Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanzisha Mada Anatiririka Kwa ID Nyingine70% ya ngano inayotumika TZ imetokea Urusi au Ukraine. Nyie mnalima ngano kidogo sana ndani ya nchi yenu.
sisi tunanunua ngano sio bidhaa zitokanazo na ngano zije moja kwamoja toka urusi ama ukraineMwenye mfuko wa ngano kutoka Urusi naomba aniwekee ambao umetumika Tanzania.
Wewe ndiyo umesema siyo wao sababu taarifa yao haijasema tunapata ngano kwa msaada! Kwani ku import bidhaa toka nje ni kupewa msaada? Umeongea kana kwamba tunapewa misaada ili kutufunga mdomo kuikemea Urusi kwa operation anayoifanya Ukraine! Je, hicho ndicho kilichoongelewa kwenye hiyo taarifa???
Nakuhakikishia tukiendelea na siasa za hivi hatutafika!!! Afrika haitafika!!! Afrika inaharibiwa na maafrika yenyewe!