Matajiri wakubwa Tanzania si wafanyabiashara bali ni wanasiasa, viongozi wa serikali na ndugu zao, kuonyesha kwamba kuna kitu hakipo sawa

Matajiri wakubwa Tanzania si wafanyabiashara bali ni wanasiasa, viongozi wa serikali na ndugu zao, kuonyesha kwamba kuna kitu hakipo sawa

Utofauti Mkubwa wa Upendeleo wa Serikali kwa wafanyabiashara kati ya Western World na Afrika ni Manufaa ya Upendeleo huo ni upi. Wenzetu upendeleo anaopewa mfanyabiashara huwa na maslahi ya taifa na sio kumpendelea mmoja dhidi ya wengine kiushindani [Fair Competition]. Mfano, Trump kumpiga ban Huawei na kulinda maslahi ya taifa lake kiusalama na kibiashara, au Magufuli kumpa Shamba la Miwa Bakhresa kwa lengo la kutatua changmoto ya sukari ni maslahi ya taifa. Ila sehemu kubwa huku kwetu huwa ni maslahi ya afisa wa serikali.

Wenzetu walipita hatua hii tulipo sasa hivi sisi ya viongozi kutoa upendeleo kwa maslahi yao binafsi, wakaweka sheria kali zinazozuia Viongozi kunufaika binafsi na Tendering, ndio maana wao Serikali ikitoa tender au upendeleo kwa mfanyabiashara ikaja bainika alikuwa mnufaika binafsi wa maamuzi hayo lazima ashitakiwe. Kinyume na sisi huku ambapo DED anampa mtu tender na 10% ni kawaida. On the same note, nchi za West, kwao kampuni kutoa Hongo ili kupata tender ni kosa, lakini sheria zao ziliwaruhusu kutoa hongo wanapobid tender nchi za nje [and it was accounted kwenye vitabu vya kampuni].
Huo ujanja wa kucheza na kutoa rushwa unapobid ni mazingira tu yapo hivo, sio kosa la wafanyabiashara,

Ila dunia nzima wanasiasa ndio huamua nani awe tajiri nani asiwe, kwa sababu ili uwe tajiri lazima kuna mauchafu uyafanye, wakiamua kukukazia hutoboi kabisa
 
Wataje hao wanasiasa wenye hela kumzidi Bakhresa, Mount Meru, Mo au Lake group,

Sometimes tusidanganyane sana, wanasiasa wana hela ila usiseme ndio wenye hela nying nchini, matajiri hii nchi ni wahindi na waarabu
wapo na wanajificha kupitia hao hao unaowajuwa wewe na wanawekeza pesa zao kwenye mirad hiyo hiyo unaijuwa ya hao matajiri wengi uwajuao
 
Uraia pacha haukwepeki ni suala la wakati tu
Viongozi waliopo madarakani wanawaogopa sana Watanzania wanaoishi nje, kwamba wamepanuka kimawazo na ni rahisi wakirudi nyumbani kuwa sehemu ya jamii ya Watanzaia watataka mambo yabadilishwe

Wazungu wanasema waafrika walipata mawazo ya uhuru baada ya kuwapeka vita kuu ya pili miaka ya 1939-45, na wakashuhudia mzungu hana tofauti na wao, na mara nyingine alanila kama mtoto kwa kuogopa. Na kumbuka waswahili walikuwa wnawatungua adui wa kizungu risasi, na ndio wakajua kwamba kumbe mzungu si chochote si lolote. Kenya wkaanzisha MauMau nk

Viongozi wanawaogopa sana diaspora kwa kuwa wanajua diaspora wakiruhusiwa nchini watabadilisha mambo kutokana na exposure yao. Viongozi wanapenda hali ya kuwadanganya wananchi ambao hawajui chochote iendelee
 
Viongozi waliopo madarakani wanawaogopa sana Watanzania wanaoishi nje, kwamba wamepanuka kimawazo na ni rahisi wakirudi nyumbani kuwa sehemu ya jamii ya Watanzaia watataka mambo yabadilishwe

