tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,972
- 20,221
- Thread starter
- #41
Simamia upande wako nami nisimamie wanguPingana na IMF sasa. Tanzania ni mojawapo ya nchi maskini kuruka ndani ya hii dunia tuliopewa na mungu.
Hili hambadilishi kwanza Magufuli akiingia. By 2025 mtakua maskini wa kutupwaView attachment 1594844
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app