Matajiri 17 wanaotikisa afrika

Matajiri 17 wanaotikisa afrika

Walio na utajiri wa familia mbona wameorodheshwa, tatizo la wabongo hawapend kuwapa watu maua yao, nafikiri wivu ndio tatizo
Hata sijaelewa post yako hii una maana gani; kama unadhani comment yangu hapo juu ni kwa sababu ya wivu basi sawa. Ila elewa kuwa MeTL haikuanzishwa na MO mwenyewe bali aliirithi. Alichofanya ni kuwa wakati wa Mkapa kuuza mashirika, yeye aliongoza kampuni ya familia yake hiyo kuyanunua mengi tena kwa bei nafuu sana.

1720893749699.png
 
Hata sijaelewa post yako hii una maana gani; kama unadhani comment yangu hapo juu ni kwa sababu ya wivu basi sawa. Ila elewa kuwa MeTL haikuanzishwa na MO mwenyewe bali aliirithi. Alichofanya ni kuwa wakati wa Mkapa kuuza mashirika, yeye aliongoza kampuni ya familia yake hiyo kuyanunua mengi tena kwa bei nafuu sana.

View attachment 3041608
Hata kama alirithi wangapi wamerithi na viko wapi?

MO asifiwe kwa kuendeleza hadi hapo
 
Hata kama alirithi wangapi wamerithi na viko wapi?

MO asifiwe kwa kuendeleza hadi hapo
Kusema kuwa alirithi haina maana kuwa tunamdharau au hatumsifu kwa kuendeleza alichorithi. Hata hivyo, mtu kuwa na kickstart ni tofauti na mtu kuanza from zero. Yeye mwenyewe kwenye biagraphy yake anasema alirithi biashara ya baba yake, sijui nyie kinawaudhi nini mkisikia mtu anasema kuwa Mo alirithi biashara. Hii hapa ni biography ambaye ameandika yeye mwenyewe.
1720895589133.png
 
Back
Top Bottom