Wazungu wanasema waafrika walipata mawazo ya uhuru baada ya kuwapeka vita kuu ya pili miaka ya 1939-45, na wakashuhudia mzungu hana tofauti na wao, na mara nyingine alanila kama mtoto kwa kuogopa. Na kumbuka waswahili walikuwa wnawatungua adui wa kizungu risasi, na ndio wakajua kwamba kumbe mzungu si chochote si lolote. Kenya wkaanzisha MauMau nk

Viongozi wanawaogopa sana diaspora kwa kuwa wanajua diaspora wakiruhusiwa nchini watabadilisha mambo kutokana na exposure yao. Viongozi wanapenda hali ya kuwadanganya wananchi ambao hawajui chochote iendelee
Ndo ccm inachoogopa kutoa uraia pacha,pili unajua diaspora hawarogwi na Moshi wa mwenge kuwapumbaza fikra wasiwaze maendeleo kama watz.
wanaogopa mawzo mapya toka nje,sababu ya kale kakikundi ka kunufaika na Kodi zetu wanalinda himaya Yao.
 
Kuna waziri mmoja wa mojawapo za wizara zetu kapiga hela sawasawa. Rais Samia aliposikia alichofanya ni kumuondoa tu wizara hiyo na kumhamishia wizara nyingine. Japo inajulikana amepiga hela ya serikali kubwa, swali ni kwamba kwa nini raisi Samia hajaamuru Takukuru wamchukulie hatua? Na sio huyo tu. Kuna mawaziri wengine pia walifanya hivi na wakaondolewa bila kuchukuliwa hatua, kama vile wanapewa nafasi wakale walichopiga
 
Nyie ndio mnaamini Bakhresa aliuza kahawa pale msikitini akaanzisha kiwanda cha kusaga nafaka taratibu hivyo hadi akawa bilionea. Upewe mashine ya kusaga tuone kama utapata hata utajiri wa milioni 50. SAS anawatazama uko.

Au mnakuja kwa mzee Gulam Dewji na mwanae Mo mnasema walipambana, ni sawa walipambana. Ila hata wewe tukikupa vile viwanda vya nguo bure kwenye ubinafsihaji, na ukavitumia kama dhamana kukopea mabilioni nje, na tukakupa mashamba ya mkonge sawa na bure miaka 20 baadae huwezi shindwa kuwa bilionea mkubwa.
Huwezi nipa klabu kubwa kwa hela za "maandishi" billioni 20, alafu nikiulizwa nimeziweka akaunti gani na zimetumikaje nafoka nakulalamika ninavyopata hasara. Baadae ukarudi ukakuta sipo bilionea.

Sasa hayo yote huwezi yapata bila mkono wa kisiasa au kuwa na wanasiasa nyuma. Katafute mmiliki wa Kagera kiwanda cha sukari nani, mmiliki wa Mtibwa nani alafu ujue kwanini sukari Tanzania haitoshelezi kwa uzalishaji ila serikali haitaki kuagiza nje tena kwa bei nafuu.

Nilishtuka baada ya serikali ya Magufuli kukisumbua kiwanda cha Dangote kuhusu either makaa ya mawe au clinker (sikumbuki ni kipi hapo) ghafla Rais mstaafu wa Nigeria, Olisegun Obasanjo akafanya ziara binafsi kwa private jet kuonana na Magufuli. Baada siku chache mambo ya Dangote cement yakatulia. Nikaenda kufuatilia kwanini suala linamhusu Dangote alafu Olisegun ndio aje binafsi wakati ana tiketi ya kidiplomasia anaweza kuja kitaifa.

