Matajili Azam nawakumbusha Ibenge yupo tu. Au Asec wana kocha mzuri sana hawana hela

Matajili Azam nawakumbusha Ibenge yupo tu. Au Asec wana kocha mzuri sana hawana hela

Eti matajiri wanaokota mtu cheap kabisa wanampa timu.

Ukiangalia CV yake yote kafundisha timu za under 20 tu. Timu za watoto wa damu changa na akili ndogo kabisa unategemea ataleta nini kwa klabu kongwe. Leo mnataka miujiza gani.

Aliyekula asilmia hapa Hana huruma kabisa. Timu bovu kuliko msimu wowote ule. Uchafu tupu.

Sitaki kuongea mengi Azam ibenge timu yake Haina makazi mchukueni. Au yule msauzi aliyoko arabuni. Alafu nyie ndio matajili wa bongo ata kocha wa Asec kweli atawashinda.? Kuweni siliasi.
Halafu Dabo alivyokuwa anajitetea kwa kupokezwa kipigo jana, hakuwa tofauti na kocha Mubiru aliyepigwa mtama kwa kuishusha mchangani mbeya city
 
Pamoja na ubora wa Yanga lakini Azam mbovu ya jana haijawahi kutokea. Hivi kwa kipa yule kwenye michuano ya Afrika si watapigwa kumi. Kama Yanga jana wangetulia Azam angekula 5 bila. Mlio karibu na mmiliki wa Azam mwambieni ukweli amtimue kocha haraka sana timu ampe hata Mwambusi au Julio vinginevyo hii inaenda kuwa aibu ya Tanzania
 
Kwani waliofungwa FA na Azam miezi miwili iliyopita ilikuwa timu gani
Wanalazimisha azam mbovu ili tu kuprove wrong ubora wa Yanga,hata Yanga ilipofika final caf conf walidai alikutana na timu dhaifu,ile dharau tuliyoingia nayo kwenye ligi wakatufunga jumapili ijayo aitokuwepo,na tuliwataka sana fa ili tuwaonyeshe ubora wetu wakafungwa nusu fainali na azam kule mtwara,Inshallah jumapili sio mbali tunawasubiri makolo tuzibe kidomo chenu
 
Wanalazimisha azam mbovu ili tu kuprove wrong ubora wa Yanga,hata Yanga ilipofika final caf conf walidai alikutana na timu dhaifu,ile dharau tuliyoingia nayo kwenye ligi wakatufunga jumapili ijayo aitokuwepo,na tuliwataka sana fa ili tuwaonyeshe ubora wetu wakafungwa nusu fainali na azam kule mtwara,Inshallah jumapili sio mbali tunawasubiri makolo tuzibe kidomo chenu
Hivi kwa mfano wakakandwa na singida, alafu wakakutana na azam kutafuta mshindi wa tatu na azam nae akapiga kwenye mshono, hayo maneno ya azam mbovu yatasikika teena?

Ukiacha makosa ya goli kipa na baadhi ya wachezaji kukamia sana mechi, azam hawakua na mpira mbaya sana hasa kipindi cha kwanza
 
Na ww pia tunaomba tukukumbushe azam fc ni yake n sio ya WANACHAMA. Unawashwa nn?
Asante
 
Mbona pre season walimfunga ibenge na Al halal yake 3-0 na wakamfunga us monastir ya Tunisia 2-0?
Wakati mungine kocha anafundisha Kama wachezaji hawashiki na kuamua kucheza kung fu Nani alaumiwe 🤷🏿‍♂️
 
Azam hiyohiyo unayoichukulia poa ndo ilikubamiza FA na kukusumbua kwenye ligi. Azam amekutana na timu kubwa.
Na hiyo timu kubwa ndio imetoka kupigwa 2-0 na mnyama kwenye ligi
 
Hivi kwa mfano wakakandwa na singida, alafu wakakutana na azam kutafuta mshindi wa tatu na azam nae akapiga kwenye mshono, hayo maneno ya azam mbovu yatasikika teena?

Ukiacha makosa ya goli kipa na baadhi ya wachezaji kukamia sana mechi, azam hawakua na mpira mbaya sana hasa kipindi cha kwanza
Kikubwa hawataki kukubali kama Yanga ni timu nzuri na ndio maana ni vizuri tukutane nao ili tuwanyooshe na kukata mdomo wao
 
Eti matajiri wanaokota mtu cheap kabisa wanampa timu.

Ukiangalia CV yake yote kafundisha timu za under 20 tu. Timu za watoto wa damu changa na akili ndogo kabisa unategemea ataleta nini kwa klabu kongwe. Leo mnataka miujiza gani.

Aliyekula asilmia hapa Hana huruma kabisa. Timu bovu kuliko msimu wowote ule. Uchafu tupu.

Sitaki kuongea mengi Azam ibenge timu yake Haina makazi mchukueni. Au yule msauzi aliyoko arabuni. Alafu nyie ndio matajili wa bongo ata kocha wa Asec kweli atawashinda.? Kuweni siliasi.
Timu mbovu halafu kila mechi inawafunga tu nyinyi wabovu wenzao.
 
