MATAGA tunaomba radhi kwa kupotosha watanzania kuhusu mradi wa Bandari ya Bagamoyo, ni mradi safi kabisa

MATAGA tunaomba radhi kwa kupotosha watanzania kuhusu mradi wa Bandari ya Bagamoyo, ni mradi safi kabisa

Tunaomba radhi, tulipotoshwa na watu wenye chuki zao kwa sababu za kisiasa.

Kenya wamemaliza Lamu, sisi bado, tinaomba radhi sana maana tulifanya haya mambo kwa kulipwa matokeo yake tukakwamisha nchi.

Tunaomba radhi kwa Mama Samia, watanzania wote pia

#matege
Code-SSH-2025
#matege?
 
Na nukuu alichosema Mwendazake mnamo tarehe 8th June 2019, alipokua akiongea mbele ya Baraza la Biashara lililojumuisha wafanyabiashara 139 nchini kutoka katika Wilaya tofauti tofauti.

Alisema;

"Kwenye mkataba wa ujenzi wa bandari hiyo kulikuwa na vipengele vya ovyo kabisa”.

Akasema;

"Yaani kwenye eneo lote kuanzia Tanga hadi Mtwara kusijengwe bandari yoyote. Bandari ya Kilwa tusiiendeleze, Bandari ya Mtwara ambayo itawezesha mikoa ya kusini kupokea mafuta badala yake Dar es Salaam kisha yarudi huko, hatutakiwi kuiendeleza, Barabara kutoka Mtwara hadi Bamba Bay ambayo itatuwezesha kusafirisha mizigo hadi Msumbiji tusiijenge".

Alisema sharti jingine ni;

"Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutotakiwa kwenda kukusanya ushuru wala kodi katika eneo lile na walitaka wapewe hakikisho la miaka 33.

Pia alisema;

"Wawekezaji hao wangeweza kumiliki ardhi kwa hati ya miaka 99 pamoja na kutoruhusiwa kuulizwa nani anamiliki eneo hilo.

Magufuli alisema sharti lingine ni;

"Gharama zitakazotumiwa na mwekezaji huyo katika ujenzi wa bandari hiyo zinatakiwa zirejeshwe".

● Mataga wakakimbizana kwenye mitandao ya kijamii kumtukana matusi na kumdhalilisha Rais Kikwete kwa kukubali huo mkataba wenye masharti ya kiwendawazimu mnamo mwaka 2013.

Swali,

Je, ukweli ni upi kuhusu mkataba wa hio bandari??? Na nani alikua sahihi Magufuli au Kikwete???
Tatizo hii nchi miktaba ni siri...hata ikiwa na utata amri ikitoka juu hakuna wa kupinga.

Siwezi ongea chochote bila kujua kilichomo ndani ya mkataba
 
Tunaomba radhi, tulipotoshwa na watu wenye chuki zao kwa sababu za kisiasa.

Kenya wamemaliza Lamu, sisi bado, tinaomba radhi sana maana tulifanya haya mambo kwa kulipwa matokeo yake tukakwamisha nchi.

Tunaomba radhi kwa Mama Samia, watanzania wote pia

#matege
Code-SSH-2025
Wewe km nani?
 
Kuna Watu walitaka kuikosesha Nchi fursa ya Miaka zaid ya 300 kwa chuki zao kwa Mzee mmoja mwenye miaka zaid ya 70 ambae hata faida ya mradi huo hatoiona
 
Na nukuu alichosema Mwendazake mnamo tarehe 8th June 2019, alipokua akiongea mbele ya Baraza la Biashara lililojumuisha wafanyabiashara 139 nchini kutoka katika Wilaya tofauti tofauti.

Alisema;

"Kwenye mkataba wa ujenzi wa bandari hiyo kulikuwa na vipengele vya ovyo kabisa”.

Akasema;

"Yaani kwenye eneo lote kuanzia Tanga hadi Mtwara kusijengwe bandari yoyote. Bandari ya Kilwa tusiiendeleze, Bandari ya Mtwara ambayo itawezesha mikoa ya kusini kupokea mafuta badala yake Dar es Salaam kisha yarudi huko, hatutakiwi kuiendeleza, Barabara kutoka Mtwara hadi Bamba Bay ambayo itatuwezesha kusafirisha mizigo hadi Msumbiji tusiijenge".

Alisema sharti jingine ni;

"Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutotakiwa kwenda kukusanya ushuru wala kodi katika eneo lile na walitaka wapewe hakikisho la miaka 33.

Pia alisema;

"Wawekezaji hao wangeweza kumiliki ardhi kwa hati ya miaka 99 pamoja na kutoruhusiwa kuulizwa nani anamiliki eneo hilo.

Magufuli alisema sharti lingine ni;

"Gharama zitakazotumiwa na mwekezaji huyo katika ujenzi wa bandari hiyo zinatakiwa zirejeshwe".

● Mataga wakakimbizana kwenye mitandao ya kijamii kumtukana matusi na kumdhalilisha Rais Kikwete kwa kukubali huo mkataba wenye masharti ya kiwendawazimu mnamo mwaka 2013.

Swali,

Je, ukweli ni upi kuhusu mkataba wa hio bandari??? Na nani alikua sahihi Magufuli au Kikwete???
Wakijibu hilo swali ndo Kazi iendelee.
 
