Mataifa kadhaa ya kiafrika yakabiliwa na upungufu wa dola ya Marekani

Mataifa kadhaa ya kiafrika yakabiliwa na upungufu wa dola ya Marekani

Tupate fursa ya kuipandisha sh yetu
 
Yaani ukiona USD imeanguka jua fiat currencies zote zinakula mweleka tena baada ya chaos kubwa , brettonwoods iliyoamua kuifanya USD kuwa global reserve currency ilikuwa na sababu ,ingawa imefikia sehemu hapo katikati serikali ya Marekani ila abuse hiyo priveledge kwa kudilute value ya USD Kwa overprinting bila kuibackup na gold ,maana ilitakiwa kila USD 35 iliyopo kwenye mzunguko kuwe na ounce au karati 1 ya gold kwenye vaults za hazina ya Marekani kama enzi zile za brettonwoods kitu ambacho kwa sasa hakipo so trust imeshuka ndio maana unaona nchi kama china wanataka kuachana nayo ,ila USD ikianguka kinachofuata ni introduction ya global CBDC kama means of transaction na reserve currency Chini ya IMF na WB na hiyo ndio ile chapa ya mpinga kristo na mayhem itakayofuata kama maandiko yalivyotabiri ,kilichofanyika Nigeria kuanzia mwezi wa kwanza mpaka sasa hivi tunavyoongea ni majaribio , yanayoendelea Nigeria ndio kitakachofanyika mataifa yote , Hegelian method hiyo , create chaos then jitokeze kama mwokozi unayeleta solution kumbe una agenda zako , .

Na msije ukaomba hii scenario ikukute hai ,aisee hiyo miaka itakuwa ni migumu kiuchumi ,kiusalama na kila nyanja kuliko siku zote uliowahi kuishi humu duniani , nchi zitafirisika ,umasikini wa kutisha ,usalama mdogo ,magonjwa ,njaa nk
 
Wewe unafahamu unachoongea lkn. Angalia exchange rate dollar dhidi ya madafu kisha utupe jibu. Pili, sasa hivi jaribu kuagiza bidhaa yoyote China au India uone Proforma Invoice wataandika sarafu gani.
Kuna watu mnatia aibu sana yaani kisa kuisifia US ndo pesa za nchi Yako uziite madafu? Haya sema una madafu mangapi mfukoni? Kwahiyo unajiona mjanja kuikashifu fedha ya nchi Yako? Kwani ungeita Kwa jina la kawaida ungepungukiwa nini? Kwa tabia kama hizi akitokea much US akakuomba ushuzi utabisha?
 
Mataifa kadhaa ya kiafrika yakabiliwa na upungufu wa dola ya Marekani hali ambayo inapelekea kupanda kwa gharama za maisha katika mataifa hayo.

Mataifa kama Kenya, Misri, Ghana, Nigeria, Zambia na Zimbabwe ni mifano ya hayo yanayokabiliwa na upungufu huo.

Kumbe dollar bado ni muhimu sana kwa biashara na uchumi wetu huku Africa na duniani..

Zile hekaya za 'dedollarization' kumbe kiuhalisia hazitekelezeki.
 
Kwa sasa Marekani imeanza kupunguza $ kwenye mzunguko kwa sababu ya matumizi yake kupungua kwa kiasi fulani duniani ili kulinda thamani yake.

Na pia mfumko wa bei nchi Marekani imechangia pakubwa sana.

Huu ndo ukweli japo kuwa ni mchungu kwa baadhi ya watu walio kuwa wanaiona USA kama mungu.
Wewe ni Muslim hivyo chuki yako kwa Marekani najua ni kawaida ya muslims wengine
 
Yuan inakuja kwa kasi katika global foreign currency reserves ila bado ina safari ndefu kuifikia US$

US$ katika global foreign currency reserves imeshuka kwa 10 kutoka 71% mwaka 2000 mpaka 61% mwaka 2022 ikiendelea kushuka hivi inaipa nafasi Yuan
Yuan iko 3% unasema nn wewe
Labda euro na pound angalau wako juu
 
Back
Top Bottom