Kiufupi iko hivi, Dangote alitokea familia ya uwezo ila akaongezea kuwa na political and military connection, Nigeria ilitawaliwa na military rulers. Akafanya awe na haki ya kuagiza mchele na sukari nje na kuuza kwa faida kubwa (sababu kwa kutumia siasa aliua ushindani). Baadae Nigeria ikafanya uchaguzi kutafuta kiongozi wa kiraia iachane na utawala wa kijeshi, Dangote akafadhili uchaguzi mkuu wa Olisegun Obasanjo na akashinda.
Obasanjo akaleta sera ya viwanda kwa kiqsi fulani, ghafla Dangote akaanza kujenga viwanda na ghafla akawa bilionea maradufu. Ukifuatilia biashara za Dangote huwa zinapewa subsidiaries, exclusive rights, mara ndio zinakuwa kipaumbele na sera kuu ya serikali. Kwa sasa ana refinery, ni usanii mtupu unaendelea. Dangote ni GSM wa Obasanjo. Na Marais wa Nigeria huwa wanaachiana na kulindana, mnyororo unaendelea na ukitaka kuingia hapo kati wanufaika wako tiyari muingie vita ya wenyewe kwa wenyewe.

Biashara za Afrika zina mkono mkubwa wa kisiasa. Hata pale Misri ni hivihivi, Sudan ni hivi, Somalia baada ya kuharibika ile miaka ya 90 waliokuwa wanahamia Nairobi na Dar kujenga mahoteli na kuanzisha biashara kubwa ni wanasiasa wao waliotoroka. South Africa pale hao ndio kabisa wanafanya biashara ikulu.
Biashara ambayo haina innovation nyuma ni vigumu itengeneze utajiri wa haraka. Biashara za kawaida kama unga na simenti inataka uwekezaji mkubwa (sijui hela utapata wapi), sera rafiki kwako mfanyabiashara hiyo (nani ataweka sera za kuku-favour) na ulinzi (dhidi ya sheria, kesi, upinzani, ushindani). Hivyo vyote vinapatikana kwenye siasa za Kiafrika.

Hao wote uwezo mkubwa kibiashara wanao, kisha tag ya kisiasa ndio inakuja.
Umemaliza
 
Nyie ndio mnaamini Bakhresa aliuza kahawa pale msikitini akaanzisha kiwanda cha kusaga nafaka taratibu hivyo hadi akawa bilionea. Upewe mashine ya kusaga tuone kama utapata hata utajiri wa milioni 50. SAS anawatazama uko.

Au mnakuja kwa mzee Gulam Dewji na mwanae Mo mnasema walipambana, ni sawa walipambana. Ila hata wewe tukikupa vile viwanda vya nguo bure kwenye ubinafsihaji, na ukavitumia kama dhamana kukopea mabilioni nje, na tukakupa mashamba ya mkonge sawa na bure miaka 20 baadae huwezi shindwa kuwa bilionea mkubwa.
Huwezi nipa klabu kubwa kwa hela za "maandishi" billioni 20, alafu nikiulizwa nimeziweka akaunti gani na zimetumikaje nafoka nakulalamika ninavyopata hasara. Baadae ukarudi ukakuta sipo bilionea.

Sasa hayo yote huwezi yapata bila mkono wa kisiasa au kuwa na wanasiasa nyuma. Katafute mmiliki wa Kagera kiwanda cha sukari nani, mmiliki wa Mtibwa nani alafu ujue kwanini sukari Tanzania haitoshelezi kwa uzalishaji ila serikali haitaki kuagiza nje tena kwa bei nafuu.

Nilishtuka baada ya serikali ya Magufuli kukisumbua kiwanda cha Dangote kuhusu either makaa ya mawe au clinker (sikumbuki ni kipi hapo) ghafla Rais mstaafu wa Nigeria, Olisegun Obasanjo akafanya ziara binafsi kwa private jet kuonana na Magufuli. Baada siku chache mambo ya Dangote cement yakatulia. Nikaenda kufuatilia kwanini suala linamhusu Dangote alafu Olisegun ndio aje binafsi wakati ana tiketi ya kidiplomasia anaweza kuja kitaifa.

