Mataifa ya Waarabu yasema vita vikiendelea mwakani wataacha kutoa misaada ya chakula

Mataifa ya Waarabu yasema vita vikiendelea mwakani wataacha kutoa misaada ya chakula

Kwanini wanangoja mwakani? Waache leo hii.

Wamepewa msaada wa chakula Kenya, Somalia , Ethiopia na hawana machafuko. Au Kenya walipewa kwa kuwatumikia mabwana zao wa Kamarekani huko Somalia?
The 🔥 breathing jihadist has come while wielding sword and reciting some verses of Quran that threaten those who are not of that faith.
 
The 🔥 breathing jihadist has come while wielding sword and reciting some verses of Quran that threaten those who are not of that faith.
They want all of us to be converted to their faith for the sake of enjoying those 72 virgins.
 
😄 Toka lini Hamasi alisaidiwa na viongozi wa kiarabu, hao wanaongea ni serekali za vibaraka.

Hamasi pesa haiwezi isha sababu anasaidiwa pesa na Waislam,na Mimi wa kwanza sitawacha kuwasaidia kama nikiwa na account yao.
 
Damu ya wa Tanzania itawamaliza Hamas.

Ni laana kubwa kuuwa mtanzania asiye na hatia
Hawa ndo hawanahatia.tizama wakiwa kwenye mavaz ya mnachodai kilimo
 

Attachments

  • IMG-20231220-WA0016.jpg
    IMG-20231220-WA0016.jpg
    132.2 KB · Views: 2
Back
Top Bottom