Na nukuu alichosema Mwendazake mnamo tarehe 8th June 2019, alipokua akiongea mbele ya Baraza la Biashara lililojumuisha wafanyabiashara 139 nchini kutoka katika Wilaya tofauti tofauti.

Alisema;

"Kwenye mkataba wa ujenzi wa bandari hiyo kulikuwa na vipengele vya ovyo kabisa”.

Akasema;

"Yaani kwenye eneo lote kuanzia Tanga hadi Mtwara kusijengwe bandari yoyote. Bandari ya Kilwa tusiiendeleze, Bandari ya Mtwara ambayo itawezesha mikoa ya kusini kupokea mafuta badala yake Dar es Salaam kisha yarudi huko, hatutakiwi kuiendeleza, Barabara kutoka Mtwara hadi Bamba Bay ambayo itatuwezesha kusafirisha mizigo hadi Msumbiji tusiijenge".

Alisema sharti jingine ni;

"Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutotakiwa kwenda kukusanya ushuru wala kodi katika eneo lile na walitaka wapewe hakikisho la miaka 33.

Pia alisema;

"Wawekezaji hao wangeweza kumiliki ardhi kwa hati ya miaka 99 pamoja na kutoruhusiwa kuulizwa nani anamiliki eneo hilo.

Magufuli alisema sharti lingine ni;

"Gharama zitakazotumiwa na mwekezaji huyo katika ujenzi wa bandari hiyo zinatakiwa zirejeshwe".

● Mataga wakakimbizana kwenye mitandao ya kijamii kumtukana matusi na kumdhalilisha Rais Kikwete kwa kukubali huo mkataba wenye masharti ya kiwendawazimu mnamo mwaka 2013.

Swali,

Je, ukweli ni upi kuhusu mkataba wa hio bandari??? Na nani alikua sahihi Magufuli au Kikwete???
Mkuu, hivi vilitengenezwa na tukaamuriwa kuvipiga promo,sio kweli
 
Tunaomba radhi, tulipotoshwa na watu wenye chuki zao kwa sababu za kisiasa.

Kenya wamemaliza Lamu, sisi bado, tinaomba radhi sana maana tulifanya haya mambo kwa kulipwa matokeo yake tukakwamisha nchi.

Tunaomba radhi kwa Mama Samia, watanzania wote pia

#matege
Code-SSH-2025
Mataga wote wangekuwa na akili kiwango hicho Watanzania na taifa lingekuwa limepiga hatua kubwa Sana.
 
Tunaomba radhi, tulipotoshwa na watu wenye chuki zao kwa sababu za kisiasa.

Kenya wamemaliza Lamu, sisi bado, tinaomba radhi sana maana tulifanya haya mambo kwa kulipwa matokeo yake tukakwamisha nchi.

Tunaomba radhi kwa Mama Samia, watanzania wote pia

#matege
Code-SSH-2025
Kuna mwaka utakuja kuomba radhi kwa kuufagilia huo mradi. Ni suala la wakati tu.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Na nukuu alichosema Mwendazake mnamo tarehe 8th June 2019, alipokua akiongea mbele ya Baraza la Biashara lililojumuisha wafanyabiashara 139 nchini kutoka katika Wilaya tofauti tofauti.

Alisema;

"Kwenye mkataba wa ujenzi wa bandari hiyo kulikuwa na vipengele vya ovyo kabisa”.

Akasema;

"Yaani kwenye eneo lote kuanzia Tanga hadi Mtwara kusijengwe bandari yoyote. Bandari ya Kilwa tusiiendeleze, Bandari ya Mtwara ambayo itawezesha mikoa ya kusini kupokea mafuta badala yake Dar es Salaam kisha yarudi huko, hatutakiwi kuiendeleza, Barabara kutoka Mtwara hadi Bamba Bay ambayo itatuwezesha kusafirisha mizigo hadi Msumbiji tusiijenge".

Alisema sharti jingine ni;

"Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutotakiwa kwenda kukusanya ushuru wala kodi katika eneo lile na walitaka wapewe hakikisho la miaka 33.

Pia alisema;

"Wawekezaji hao wangeweza kumiliki ardhi kwa hati ya miaka 99 pamoja na kutoruhusiwa kuulizwa nani anamiliki eneo hilo.

Magufuli alisema sharti lingine ni;

"Gharama zitakazotumiwa na mwekezaji huyo katika ujenzi wa bandari hiyo zinatakiwa zirejeshwe".

● Mataga wakakimbizana kwenye mitandao ya kijamii kumtukana matusi na kumdhalilisha Rais Kikwete kwa kukubali huo mkataba wenye masharti ya kiwendawazimu mnamo mwaka 2013.

Swali,

Je, ukweli ni upi kuhusu mkataba wa hio bandari??? Na nani alikua sahihi Magufuli au Kikwete???
Tunahitaji mkataba tu.Kweli kikwete anaongoza nchi hii kwa sasa.Kikwete aliwaibia gesi.Mkataba upo wapi wa gesi?
 
Mkuu,sisi tulikuwa idara ya propaganda, tunapangiwa mtu was kumtukana, hoja ya kushambulia, jioni tunatuma screenshot tunapata posho. Tuliambiwa mkuu wa tano na nne hawaelewani,tuukwamishe na tujaze uongo,uzandiki mpaka jamii ikubali
Vijana, kazi zingine lazima kuwa makini Nazo sana. Ya kina Sabaya, ya Interahamwe nk. Nk. Mifano ni mingi sana. So take care!
 
Back
Top Bottom