Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 18,216
- 12,774
Nataja kibera coz it's the only place in Nairobi worth mentioning in the same sentence with DarMbona unaishia kutaja kibera wakati Nairobi ni slumHub ?masikini ni wengi Nairobi ilo linajulikana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataja kibera coz it's the only place in Nairobi worth mentioning in the same sentence with DarMbona unaishia kutaja kibera wakati Nairobi ni slumHub ?masikini ni wengi Nairobi ilo linajulikana
Kuna mahali nmesema kua na ardhi ndio utajiri?wacha kunilisha maneno...Nimesema mwenye ardhi na mifugo anatofauti kubwa na ambae hana.Kwa hivyo wamaasai wote ni matajiri?? Your level of argument is pathetic. Hata mimi nina ardhi na mifugo but I don't consider myself a rich person
Nairobi only has 140,000 poor people. Dar watu milioni tatu ni maskini.Mbona unaishia kutaja kibera wakati Nairobi ni slumHub ?masikini ni wengi Nairobi ilo linajulikana
Look at what you said earlier versus what you are saying now. Wewe umechanganyikiwaKuna mahali nmesema kua na ardhi ndio utajiri?wacha kunilisha maneno...Nimesema mwenye ardhi na mifugo anatofauti kubwa na ambae hana.
Sasa hapo wapi nmesema neno tajiri?we kumbe ni fala kiasi ichoLook at what you said earlier versus what you are saying now. Wewe umechanganyikiwaView attachment 1596073
Hii Mada inazungumzia mataifa 25 masikini zaidi duniani, ambapo Tanzania ni mojawapo. Hiyo ndio hoja mnapinga hapa hadi mnatumia visingizio za ujinga kama ardhi na ng'ombe. Mnasema eti mtu anayemiliki ng'ombe na ardhi si masikini. Opposite ya umasikini ni nini kama sio utajiri?Sasa hapo wapi nmesema neno tajiri?we kumbe ni fala kiasi icho
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Jisikie ulivyoNg'ombe sasa, Mataifa 25 Tz haimo, mlileta list yenu ya mataifa 28 nikawaambia tukileta 30 mtakuepo jamaa akaileta kweli mmo sasa hujiskii tu ulivyochenga.Hii Mada inazungumzia mataifa 25 masikini zaidi duniani, ambapo Tanzania ni mojawapo. Hiyo ndio hoja mnapinga hapa hadi mnatumia visingizio za ujinga kama ardhi na ng'ombe. Mnasema eti mtu anayemiliki ng'ombe na ardhi si masikini. Opposite ya umasikini ni nini kama sio utajiri?
Kaka utaumiza kichwa,wote Ni mafala hao, Ukimchambua mmoja mmoja utagundua.sisi acha tupige kazi wigi la ubeberu na unafiki ipo siku vitawavuka.Sasa hapo wapi nmesema neno tajiri?we kumbe ni fala kiasi icho
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Nenda ukadinywe basiJust to ask, since when is the GDP of Uganda $72B?., skewed report thus null and void, some propagadist must have edited by removing 'bingwa wa umasikini EAC na SADC. thus it is null and void.[emoji23][emoji23] kwako tuusan
Because you are a fool kwa sababu mifugo na ardhi ni utajiri.unaunza ngombe unapata pesa au unauza maziwa unapata pesa yaani kuna bidhaa nyingi kutokana na mifugoKwa hivyo wamaasai wote ni matajiri?? Your level of argument is pathetic. Hata mimi nina ardhi na mifugo but I don't consider myself a rich person
Kwani hayo madini yanamikiwa na wananchi wenyewe au yanamilikiwa na watu wachache lakini ukimili mifugo na ardhi kama kama unawaza vizuri ni rasilimali tosha[emoji23][emoji23][emoji23] hajielewi. Congo DRC wana madini kufa MTU lakini ni maskini mbaya.
Wakenya kweli Hamna akili mi ninachokisema ni kwamba ardhi na mifugo ni utajiri wenyewe ukitumia vizuri unaweza kukutoka kwenye umasikini.Arguing with Tanzanians us one hell of a problem. Eti mtu anasema as long as you have cattle and a piece of land then you are rich! How do these southerners reason?!
JPM alituondoa huko baada ya miaka miwili tu ya utawala wake mkuu.Kumbe Tanzania tushatoka kwenye hiyo list kitambo.