Kiufupi iko hivi, Dangote alitokea familia ya uwezo ila akaongezea kuwa na political and military connection, Nigeria ilitawaliwa na military rulers. Akafanya awe na haki ya kuagiza mchele na sukari nje na kuuza kwa faida kubwa (sababu kwa kutumia siasa aliua ushindani). Baadae Nigeria ikafanya uchaguzi kutafuta kiongozi wa kiraia iachane na utawala wa kijeshi, Dangote akafadhili uchaguzi mkuu wa Olisegun Obasanjo na akashinda.
Obasanjo akaleta sera ya viwanda kwa kiqsi fulani, ghafla Dangote akaanza kujenga viwanda na ghafla akawa bilionea maradufu. Ukifuatilia biashara za Dangote huwa zinapewa subsidiaries, exclusive rights, mara ndio zinakuwa kipaumbele na sera kuu ya serikali. Kwa sasa ana refinery, ni usanii mtupu unaendelea. Dangote ni GSM wa Obasanjo. Na Marais wa Nigeria huwa wanaachiana na kulindana, mnyororo unaendelea na ukitaka kuingia hapo kati wanufaika wako tiyari muingie vita ya wenyewe kwa wenyewe.

Biashara za Afrika zina mkono mkubwa wa kisiasa. Hata pale Misri ni hivihivi, Sudan ni hivi, Somalia baada ya kuharibika ile miaka ya 90 waliokuwa wanahamia Nairobi na Dar kujenga mahoteli na kuanzisha biashara kubwa ni wanasiasa wao waliotoroka. South Africa pale hao ndio kabisa wanafanya biashara ikulu.
Biashara ambayo haina innovation nyuma ni vigumu itengeneze utajiri wa haraka. Biashara za kawaida kama unga na simenti inataka uwekezaji mkubwa (sijui hela utapata wapi), sera rafiki kwako mfanyabiashara hiyo (nani ataweka sera za kuku-favour) na ulinzi (dhidi ya sheria, kesi, upinzani, ushindani). Hivyo vyote vinapatikana kwenye siasa za Kiafrika.

Hao wote uwezo mkubwa kibiashara wanao, kisha tag ya kisiasa ndio inakuja.
Uko vyema mkuu.
 
Sijasema dunia ni fair play wala sijasema kudhamini kampeni alikuwa hana hela. Mbona hujajibu kwanini Rais mstaafu Obasanjo alikuja kutatua mgogoro wa kiwanda cha Dangote?

Kwanza unalinganishaje Marekani wakati wadhamini wa Marekani ni kisheria inatambulika na mgombea anataja amepokea kiasi gani kutoka kwa nani. Wakati kwa Dangote na Obasanjo ni makubaliano binafsi sio kisheria.

Nilichosema ni kwamba biashara za Kiafrika zina mkono wa kisiasa, hapa unapinga kisha unasema Bakhresa alipewa ekari alime sukari kisa "ana uwezo". Tena mtu huyohuyo alipewa NMC miaka ya nyuma. Kampuni ya Mayanga Construction kipindi cha Magufuli ilikuwa inapewa tenda za ujenzi za fedha nyingi hadi inazidiwa, napo utasema "ina uwezo". Magufuli kafa na kampuni hatuisikii.

Kikwete alipoondoka kampuni ya Home Shopping Centre ikafunga biashara, wakati enzi za Kikwete ilikuwa inapiga hela sana. Hutaki kuelewa unakomaa wote hao wana uwezo.
Mwaka huu kuna ofisi za stationery ziliagiza sukari ya mabilioni nje. Ofisi hata mtaji wa miliono 10 hazina ila ghafla bin vu zimeagiza tani za sukari kwenye meli. Aliyetoa kibali Wizara ya Kilimo, kwanini hawakupewa vibali wazalishaji wa sukari kama ulivyo utarati u kisheria anayejua ni Wizara.
Beberu utasema hizo stationery zina uwezo wa sukari, utajiri wake hauna siasa.
 
Nyie ndio mnaamini Bakhresa aliuza kahawa pale msikitini akaanzisha kiwanda cha kusaga nafaka taratibu hivyo hadi akawa bilionea. Upewe mashine ya kusaga tuone kama utapata hata utajiri wa milioni 50. SAS anawatazama uko.

