Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,867
- 19,250
Mbona kama wanakutetemesha sana, you try too hard.Alafu Wakenya ifike Mahali muelewe tu kua tupo league 1 kutangulia sio kufika, laleni Usingizi tutawaacha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kama wanakutetemesha sana, you try too hard.Alafu Wakenya ifike Mahali muelewe tu kua tupo league 1 kutangulia sio kufika, laleni Usingizi tutawaacha
Wese na gesi ktk nchi zetu hazijawahi kuchomoa nchi zetu ktk lindi la umasikini.Uganda wanachomoka hapo very soon ukiangalia wese walilonalo!
LOL si bora sisi tunapewa foreign aid ninyi mnapewa foreign foods na bado hamkomi kufa njaa.Mkiwa na magufuli hadi 2025 sioni mkitoka kundi la poorest countries on this planet. Foreign aid mtaendelea kupokea. Foreign aid hupewa nchi ambazo hazijiwezi kama Tanzania.
Unajua umeme wa capacity charges ule ya IPTL na symbion ulikua unaligharimu Taifa kiasi gani kwa mwezi?Wese na gesi ktk nchi zetu hazijawahi kuchomoa nchi zetu ktk lindi la umasikini.
Wewe una data zinazo onesha gesi imwtunufaishaje kama nchi?
Ndio uweke data sasaUnajua umeme wa capacity charges ule ya IPTL na symbion ulikua unaligharimu Taifa kiasi gani kwa mwezi?
Umeme warudishia watu zaidi ya bil. 69/-Ndio uweke data sasa
Kunyaland tuko ligi 1 na nyie,na kwa speed yetu ya maendeleo soon tunawaacha hapoA
According to IMF, Tanzania is among the 28 poorest countries in the world.
IMF approves aid for world’s 28 poorest countries
Wakati huo nyie fukara mtaendelea kupokea misada ya chakula mpka dunia isimame....Na Chuma Magu atawanyosha hatoki mpka muombe pooh....unafikiri ela ya bure ya hao mabwana zenu tutaiacha....hatuiachi hata senti na middle income hatutoka infact tunaitafuta upper middle[emoji91][emoji91][emoji91] hatuna mda wa kudeal na vizuu km nyie[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji706]Mkiwa na magufuli hadi 2025 sioni mkitoka kundi la poorest countries on this planet. Foreign aid mtaendelea kupokea. Foreign aid hupewa nchi ambazo hazijiwezi kama Tanzania.
Unamanisha hivi[emoji23][emoji23][emoji116] hawa wala wasikupe tabu...wacha tuwanyoshe....na hizo hela zikija akuna kuziacha ....meantime acha wale chakula ya msada mpka mwisho wa dunia[emoji23][emoji23] mafukara hawaZikiwa 30 hamkosekani so shut up
Bado uko kwenye mashindano?Alafu Wakenya ifike Mahali muelewe tu kua tupo league 1 kutangulia sio kufika, laleni Usingizi tutawaacha
Niliwaambia wanadhan wako mbali Sam na shida [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unamanisha hivi[emoji23][emoji23][emoji116] hawa wala wasikupe tabu...wacha tuwanyoshe....na hizo hela zikija akuna kuziacha ....meantime acha wale chakula ya msada mpka mwisho wa dunia[emoji23][emoji23] mafukara hawaView attachment 1594568View attachment 1594569View attachment 1594570
TZ ni mido inkamu iyo ni takwimu za WB, Mashashola ni Nani upinge?get lostMkiwa na magufuli hadi 2025 sioni mkitoka kundi la poorest countries on this planet. Foreign aid mtaendelea kupokea. Foreign aid hupewa nchi ambazo hazijiwezi kama Tanzania.
Kwenye swala la umeme sijawah kuwa mbali na jpm
Wakenya ni mafukara wa kutupwa hilo lipo wazi kabisa ndio maana hawanipi tabu 😅😅😅Unamanisha hivi[emoji23][emoji23][emoji116] hawa wala wasikupe tabu...wacha tuwanyoshe....na hizo hela zikija akuna kuziacha ....meantime acha wale chakula ya msada mpka mwisho wa dunia[emoji23][emoji23] mafukara hawaView attachment 1594568View attachment 1594569View attachment 1594570
Na IMF wanasema Tanzania ni nchi mojawapo ya maskini wa dunia. Mko kundi moja na Afghanistan nchi za vita tuusan Wewe ni Nani upinge? Get LostTZ ni mido inkamu iyo ni takwimu za WB, Mashashola ni Nani upinge?get lost
Pingana na IMF sasa. Tanzania ni mojawapo ya nchi maskini kuruka ndani ya hii dunia tuliopewa na mungu.Unajaribu kutembelea nyota yangu sasa lol
Pingana na benki ya dunia sasaView attachment 1594807View attachment 1594809