Mataifa 25 masikini zaidi haya hapa. Ndugu zetu Uganda, Rwanda, Ethiopia watachomoka lini humu?

Mataifa 25 masikini zaidi haya hapa. Ndugu zetu Uganda, Rwanda, Ethiopia watachomoka lini humu?

Mbona hawajajinasua kutoka kwenye hiyo umasikini miaka hamsini tangu mpate uhuru? Tanzania is a rich country (resource-wise) but with very idle minds as citizens
nimekuambia masikini wa Tanzania anamashamba na mifugo labda hao hawaangalii hivi vitu lakini kiukweli mtanzania unayemwita masikini anamiliki ardhi na mifugo
 
Mbona hawajajinasua kutoka kwenye hiyo umasikini miaka hamsini tangu mpate uhuru? Tanzania is a rich country (resource-wise) but with very idle minds as citizens
Na kuhusu madini watu wameshaanza kuwa Matajiri kwa sababu ya madini kwa sababu sheria za ovyo zimeondolewa watanzania wameshaanza kunufaika ndo Tanzania inamamilionare wengi kuliko Kenya.
 
$109b vs $65b
47m vs 60m population

Kenya is King

Duh, yaani tunakwenda kuwapiga double kiuchumi ilhali wao ndo wengi, tatizo wanapenda kuzaliana sana na hiyo ndio inawaponza, waliambiwa wafyatue watoto maana manyonyo yapo na maziwa ya kutosha.
 
Duh, yaani tunakwenda kuwapiga double kiuchumi ilhali wao ndo wengi, tatizo wanapenda kuzaliana sana na hiyo ndio inawaponza, waliambiwa wafyatue watoto maana manyonyo yapo na maziwa ya kutosha.
Wengine wanapinga lakini beberu akiwatoa LDC wanaamini.
Beberu akisema uchumi wa Kenya uko $109b+ wanapinga. Wadanganyika ni kituko cha inchi yani.
 
Still Kenya mnakosa hata chakula na mnashindwa kufanya miradi mikubwa wenyewe wakati baadhi ya miradi mikubwa tunafanya wenyewe YOU ARE SO FAKE.
Si pia Tanzania watu wanakufa njaa hadi mnakula watoto wenu.
Albino ni endagered species Tanzania sababu ya uchawi ilhali ni binadamu kama wewe
 
Si pia Tanzania watu wanakufa njaa hadi mnakula watoto wenu.
Albino ni endagered species Tanzania sababu ya uchawi ilhali ni binadamu kama wewe
Wapi watu wanakufa njaa?we unaongelea maalbino kitu ambacho ishakuwa historia Tanzania?
 
Ujinga, ujinga, ujinga. We are talking about monetary poverty. Sio kumiliki mifugo za uchawi.
We bogus kweli don't you know that crops na mifugo ni hela.unaweza kuuza ukapata hela.wakenya kweli ni wajinga kichwani.
 
Wapi watu wanakufa njaa?we unaongelea maalbino kitu ambacho ishakuwa historia Tanzania?
Sio nyie mnaokufa mpaka nchi nyingine inawaletea msaada wa chakula.mambo ya albino yashaishaga Tanzania nashangaa mnakuza
 
nimekuambia masikini wa Tanzania anamashamba na mifugo labda hao hawaangalii hivi vitu lakini kiukweli mtanzania unayemwita masikini anamiliki ardhi na mifugo
Kwa hivyo kumiliki ardhi na mifugo ni kigezo cha kutathmini utajiri Tanzania??? Hivyo ni sawa na kusema kwamba wamaasai wote ni matajiri. Wewe heri hata unyamaze tu.
 
Kwa hivyo kumiliki ardhi na mifugo ni kigezo cha kutathmini utajiri Tanzania??? Hivyo ni sawa na kusema kwamba wamaasai wote ni matajiri. Wewe heri hata unyamaze tu.
Mwenye mifugo na ardhi anaweza kuuza na kupata fedha sasa ambae hana fedha na hana shamba wala mifugo uyo anahali gani
 
Unachekesha sana,nyie mnajiona mnazo?wakenya million ngap ni masikini? Apo Nairobi kuna watu wanaishi kwenye vibanda vya tope vilivyozungukwa na mifereji ya mavi,au zile full bati mini oven wacha kunifrahisha
Kibera ambayo ndio mtaa mkubwa wa mabanda hapa Nairobi has no more than 300k residents. Kule Dar, mamilioni huishi kwenye zile shanty zenu mnazoita dream houses

Lastly, sisi hatuna ila hatutegemei misaada kutoka IMF na World Bank
 
Mwenye mifugo na ardhi anaweza kuuza na kupata fedha sasa ambae hana fedha na hana shamba wala mifugo uyo anahali gani
Kwa hivyo wamaasai wote ni matajiri?? Your level of argument is pathetic. Hata mimi nina ardhi na mifugo but I don't consider myself a rich person
 
Kibera ambayo ndio mtaa mkubwa wa mabanda hapa Nairobi has no more than 300k residents. Kule Dar, mamilioni huishi kwenye zile shanty zenu mnazoita dream houses

Lastly, sisi hatuna ila hatutegemei misaada kutoka IMF na World Bank
Mbona unaishia kutaja kibera wakati Nairobi ni slumHub ?masikini ni wengi Nairobi ilo linajulikana
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hajielewi. Congo DRC wana madini kufa MTU lakini ni maskini mbaya.
Arguing with Tanzanians us one hell of a problem. Eti mtu anasema as long as you have cattle and a piece of land then you are rich! How do these southerners reason?!
 
Back
Top Bottom