Au mnakuja kwa mzee Gulam Dewji na mwanae Mo mnasema walipambana, ni sawa walipambana. Ila hata wewe tukikupa vile viwanda vya nguo bure kwenye ubinafsihaji, na ukavitumia kama dhamana kukopea mabilioni nje, na tukakupa mashamba ya mkonge sawa na bure miaka 20 baadae huwezi shindwa kuwa bilionea mkubwa.
Huwezi nipa klabu kubwa kwa hela za "maandishi" billioni 20, alafu nikiulizwa nimeziweka akaunti gani na zimetumikaje nafoka nakulalamika ninavyopata hasara. Baadae ukarudi ukakuta sipo bilionea.

Sasa hayo yote huwezi yapata bila mkono wa kisiasa au kuwa na wanasiasa nyuma. Katafute mmiliki wa Kagera kiwanda cha sukari nani, mmiliki wa Mtibwa nani alafu ujue kwanini sukari Tanzania haitoshelezi kwa uzalishaji ila serikali haitaki kuagiza nje tena kwa bei nafuu.

Nilishtuka baada ya serikali ya Magufuli kukisumbua kiwanda cha Dangote kuhusu either makaa ya mawe au clinker (sikumbuki ni kipi hapo) ghafla Rais mstaafu wa Nigeria, Olisegun Obasanjo akafanya ziara binafsi kwa private jet kuonana na Magufuli. Baada siku chache mambo ya Dangote cement yakatulia. Nikaenda kufuatilia kwanini suala linamhusu Dangote alafu Olisegun ndio aje binafsi wakati ana tiketi ya kidiplomasia anaweza kuja kitaifa.

Kiufupi iko hivi, Dangote alitokea familia ya uwezo ila akaongezea kuwa na political and military connection, Nigeria ilitawaliwa na military rulers. Akafanya awe na haki ya kuagiza mchele na sukari nje na kuuza kwa faida kubwa (sababu kwa kutumia siasa aliua ushindani). Baadae Nigeria ikafanya uchaguzi kutafuta kiongozi wa kiraia iachane na utawala wa kijeshi, Dangote akafadhili uchaguzi mkuu wa Olisegun Obasanjo na akashinda.
Obasanjo akaleta sera ya viwanda kwa kiqsi fulani, ghafla Dangote akaanza kujenga viwanda na ghafla akawa bilionea maradufu. Ukifuatilia biashara za Dangote huwa zinapewa subsidiaries, exclusive rights, mara ndio zinakuwa kipaumbele na sera kuu ya serikali. Kwa sasa ana refinery, ni usanii mtupu unaendelea. Dangote ni GSM wa Obasanjo. Na Marais wa Nigeria huwa wanaachiana na kulindana, mnyororo unaendelea na ukitaka kuingia hapo kati wanufaika wako tiyari muingie vita ya wenyewe kwa wenyewe.

Biashara za Afrika zina mkono mkubwa wa kisiasa. Hata pale Misri ni hivihivi, Sudan ni hivi, Somalia baada ya kuharibika ile miaka ya 90 waliokuwa wanahamia Nairobi na Dar kujenga mahoteli na kuanzisha biashara kubwa ni wanasiasa wao waliotoroka. South Africa pale hao ndio kabisa wanafanya biashara ikulu.
Biashara ambayo haina innovation nyuma ni vigumu itengeneze utajiri wa haraka. Biashara za kawaida kama unga na simenti inataka uwekezaji mkubwa (sijui hela utapata wapi), sera rafiki kwako mfanyabiashara hiyo (nani ataweka sera za kuku-favour) na ulinzi (dhidi ya sheria, kesi, upinzani, ushindani). Hivyo vyote vinapatikana kwenye siasa za Kiafrika.

Hao wote uwezo mkubwa kibiashara wanao, kisha tag ya kisiasa ndio inakuja.
🤔🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom