Baraza la Biashara lililojumuisha wafanyabiashara 139 nchini kutoka katika Wilaya tofauti tofauti.
Alisema;
"Kwenye mkataba wa ujenzi wa bandari hiyo kulikuwa na vipengele vya ovyo kabisa”.
Akasema;
"Yaani kwenye eneo lote kuanzia Tanga hadi Mtwara kusijengwe bandari yoyote. Bandari ya Kilwa tusiiendeleze, Bandari ya Mtwara ambayo itawezesha mikoa ya kusini kupokea mafuta badala yake Dar es Salaam kisha yarudi huko, hatutakiwi kuiendeleza, Barabara kutoka Mtwara hadi Bamba Bay ambayo itatuwezesha kusafirisha mizigo hadi Msumbiji tusiijenge".
Alisema sharti jingine ni;
"Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutotakiwa kwenda kukusanya ushuru wala kodi katika eneo lile na walitaka wapewe hakikisho la miaka 33.
Pia alisema;
"Wawekezaji hao wangeweza kumiliki ardhi kwa hati ya miaka 99 pamoja na kutoruhusiwa kuulizwa nani anamiliki eneo hilo.
Magufuli alisema sharti lingine ni;
"Gharama zitakazotumiwa na mwekezaji huyo katika ujenzi wa bandari hiyo zinatakiwa zirejeshwe".
● Mataga wakakimbizana kwenye mitandao ya kijamii kumtukana matusi na kumdhalilisha Rais Kikwete kwa kukubali huo mkataba wenye masharti ya kiwendawazimu mnamo mwaka 2013.
Swali,
Je, ukweli ni upi kuhusu mkataba wa hio bandari??? Na nani alikua sahihi Magufuli au Kikwete???
Mataga wote wangekuwa na akili kiwango hicho Watanzania na taifa lingekuwa limepiga hatua kubwa Sana.Tunaomba radhi, tulipotoshwa na watu wenye chuki zao kwa sababu za kisiasa.
Kenya wamemaliza Lamu, sisi bado, tinaomba radhi sana maana tulifanya haya mambo kwa kulipwa matokeo yake tukakwamisha nchi.
Tunaomba radhi kwa Mama Samia, watanzania wote pia
#matege
Code-SSH-2025
Kuna mwaka utakuja kuomba radhi kwa kuufagilia huo mradi. Ni suala la wakati tu.Tunaomba radhi, tulipotoshwa na watu wenye chuki zao kwa sababu za kisiasa.
Kenya wamemaliza Lamu, sisi bado, tinaomba radhi sana maana tulifanya haya mambo kwa kulipwa matokeo yake tukakwamisha nchi.
Tunaomba radhi kwa Mama Samia, watanzania wote pia
#matege
Code-SSH-2025
Tunahitaji mkataba tu.Kweli kikwete anaongoza nchi hii kwa sasa.Kikwete aliwaibia gesi.Mkataba upo wapi wa gesi?Na nukuu alichosema Mwendazake mnamo tarehe 8th June 2019, alipokua akiongea mbele ya Baraza la Biashara lililojumuisha wafanyabiashara 139 nchini kutoka katika Wilaya tofauti tofauti.
Alisema;
"Kwenye mkataba wa ujenzi wa bandari hiyo kulikuwa na vipengele vya ovyo kabisa”.
Akasema;
"Yaani kwenye eneo lote kuanzia Tanga hadi Mtwara kusijengwe bandari yoyote. Bandari ya Kilwa tusiiendeleze, Bandari ya Mtwara ambayo itawezesha mikoa ya kusini kupokea mafuta badala yake Dar es Salaam kisha yarudi huko, hatutakiwi kuiendeleza, Barabara kutoka Mtwara hadi Bamba Bay ambayo itatuwezesha kusafirisha mizigo hadi Msumbiji tusiijenge".
Alisema sharti jingine ni;
"Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutotakiwa kwenda kukusanya ushuru wala kodi katika eneo lile na walitaka wapewe hakikisho la miaka 33.
Pia alisema;
"Wawekezaji hao wangeweza kumiliki ardhi kwa hati ya miaka 99 pamoja na kutoruhusiwa kuulizwa nani anamiliki eneo hilo.
Magufuli alisema sharti lingine ni;
"Gharama zitakazotumiwa na mwekezaji huyo katika ujenzi wa bandari hiyo zinatakiwa zirejeshwe".
● Mataga wakakimbizana kwenye mitandao ya kijamii kumtukana matusi na kumdhalilisha Rais Kikwete kwa kukubali huo mkataba wenye masharti ya kiwendawazimu mnamo mwaka 2013.
Swali,
Je, ukweli ni upi kuhusu mkataba wa hio bandari??? Na nani alikua sahihi Magufuli au Kikwete???
Vijana, kazi zingine lazima kuwa makini Nazo sana. Ya kina Sabaya, ya Interahamwe nk. Nk. Mifano ni mingi sana. So take care!Mkuu,sisi tulikuwa idara ya propaganda, tunapangiwa mtu was kumtukana, hoja ya kushambulia, jioni tunatuma screenshot tunapata posho. Tuliambiwa mkuu wa tano na nne hawaelewani,tuukwamishe na tujaze uongo,uzandiki mpaka jamii ikubali
Mikataba mingapi ipo wazi?Tatizo mikataba haiwekwi wazi
Watu waione,ngumu kujua nani mkweli
Nani muongo
Ova