Mataifa makubwa ya Ulaya na Marekani yanaisujudia Israel waliyoiunda wenyewe

Mataifa makubwa ya Ulaya na Marekani yanaisujudia Israel waliyoiunda wenyewe

Hii dunia ina maajabu na vichekesho vingi sana.

Inaaminika kuwa huwezi kuwa raisi wa Marekani na hata Uiengereza bila kuwaunga mkono Israel na bila kujali jina la chama kinachogombea katika uchaguzi

Katika kampeni zinazoendelea za uchaguzi nchini Marekani kila mgombea anajaribu kumpaka matope mwenzake kwamba yeye haipendi Israel ndio maana kafanya kadha wa kadha. Kila mgombea kabla ya uchaguzi mara nyingi anakwenda Israel kwenda kulia kwenye ukuta pale Jerusalem pamoja na kutoa kauli za kujidhalilisha au kuisifia Israel.

Kuhofia kitisho cha mashambulizi ya Iran kwa Israel wakuu wa Marekani na vitengo vya ulinzi vimetoa kauli za wazi wazi kuwa ni lazima wailinde Israel dhidi ya mashambulizi hayo. Meli za kivita zimepelekwa mashariki ya kati kwa kazi hiyo.

Matendo hayo yanayofanywa na mataifa makubwa tunayoyaona yanaongozwa na watu wenye akili ni aibu kiubinadamu kwani taifa hilo wameliunda kwa mikono yao.

Jee kwa kufanya hivyo mataifa hayo yatafanikiwa kuilinda Israel na jee na wenyewe wataendelea kubaki kuwa mataifa makubwa yanayoaminika katika dunia?
Wazayuni sio wayahudi wa asili,,wengi ni wazungu walioamua kufata imani ya kiyahudi ,,,,,,ni kama wewe wa buza ulivyoamua kua roman katoliki haikufanyi wewe kua mrumi
 
Wazayuni sio wayahudi wa asili,,wengi ni wazungu walioamua kufata imani ya kiyahudi ,,,,,,ni kama wewe wa buza ulivyoamua kua roman katoliki haikufanyi wewe kua mrumi
Sio kweli, kwa hiyo yale makabila 12 ya wana wa Israel yako wapi.
 
Bwana Adolf Hitler aliwahi sema "dunia itatambua siku Israel ikipata Taifa lao" sijui kwa nini alihofia hivi...
 
Ngoja kwanza; umesema hili taifa waliliunda wao? Ok, kwenye huo ukuta uliosema kwamba viongozi wao wanakwendaga kulia macho pale (though me ndio naisikia leo kwamba viongozi wa USA na Uingereza wanaendaga pale kulia ) ulijengwa lini na kwasababu gani?
 
Kuna baadhi ya wajinga humu hawajui uislamu ni nini?

Uislamu ni unyenyekevu chini ya Mungu mmoja tu,kujisalimisha kwake na kufuata maamrisho yake period

kwahiyo next time ukiambiwa uislamu ulikuwa tangu enzi za adam uelewe kwa mnasaba huo

ILa kwa ujinga wenu wa kunasibisha kanzu na kofia mtaona uislamu uliletwa na Mtume Muhammad (s.a.w)

Acheni ujinga
 
Mwenye kitabu cha "Black Jews in Africa and the Americas'' msaada please.
 
Yule Ayatolah aliyekuwa anatokwa jasho nasikia nae kauwawa katika shambulio?
 
Tuonyeshe ni wapi imesemwa kwamba Jacob alikua ni mweusi tii.! Hiyo ni biblia ya wapi labda kama hiyo imo kwenye kurani.

Waisraeli hawakuwa weusi na mashariki ya kati hakukuwa na watu weusi. Watu weusi ulikuwa unawakuta kuanzia Misri na mwisho mtasema hata Mohammed naye alikuwa ni mweusi tii. Bure kabisa.
*********************************************
24 When the time came for her to give birth, there were twin boys in her womb. 25 The first to come out was red, and his whole body was like a hairy garment; so they named him Esau.[a] 26 After this, his brother came out, with his hand grasping Esau’s heel; so he was named Jacob. Isaac was sixty years old when Rebekah gave birth to them.

27 The boys grew up, and Esau became a skillful hunter, a man of the open country, while Jacob was content to stay at home among the tents. 28 Isaac, who had a taste for wild game, loved Esau, but Rebekah loved Jacob.
*********************************************
Kwani hukusoma habari za Musa kuona Cushite woman kutoka Midiani? Hukupata kujua kama Midiani ipo Saudi Arabia ya Leo??

Sisemi Ibrahimu au Waisrael walikuwa weusi au weupe maana Biblia inasema they are the people of Colour (bila shaka like Ethiopians or like Cushites) na Sulemani anasema ngozi yake ni nyeusi.

Lakini ninachotaka kukujukisha tu ni kwamba zama hizi hadi Middle East kulikuwa na watu weusi na Cushites maana hata mwanzishi ya BABELI(Iraq ya Leo) alikitoka Ibrahimu ni NIMROA ambaye ametoka na Hamu anayeaminika kuwa baba wa weusi
 
Tuonyeshe ni wapi imesemwa kwamba Jacob alikua ni mweusi tii.! Hiyo ni biblia ya wapi labda kama hiyo imo kwenye kurani.

Waisraeli hawakuwa weusi na mashariki ya kati hakukuwa na watu weusi. Watu weusi ulikuwa unawakuta kuanzia Misri na mwisho mtasema hata Mohammed naye alikuwa ni mweusi tii. Bure kabisa.
*********************************************
24 When the time came for her to give birth, there were twin boys in her womb. 25 The first to come out was red, and his whole body was like a hairy garment; so they named him Esau.[a] 26 After this, his brother came out, with his hand grasping Esau’s heel; so he was named Jacob. Isaac was sixty years old when Rebekah gave birth to them.

27 The boys grew up, and Esau became a skillful hunter, a man of the open country, while Jacob was content to stay at home among the tents. 28 Isaac, who had a taste for wild game, loved Esau, but Rebekah loved Jacob.
*********************************************
Kwani hukusoma habari za Musa kuona Cushite woman kutoka Midiani? Hukupata kujua kama Midiani ipo Saudi Arabia ya Leo??

Sisemi Ibrahimu au Waisrael walikuwa weusi au weupe maana Biblia inasema they are the people of Colour (bila shaka like Ethiopians or like Cushites) na Sulemani anasema ngozi yake ni nyeusi.

Lakini ninachotaka kukujukisha tu ni kwamba zama hizi hadi Middle East kulikuwa na watu weusi na Cushites maana hata mwanzishi ya BABELI(Iraq ya Leo) alikitoka Ibrahimu ni NIMROA ambaye ametoka na Hamu anayeaminika kuwa baba wa weusi
 
Bwana Adolf Hitler aliwahi sema "dunia itatambua siku Israel ikipata Taifa lao" sijui kwa nini alihofia hivi...
He knew them, wale sio binadamu kama sisi toka mwanzo wanaasili ya kuabudu shetani na ukafiri tu, imagine hawaamini kama Yesu aliyekuja ndio yeye wao bado wanasubiri ujio wa christ ambao ndio huyo wanapigania kumuandalia makazi, ambae ndio huyo huyo mpinga kristo. Wakristo wanawaunga tu ila hawajui hata kidogo mipango na ushenzi waliojipanga hawa mazayuni
 
Uislamu ndio dini kabla ya hata kuumbwa binadamu.Adamu ambaye ndiye baba yetu ndiye mtu wa mwanzo na Mtume wa mwanzo alikuwa muislamu.Mayahudi waliukuta uislamu au tuseme walikufuru ndio wakawa mayahudi.
Hizi dini zina mambo ya ajabu sana. Hebu achaneni ma dini zenu mtafuteni Mungu.
 
Waliopita bahari nyekundu sio hawa bali walikuwa ni kizazi cha Israel ambaye alikuwa ni muislamu.
Hapo ndo mnapofeli.Kwa huo na wewe unawahusudu sana waisraeli sio?Ukisema Waisrael walikuwa Waislam maana yake hata wewe unawahusudu.Waistael walikuwa watunza Sheria ya MUNGU (torati).Sasa tangu lini waislamu wanatunza amri za MUNGU!Tafuta taifa lolote duniani kama utapata taifa linalotunza torati ya Musa tofauti na Waisrael wa leo.Nyie mmejaa maneno mengi yasiyo na ushahidi.Ukiniambia Waisrael wa leo sio hao inabidi utoe na ushahidi.Waisrael walikuwa wanaongea kiebrania(lugha ya manabii wa agano la kale wote akiwepo na Musa).Sasa Kuna taifa gani linaloongea kiebrania duniani kama sio hawa Waisrael wa Sasa?
 
Halaf sijui hizo chuki na wayahudi wamezitoa wapi, kama ni chuki basi angekuwa nazo wajukuu wa Esau pacha wa Israel aliyeibiwa uzaliwa wa kwanza lakini sio wajukuu wa Ismael.
Hao nao ni miongoni mwa waarabu wa Sasa.Kizazi cha Ismael kimeungana na cha Essau kumpigania na Yakobo
 
Kwani hukusoma habari za Musa kuona Cushite woman kutoka Midiani? Hukupata kujua kama Midiani ipo Saudi Arabia ya Leo??

Sisemi Ibrahimu au Waisrael walikuwa weusi au weupe maana Biblia inasema they are the people of Colour (bila shaka like Ethiopians or like Cushites) na Sulemani anasema ngozi yake ni nyeusi.

Lakini ninachotaka kukujukisha tu ni kwamba zama hizi hadi Middle East kulikuwa na watu weusi na Cushites maana hata mwanzishi ya BABELI(Iraq ya Leo) alikitoka Ibrahimu ni NIMROA ambaye ametoka na Hamu anayeaminika kuwa baba wa weusi
Cushites ndio walikua weusi lakini waisraeli walikuwa ni Semites ambao hawakuwahi kuwa watu weusi na laiti kama waisraeli walikuwa ni weusi basi sisi ndio tungekuwa jamii ya watu wenye akili mno duniani lakini ona tu tulivyo yaani hadi tunatia aibu.
 
Back
Top Bottom