Halafu Dabo alivyokuwa anajitetea kwa kupokezwa kipigo jana, hakuwa tofauti na kocha Mubiru aliyepigwa mtama kwa kuishusha mchangani mbeya cityEti matajiri wanaokota mtu cheap kabisa wanampa timu.
Ukiangalia CV yake yote kafundisha timu za under 20 tu. Timu za watoto wa damu changa na akili ndogo kabisa unategemea ataleta nini kwa klabu kongwe. Leo mnataka miujiza gani.
Aliyekula asilmia hapa Hana huruma kabisa. Timu bovu kuliko msimu wowote ule. Uchafu tupu.
Sitaki kuongea mengi Azam ibenge timu yake Haina makazi mchukueni. Au yule msauzi aliyoko arabuni. Alafu nyie ndio matajili wa bongo ata kocha wa Asec kweli atawashinda.? Kuweni siliasi.