Kama unaona Azam wabovu lete timu yako jpili
FB_IMG_1691649468328.jpg
 
Acha kukariri Kuna kina sisi sio wafia simba&Yanga tunapenda mabadiliko ya soka Tanzania haingii akilini watu 65m tushabikie timu mbili.
Kama umezaliwa 2005 siwezi kukupinga kushabikia Azam,maana wamepanda ligi mwaka 2008 ila kama umezaliwa early 1980's mpaka 1990's utakuwa muongo na mnafiki kwamba wewe ni die hard fan wa Azam......kuna timu yako itakuwepo pale Kkoo
 
Tatizo la wabongo Ni upumbavu wa kulazimisha kila mtu ashabikie Yanga na Simba.

Kwenye mada.
Huyu kocha alianza kuonyesha wasiwasi kwenye pre season kila baada ya mechi akihojiwa anasema hajaridhishwa na viwango vya wachezaji.....nilikuwa na shangaa Sana kocha gani huyu?

Huyu jamaa wamemuokota wakaleta kupiga hela wakina Popat wanakula pesa za ice cream kiulani tu,angalia kocha Hana mbinu mbadala timu imezidiwa hajui afanye nini na wakati gani? Ni aibu.

Unampanga Golkipa namba Tatu na Golkipa mzoefu unaemlipa pesa nyingi unamuweka benchi....wachezaji wa Kati wanaolipwa pesa nyingi unawaweka benchi unaweka kina Manyama huu Ni utani na kuidhalilisha timu,timu Inatakiwa iwe na watu wenye uchungu ambao watawapa uzoefu wageni katika benchi la ufundi.
Sasa unaona Ni Ongala na Moris kuliko huyu Dabo....huyu kocha Ni Boksi kabisa kaingia na uwoga Mwingi unajaza viungo mkabe tu mkichoka mnapigwa chuma.

Azam ijitafakari Kuna watu wameamua kuisapoti kibishi maana hii nchi Ni mbovu Sana kimaendeleo ya soka...watu 65M hatutakiwi kushabikia timu mbili....inabidi yawepo mabadiliko na hayaji bila kubeba vikombe.
Tunashindwa kuelewa mnafeli wapi maana wacheji hawana moraali ya kuipigania jezi ya Azam Fc na kila kitu wanapata....anzeni na kocha hamna kocha hapo.
Maneno mengi unamaliza miti tu
 
Wanalazimisha azam mbovu ili tu kuprove wrong ubora wa Yanga,hata Yanga ilipofika final caf conf walidai alikutana na timu dhaifu,ile dharau tuliyoingia nayo kwenye ligi wakatufunga jumapili ijayo aitokuwepo,na tuliwataka sana fa ili tuwaonyeshe ubora wetu wakafungwa nusu fainali na azam kule mtwara,Inshallah jumapili sio mbali tunawasubiri makolo tuzibe kidomo chenu
We mke wetu tulia, unataka kipigo tena
 
Eti matajiri wanaokota mtu cheap kabisa wanampa timu.

Ukiangalia CV yake yote kafundisha timu za under 20 tu. Timu za watoto wa damu changa na akili ndogo kabisa unategemea ataleta nini kwa klabu kongwe. Leo mnataka miujiza gani.

Aliyekula asilmia hapa Hana huruma kabisa. Timu bovu kuliko msimu wowote ule. Uchafu tupu.

Sitaki kuongea mengi Azam ibenge timu yake Haina makazi mchukueni. Au yule msauzi aliyoko arabuni. Alafu nyie ndio matajili wa bongo ata kocha wa Asec kweli atawashinda.? Kuweni siliasi.
Timu ikifungwa tu na Yanga basi mbovu, watu mna maneno.
 
Uko sahihi binafsi naona ili ligi iwe Bora lazima kuwe na Timu angalau 5 au 6 zenye ubora wa juu
Ndio mkuu, Angekuja Azam akaja Singida FG,Namungo labda na wengine ili soka letu likue....sio nchi nzima iwe na Timu mbili tu.
 
Pamoja na ubora wa Yanga lakini Azam mbovu ya jana haijawahi kutokea. Hivi kwa kipa yule kwenye michuano ya Afrika si watapigwa kumi. Kama Yanga jana wangetulia Azam angekula 5 bila. Mlio karibu na mmiliki wa Azam mwambieni ukweli amtimue kocha haraka sana timu ampe hata Mwambusi au Julio vinginevyo hii inaenda kuwa aibu ya Tanzania
Kweli kabisa,kocha hamna pale yule Jamaa,sijui huwa wanawaza Nini?
Mbona Azam inaimbwa Ni Tajiri lakini hamna utajiri unao onekana kwenye usajili wa Makocha na wachezaji.....wanenda Afrika magharibi wanaokota okota wanaleta huku watu hawana uzoefu na mashindano ya Afrika ngazi ya vilabu.
 
Back
Top Bottom